Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Afrika ya Kati

  • Papa Francis atoa wito wa kusitishwa machafuko katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Papa Francis atoa wito wa kusitishwa machafuko katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    May 06, 2018 22:27

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani ametoa wito wa kukomeshwa mapigano, machafuko pamoja na vitendo vya utumiaji mabavu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • UN yaunga mkono juhudi za kudumisha utulivu Jamhuri ya Afrika ya Kati + Sauti

    UN yaunga mkono juhudi za kudumisha utulivu Jamhuri ya Afrika ya Kati + Sauti

    Apr 11, 2018 09:15

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa unaunga mkono juhudi za kuleta utulivu na amani huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Waandamanaji CAR waweka maiti mbele ofisi ya Umoja wa Mataifa Bangui

    Waandamanaji CAR waweka maiti mbele ofisi ya Umoja wa Mataifa Bangui

    Apr 11, 2018 09:09

    Mamia ya waandamanaji waliokuwa na hasira leo Jumatano wameweka maiti za watu wasiopungua tisa waliuawa katika mapigano katika mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati mbele ya makao makuu ya ujumbe wa Umoja wa Mataifa, mjini Bangui.

  • Wanamgambo wa Kikristo watekeleza mauaji mapya Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Wanamgambo wa Kikristo watekeleza mauaji mapya Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Apr 04, 2018 02:56

    Wanamgambo wa Kikristo walivamia kituo cha askari wa kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati mapema Jumatatu na kuua askari mmoja na kuwajeruhi wengine 11.

  • Wanamgambo wenye silaha wafanya ubakaji mkubwa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Wanamgambo wenye silaha wafanya ubakaji mkubwa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Mar 09, 2018 12:55

    Wanamgambo wenye silaha mwezi uliopita waliwashambulia, kuwateka nyara na kubaka kwa umati kundi kubwa la wanawake katika eneo moja lililotengwa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati. Hayo yameelezwa na Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF).

  • Mapigano yasababisha maelfu kukimbia makazi yao CAR

    Mapigano yasababisha maelfu kukimbia makazi yao CAR

    Feb 09, 2018 22:05

    Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu ICRC imesema maelfu ya watu wamelazimika kukimbia na kuacha makazi yao, kutoka na kushtadi mapigano kati ya makundi hasimu ya waasi huko kaskazini magharibi mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • UN: Watu laki moja wanahitajia msaada Jamhuri ya Afrika ya Kati

    UN: Watu laki moja wanahitajia msaada Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jan 17, 2018 01:02

    Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema takriban watu laki moja wanahitajia msaada katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Indhari ya UN kuhusu hali mbaya ya usalama Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Indhari ya UN kuhusu hali mbaya ya usalama Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Dec 23, 2017 11:41

    Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wametahadharisha kuhusu hali mbaya ya usalama katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Russia yaomba kibali cha UN ili kutuma silaha Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Russia yaomba kibali cha UN ili kutuma silaha Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Dec 13, 2017 04:35

    Russia imeripotiwa kuomba kibali kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ili kuiruhusu kusafirisha silaha nyepesi na zana za kijeshi kwa vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Hasira za watu wa Bangui baada ya gari la MINUSCA kumuua mwanafunzi

    Hasira za watu wa Bangui baada ya gari la MINUSCA kumuua mwanafunzi

    Nov 25, 2017 04:34

    Wananchi katika mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Bangui wamebainisha ghadhabu zao baada ya mwanafunzi wa shule kupoteza maisha katika ajali iliyohusisha gari la askari wa Mpango wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati MINUSCA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS