-
Human Rights Watch yalaani mauaji ya jeshi dhidi ya makumi ya raia Congo DR
Sep 01, 2023 07:55Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limelikosoa jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwa kuua makumi ya raia waliokuwa wakiandamana dhidi ya vikosi vya Umoja wa Mataifa.
-
12 wauawa katika vita vya kugombania ardhi Kongo DR
Aug 24, 2023 03:54Watu wasiopungua 12 wameuawa katika mapigano baina ya jamii mbili zinazozozania kipande cha ardhi huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Jeshi: Waasi 500 wa ADF tangu kuanza 'Operesheni ya Shujaa'
Aug 19, 2023 00:23Mamia ya waasi wa kundi linalojiita Allied Democratic Forces (ADF) wameuawa tangu vikosi vya Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo vianzishe Operesheni ya Shujaa dhidi ya genge hilo mashariki ya Kongo.
-
Waasi wa ADF wameua watu 55 DRC ndani ya wiki 2
Aug 15, 2023 04:10Waasi wa kundi linalojiita Allied Democratic Forces (ADF) wamewaua makumi ya wanavijiji huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika kipindi cha wiki mbili zilizopita.
-
Ijumaa, Juni 30, 2023
Jun 29, 2023 23:58Leo ni Ijumaa tarehe 11 Mfunguo Tatu Dhulhija 1444 Hijria, sawa na tarehe 30 Juni 2023 Milaadia.
-
Afisa wa UN: Watu 600 wameuawa DRC ndani ya miezi 3
Jun 27, 2023 03:26Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa barani Afrika amesema kwa akali watu 600 wameuawa katika mashambulizi ya magenge yanayobeba silaha mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.
-
Raia karibu 3,000 wameuawa mashariki mwa DRC 2023
Jun 23, 2023 06:24Watu karibu 3,000 wameuawa huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo tokea mwanzoni mwa mwaka huu hadi sasa.
-
Kinara wa upinzani DRC atishia kususia uchaguzi wa rais wa Disemba
Jun 21, 2023 00:14Martin Fayulu, kiongozi wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametishia kuwa huenda asishiriki uchaguzi mkuu ujao, huku mvutano wa kisiasa ukiongezeka nchini humo kabla ya uchaguzi wa rais wa Disemba 20, ambapo Rais Felix Tshisekedi anatarajiwa kugombea muhula wa pili.
-
Mahakama ya ICC kuchunguza jinai za kivita mashariki ya DRC
Jun 16, 2023 04:01Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imesema itachunguza madai ya kufanyika uhalifu wa kivita huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Watu zaidi ya 40 wameuawa katika shambulio katika kambi ya IDP, Ituri Kongo
Jun 13, 2023 01:02Watu zaidi ya 40 wameuawa katika shambulizi lililofanywa katika kambi inayowahifadhi raia wa Kongo wakimbizi wa ndani huko kaskazini mashariki nchi hiyo.