Jun 22, 2022 12:04
Wakazi wa mji alikozaliwa shujaa wa uhuru wa Kongo, Patrice Lumumba, huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanasubiri kurejeshwa jino la kinara huyo wa uhuru wa nchi yao ambalo ndio mabaki pekee ya mwili wake yaliyosalia baada ya kuuliwa na wakoloni wa Kibelgiji wakishirikiana na shirika la ujasusi la Marekani CIA.