Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Bosco Ntangada wa DRC akiwa ICC: Mimi si mhalifu ni mwanamapinduzi

    Bosco Ntangada wa DRC akiwa ICC: Mimi si mhalifu ni mwanamapinduzi

    Aug 31, 2018 02:03

    Mbabe wa zamani wa kivita wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Bosco Ntanganda, amedai mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, kuwa yeye si mhalifu bali ni mwanamapinduzi.

  • Waasi wa ADF- Nalu washambulia jeshi la Kongo mashariki mwa nchi

    Waasi wa ADF- Nalu washambulia jeshi la Kongo mashariki mwa nchi

    Aug 26, 2018 03:02

    Duru za kijeshi na za kiraia nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimeetangaza kuwa waasi wa Uganda kwa jina la ADF- Nalu wameshambulia kitengo kimoja cha vikosi vya jeshi la Kongo mashariki mwa nchi hiyo.

  • SAUTI, Viongozi wa upinzani Kongo DR walaani panga lililokata majina yao kushiriki uchaguzi ujao

    SAUTI, Viongozi wa upinzani Kongo DR walaani panga lililokata majina yao kushiriki uchaguzi ujao

    Aug 25, 2018 10:15

    Viongozi wa vyama vya upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wameijia juu Tume ya Uchaguzi ya nchi hiyo (CENI) kwa hatua yake ya kukata majina sita miongoni mwa majina ya waliojiandikisha kugombea kiti cha urais katika uchaguzi ujao nchini humo.

  • Tume ya Uchaguzi DRC yamzuia Bemba kugombea urais

    Tume ya Uchaguzi DRC yamzuia Bemba kugombea urais

    Aug 25, 2018 02:15

    Tume ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (CENI) imemzuia mpinzani Jean-Pierre Bemba kugombea urais katika uchaguzi ujao wa rais.

  • WHO: Mlipuko wa Ebola DRC umeshadhibitiwa lakini hatari bado ipo

    WHO: Mlipuko wa Ebola DRC umeshadhibitiwa lakini hatari bado ipo

    Aug 24, 2018 21:51

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema mlipuko mpya wa ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) umeshadhibitiwa, lakini kuna uwezekano wa kutokea kesi mpya, kutokana na mazingira magumu yanayosababishwa na hali mbaya ya usalama na baadhi ya maeneo kutofikika.

  • Wapinzani waitisha maandamano ya nchi nzima DRC

    Wapinzani waitisha maandamano ya nchi nzima DRC

    Aug 22, 2018 09:56

    Wapinzani wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanataka kusitumike mashine za kupigia kura katika uchaguzi ujao.

  • Spika wa Seneti ya Kongo DR ataka kiongozi wa upinzani aruhusiwe kurudi nchini

    Spika wa Seneti ya Kongo DR ataka kiongozi wa upinzani aruhusiwe kurudi nchini

    Aug 21, 2018 10:50

    Spika wa Seneti ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametaka Moïse Katumbi, kiongozi wa upinzani na mmoja wa wapinzani wakuu wa rais wa nchi hiyo Joseph Kabila aruhusiwe kurudi nchini.

  • Idadi ya wahanga wa homa ya Ebola yaongezeka DRC

    Idadi ya wahanga wa homa ya Ebola yaongezeka DRC

    Aug 21, 2018 03:10

    Wizara ya Afya ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ilitangaza jana kwamba idadi ya wahanga wa wimbi jipya la kuenea ugonjwa wa Ebola nchini humo imeongezeka na kufikia watu 50.

  • Athari za Ebola kwa watoto DRC ni zaidi ya kuugua –UNICEF

    Athari za Ebola kwa watoto DRC ni zaidi ya kuugua –UNICEF

    Aug 18, 2018 02:56

    Watoto wanawakilisha idadi kubwa isiyo ya kawaida ya waathirika wa mlipuko wa Ebola huko mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo DRC, limesema shirika la kuwahudumia watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF.

  • Waasi wa ADF-NALU wa Uganda wafanya mashambulio DRC na kuua watu 6

    Waasi wa ADF-NALU wa Uganda wafanya mashambulio DRC na kuua watu 6

    Aug 12, 2018 08:29

    Waasi wa ADF-Nalu wa Uganda wamefanya mashambulio katika jimbo la Kivu Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kuua watu sita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS