Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Watu 9 wauwa katika mapigano Kasai, Kongo DR

    Watu 9 wauwa katika mapigano Kasai, Kongo DR

    Jan 30, 2018 13:17

    Kwa akali watu tisa wameripotiwa kuuawa katika mapigano ya siku mbili katika eneo la Kasai, huko Jamhuri ya Kidemorasia ya Kongo.

  • Rais wa DRC akanusha kufanywa ukatili dhidi ya waandamanaji, abaki kimya kuhusu tarehe ya uchaguzi

    Rais wa DRC akanusha kufanywa ukatili dhidi ya waandamanaji, abaki kimya kuhusu tarehe ya uchaguzi

    Jan 27, 2018 13:25

    Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amekanusha madai kuwa askari usalama wa serikali yake walitumia nguvu na ukandamizaji kuzima maandamano ya kupigania demokrasia yaliyochochewa na uamuzi wake wa kung'ang'ania kubaki madarakani baada ya muhula wake wa uongozi kumalizika.

  • Raia elfu 7 wa Kongo wakimbilia Burundi ndani ya siku tatu

    Raia elfu 7 wa Kongo wakimbilia Burundi ndani ya siku tatu

    Jan 27, 2018 04:07

    Maelfu ya raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekimbilia nchi jirani ya Burundi kwenda kutafuta hifadhi katika kipindi cha siku tatu zilizopita.

  • MapiganoTanganyika na Kivu Kusini  nchini DRC yapelekea watoto 800,000 kukosa makao

    MapiganoTanganyika na Kivu Kusini nchini DRC yapelekea watoto 800,000 kukosa makao

    Jan 26, 2018 00:11

    Watu zaidi ya millioni moja , wakiwemo watoto 800,000 wamelazimika kuyahama makao yao kutokana na ghasia za kikabila pamoja na mapigano kati ya vikosi vya serikali na makundi yenye silaha pamoja na waasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, DRC.

  • Papa asikitishwa na mauaji ya waandamanaji Kongo DR

    Papa asikitishwa na mauaji ya waandamanaji Kongo DR

    Jan 24, 2018 10:39

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis ametoa mwito wa kukomeshwa mauaji na ukandamizaji unaofanywa na maafisa usalama dhidi ya waandamanaji katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Wimbi la utekaji nyara watu laendelea kuikumba Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Wimbi la utekaji nyara watu laendelea kuikumba Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Jan 24, 2018 04:25

    Watu wengine watatu akiwemo askofu mmoja wametekwa nyara mashariki mwa Jamhuri ya Kidemkorasia ya Kongo.

  • UN yasema jeshi la Congo limewalenga maafisa wake katika ghasia za hivi karibuni

    UN yasema jeshi la Congo limewalenga maafisa wake katika ghasia za hivi karibuni

    Jan 23, 2018 11:37

    Msemaji wa Shirika la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa amesema kuwa jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo liliwalenga pia maafisa wa umoja huo kwa kutumia nguvu kubwa kwa ajili ya kusambaratisha maandamano yaliyoitishwa na Kanisa Katoliki siku ya Jumapili iliyopita.

  • Malalamiko ya wanaharakati wa taasisi za kiraia za Kongo DR dhidi ya serikali ya Ufaransa

    Malalamiko ya wanaharakati wa taasisi za kiraia za Kongo DR dhidi ya serikali ya Ufaransa

    Jan 22, 2018 09:33

    Wanaharakati wa makundi ya kiraia nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamewasilisha malalamiko yao wakipinga siasa zinazotekelezwa na serikali ya Ufaransa kuhusu nchi yao.

  • Askari wa serikali Kongo DR waua raia watano katika maandamano ya kumpinga Rais Kabila

    Askari wa serikali Kongo DR waua raia watano katika maandamano ya kumpinga Rais Kabila

    Jan 21, 2018 23:34

    Askari usalama wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamewaua kwa kuwapiga risasi watu wasiopungua watano sambamba na kutumia gesi ya kutoa machozi kuvunja maandamano yaliyopigwa marufuku ya kumpinga Rais wa nchi hiyo Joseph Kabila.

  • Jeshi la Kongo DR latangaza vita dhidi ya makundi mawili yanayobeba silaha

    Jeshi la Kongo DR latangaza vita dhidi ya makundi mawili yanayobeba silaha

    Jan 21, 2018 11:22

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametangaza kuwa jeshi limeingia vitani kupambana na makundi mawili yanayobeba silaha ili kukabiliana na machafuko na kukosekana kwa amani mashariki mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS