Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Umoja wa Ulaya wasisitiza kuendelea kushirikiana na DRC

    Umoja wa Ulaya wasisitiza kuendelea kushirikiana na DRC

    Jun 18, 2017 23:03

    Umoja wa Ulaya umesisitiza kuwa, utaendelea kushirikiana na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kwamba, vikwazo vya umoja huo dhidi ya baadhi ya viongozi wa nchi hiyo havitaathiri ushirikiano wa pande mbili.

  • Waasi 12 wa Maimai wauawa DRC

    Waasi 12 wa Maimai wauawa DRC

    Jun 18, 2017 03:23

    Watu 13 wameuawa katika mapigano yaliyozuka baina ya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na waasi, mashariki mwa nchi hiyo.

  • Kongo DR yaonywa kuhusu hatari ya kuakhirisha uchaguzi

    Kongo DR yaonywa kuhusu hatari ya kuakhirisha uchaguzi

    Jun 16, 2017 23:05

    Marais wastaafu wa nchi kadhaa za Kiafrika wameonya juu ya hatari inayoweza kuikumba Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo iwapo itaakhirisha uchaguzi wa rais.

  • Bunge la Ulaya: Uchunguzi ufanyike kuhusu machafuko mkoani Kasai, Kongo

    Bunge la Ulaya: Uchunguzi ufanyike kuhusu machafuko mkoani Kasai, Kongo

    Jun 15, 2017 10:53

    Bunge la Ulaya limetaka kufanyike uchunguzi kuhusu mauaji na machafuko yanayojiri katikati mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Mlipuko wa polio waripotiwa Kongo DR, mikoa 2 yaathiriwa

    Mlipuko wa polio waripotiwa Kongo DR, mikoa 2 yaathiriwa

    Jun 14, 2017 03:40

    Shirika la Afya Duniani WHO limetangaza habari ya mlipuko wa ugonjwa wa kupooza (polio) katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • UN inahitaji dola milioni 65 kwa ajili ya wakimbizi wa DRC

    UN inahitaji dola milioni 65 kwa ajili ya wakimbizi wa DRC

    Jun 13, 2017 23:49

    Umoja wa Mataifa umesema unahitaji makumi ya mamilioni ya dola kwa ajili ya wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo waliokimbilia nchi jirani ya Angola.

  • Amnesty International: Uchunguzi ufanyike kuhusu machafuko ya Kongo

    Amnesty International: Uchunguzi ufanyike kuhusu machafuko ya Kongo

    Jun 13, 2017 03:05

    Shirika la Msamaha Duniani (Amnesty International) limeutaka Umoja wa Mataifa kuchunguza machafuko yaliyoukumba mkoa wa Kasai katikati mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Watu wasiopungua 11 wauawa huku wafungwa wapatao elfu moja wakitoroka jela Kongo DR

    Watu wasiopungua 11 wauawa huku wafungwa wapatao elfu moja wakitoroka jela Kongo DR

    Jun 11, 2017 23:55

    Watu wasiopungua 11 wameuawa huku wafungwa 930 wakitoroka jela wakati watu wenye silaha wasiojulikana walipovamia jela moja iliyoko kwenye mji wa Beni, kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Waaasi wwili wauawa katika mapigano kaskazini mashariki mwa DRC

    Waaasi wwili wauawa katika mapigano kaskazini mashariki mwa DRC

    Jun 10, 2017 11:26

    Waasi wawili wameuawa katika mapigano yaliyozuka baina yao na wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika jimbo la Ituri la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • UN yaipa DRC siku 2 ichunguze mauaji na jinai eneo la Kasai

    UN yaipa DRC siku 2 ichunguze mauaji na jinai eneo la Kasai

    Jun 06, 2017 09:06

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameipa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo siku mbili ionyeshe azma na irada ya kufanya uchunguzi wa kina kuhusu mauaji na jinai za kibinadamu katika eneo la Kasai.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS