Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Mzee Tshisekedi, kinara wa upinzani Kongo DR aaga dunia

    Mzee Tshisekedi, kinara wa upinzani Kongo DR aaga dunia

    Feb 02, 2017 02:31

    Kiongozi mkongwe wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mzee Etienne Tshisekedi amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 84 usiku wa kuamkia leo nchini Ubelgiji.

  • Mazungumzo kati ya wapinzani na serikali yaahirishwa Kongo DR

    Mazungumzo kati ya wapinzani na serikali yaahirishwa Kongo DR

    Jan 31, 2017 01:03

    Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, limetangaza habari ya kuahirishwa mazungumzo baina ya serikali na wapinzani wa nchi hiyo.

  • Umoja wa Mataifa: Vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu DRC vimeongezeka

    Umoja wa Mataifa: Vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu DRC vimeongezeka

    Jan 26, 2017 10:18

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu vimeongezeka mno katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • Raia waliotekwa nyara na waasi wa Uganda Kongo DR wakombolewa

    Raia waliotekwa nyara na waasi wa Uganda Kongo DR wakombolewa

    Jan 23, 2017 23:27

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limefanikiwa kuwakomboa raia kadhaa waliokuwa wanashikiliwa na waasi wa Uganda huko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Waasi wa Uganda washambulia kijiji kaskazini mwa Kongo DR, wateka nyara raia

    Waasi wa Uganda washambulia kijiji kaskazini mwa Kongo DR, wateka nyara raia

    Jan 21, 2017 01:07

    Waasi wa Uganda wameshambulia wakazi wa kijiji kimoja kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kuteka nyara wakazi kadhaa wa kijiji hicho.

  • SAUTI: Kauli ya serikali ya Kongo DR juu ya kurejea waasi wa M23 nchini, imeibua hali ya swintofahamu, baada ya pande nyingi kuipinga

    SAUTI: Kauli ya serikali ya Kongo DR juu ya kurejea waasi wa M23 nchini, imeibua hali ya swintofahamu, baada ya pande nyingi kuipinga

    Jan 19, 2017 13:15

    Taarifa iliyotolewa na serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo juu ya kurejea nchini humo waasi wa M23 kutoka Uganda, imeibua hali ya sintofahamu, baada ya pande tofauti kurushiana mpira katika kadhia hiyo.

  • Wakongo wataka kusitishwa uuzwaji holela wa silaha kwa makundi ya wanamgambo

    Wakongo wataka kusitishwa uuzwaji holela wa silaha kwa makundi ya wanamgambo

    Jan 16, 2017 23:33

    Kiongozi mmoja wa mkoa wa Kivu Kusini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ametaka kuwepo mapambano ya kukabiliana na wimbi la biashara za silaha kwa makundi ya wanamgambo nchini humo.

  • Waasi wa zamani wa Machi 23 waingia mashariki mwa Congo

    Waasi wa zamani wa Machi 23 waingia mashariki mwa Congo

    Jan 16, 2017 02:41

    Maafisa wa serikali ya Jamhuri ya Kidemkorasia ya Congo wamesema kuwa waasi wa zamani wa kundi la Machi 23 wameingia mashariki mwa nchi hiyo.

  • Congo DR yataka kufukuzwa waasi wa Rwanda, Sudan Kusini katika ardhi ya nchi hiyo

    Congo DR yataka kufukuzwa waasi wa Rwanda, Sudan Kusini katika ardhi ya nchi hiyo

    Jan 12, 2017 23:28

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeutaka Umoja wa Mataifa kutayarisha mazingira ya kuwaondoa waasi wa Rwanda na Sudan Kusini katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Raia milioni mbili wakimbia Sudan Kusini

    Raia milioni mbili wakimbia Sudan Kusini

    Jan 08, 2017 10:22

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa wakimbizi wa Sudan Kusini zaidi ya milioni mbili walikimbilia Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mwaka jana kwa ajili ya kutafuta hifadhi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS