Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Makumi wauawa Kongo DR katika mapigano ya kikabila na jeshi

    Makumi wauawa Kongo DR katika mapigano ya kikabila na jeshi

    Jan 08, 2017 04:20

    Ofisi inayoshughulikia masuala ya kibinaadamu ya Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, imetangaza habari ya kuuawa makumi ya watu katika mapigano makali yaliyojiri katikati mwa nchi hiyo.

  • Raia 15 wauawa katika mapigano ya kikabila katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Raia 15 wauawa katika mapigano ya kikabila katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Jan 06, 2017 11:19

    Mapigano makali ya umwagaji damu yameripotiwa kutokea kusini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kupelekea kwa uchache raia 15 kuuawa.

  • Kundi Jingine la upinzani  DRC lajiunga na mkataba wa amani

    Kundi Jingine la upinzani DRC lajiunga na mkataba wa amani

    Jan 06, 2017 04:29

    Huko nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, DRC, jukwaa la kuheshimu katiba ya nchi hiyo limetangaza litatia saini makubaliano ya kisiasa yaliyotiwa siani hivi karibuni.

  • UN yataka kutekelezwa makubaliano ya kukabidhi madaraka Kongo DR

    UN yataka kutekelezwa makubaliano ya kukabidhi madaraka Kongo DR

    Jan 05, 2017 04:26

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetaka kutekelezwa kikamilifu makubaliano ya kukabidhi madaraka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Wanajeshi wa DRC wakabiliana na waasi mashariki mwa nchi

    Wanajeshi wa DRC wakabiliana na waasi mashariki mwa nchi

    Jan 04, 2017 12:52

    Wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameendelea kupambana na waasi wa Mai Mai, mashariki mwa nchi hiyo.

  • EU yakaribisha makubaliano ya amani ya serikali ya Kongo DR na wapinzani

    EU yakaribisha makubaliano ya amani ya serikali ya Kongo DR na wapinzani

    Jan 04, 2017 00:28

    Umoja wa Ulaya umekaribisha makubaliano ya amani baina ya serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na wapinzani wa nchi hiyo.

  • Makundi ya kisiasa Kongo yafikia muafaka wa kuhitimisha mgogoro nchini humo

    Makundi ya kisiasa Kongo yafikia muafaka wa kuhitimisha mgogoro nchini humo

    Dec 31, 2016 09:31

    Imetangazwa kuwa Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo atang'atuka madarakani kabla ya kufanyika uchaguzi ujao hiyo ikiwa ni baada ya kufikiwa muafaka wa kisiasa kwa ajili ya kuhitimisha mgogoro wa kisiasa nchini humo.

  • Hatimaye Kongo DR yafikia muafaka wa kisiasa, Kabila kuachia madaraka 2017

    Hatimaye Kongo DR yafikia muafaka wa kisiasa, Kabila kuachia madaraka 2017

    Dec 31, 2016 04:00

    Hatimaye serikali na upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimefikia muafaka, ambapo Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo amekubali kung'atuka uongozini mwishoni mwa mwaka ujao 2017.

  • Wapinzani DRC wasema mazungumzo yanalegalega

    Wapinzani DRC wasema mazungumzo yanalegalega

    Dec 30, 2016 12:37

    Wapinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanasema mazungumzo ya namna Rais Joseph Kabila atakavyoondoka madarakani yanalegalega na yamkini yakasambaratika.

  • Wapinzani wapambana na polisi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Wapinzani wapambana na polisi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Dec 29, 2016 11:22

    Maandamano ya nchi nzima huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) yamewalazimisha polisi kuingilia kati kukabiliana nayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS