Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Serikali ya DRC yawaachia huru wanaharakati wa upinzani

    Serikali ya DRC yawaachia huru wanaharakati wa upinzani

    Dec 28, 2016 10:40

    Polisi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imewaachia huru wanaharakati wa upinzani waliokamatwa hivi karibuni katika maandamano dhidi ya serikali ya Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo.

  • Makumi ya raia wauawa na wanamgambo wa ADF-Nalu Kongo DR

    Makumi ya raia wauawa na wanamgambo wa ADF-Nalu Kongo DR

    Dec 26, 2016 13:07

    Makumi ya raia wanaripotiwa kuuawa kufuatia mashambulio ya wanamgambo wa ADF-Nalu wa Uganda katika mkoa wa Kivu Kaskazini katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Raia 13 wauawa DRC mkoani Kivu katika hujuma ya kikabila

    Raia 13 wauawa DRC mkoani Kivu katika hujuma ya kikabila

    Dec 25, 2016 12:23

    Raia 13 wa kabila la Hutu wameuawa leo mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika kile kilichotajwa kuwa ni hujuma ya kulipiza kisasi iliyofanywa na wanagambo wa kabila la Nande.

  • Mazungumzo ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa DRC yanaendelea

    Mazungumzo ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa DRC yanaendelea

    Dec 24, 2016 11:41

    Mazungumzo ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yameendelea huku wapinzani wakiendelea kushikilia msimamo wao wa kuondoka madarakani Rais Joseph Kabila.

  • Wapinzani DRC watoa sharti la kukubali muafaka wa kisiasa

    Wapinzani DRC watoa sharti la kukubali muafaka wa kisiasa

    Dec 24, 2016 04:15

    Wapinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wametoa sharti ambalo wanasema lazima upande wa serikali ulikubali ili waunge mkono muafaka hafifu wa kisiasa uliofikiwa jana.

  • Mgogoro wa kisiasa Kongo DR wapatiwa ufumbuzi?

    Mgogoro wa kisiasa Kongo DR wapatiwa ufumbuzi?

    Dec 23, 2016 12:54

    Katika hatua ya ghafla na ambayo haikutazamiwa na wengi, pande hasimu za kisiasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimefikia muafaka, ambao utapelekea Rais Joseph Kabila asalie uongozini hadi mwishoni mwa mwaka ujao 2017.

  • Polisi Kongo yawatia mbaroni makumi ya raia

    Polisi Kongo yawatia mbaroni makumi ya raia

    Dec 23, 2016 04:12

    Polisi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamewatia mbaroni makundi ya raia kwa kosa la kushiriki maandamano dhidi ya serikali.

  • Hali yazidi kuwa tete DRC, 52 wauawa katika maandamano, mapigano ya kikabila

    Hali yazidi kuwa tete DRC, 52 wauawa katika maandamano, mapigano ya kikabila

    Dec 22, 2016 13:30

    Hali ya mambo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imezidi kuwa tete huku makumi ya watu wakiuawa katika maandamano na mapigano ya kikabila.

  • Ban atoa wito kwa pande  zote DRC kusuluhisha mgogoro kwa amani

    Ban atoa wito kwa pande zote DRC kusuluhisha mgogoro kwa amani

    Dec 22, 2016 04:33

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeondoka Ban Ki-moon ametoa wito kwa pande zote zinazohusika katika mgogoro wa kisiasa huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kutatua mgogoro huo kwa njia za amani.

  • Hali ya kulegalega kisiasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Hali ya kulegalega kisiasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Dec 21, 2016 09:52

    Sambamba na kumalizika muhula wa kisheria wa uongozi wa Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, mji mkuu Kinshasa na miji mingine ya nchi hiyo imeshuhudia taswira ya kuimarisha usalama karibu katika kila kona.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS