-
Jumapili, 27 Oktoba, 2024
Oct 27, 2024 02:21Leo ni Jumapili 23 Mfunguo Saba Rabiuthani 1446 Hijria mwafaka na 27 Oktoba 2024.
-
Araqchi: Kuimarisha uhusiano na nchi zote ni sera ya serikali ya Iran
Aug 29, 2024 07:45Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema sera ya serikali ya 14 ya Iran ni kupanua uhusiano na nchi zote za dunia hususan nchi za Asia Mashariki.
-
Japan yasema itaitambua Palestina kwa 'njia kamilifu'
Aug 15, 2024 02:45Serikali ya Japan imesisitiza kwa mara nyingine tena kuwa, inatathmini suala la kulitambua rasmi taifa huru la Palestina.
-
Jumamosi, 10 Agosti, 2024
Aug 10, 2024 02:29Leo ni Jumamosi 5 Mfunguo Tano Safar 1446 Hijria mwafaka na 10 Agosti 2024.
-
Jumatatu tarehe 29 Julai 2024
Jul 29, 2024 02:32Leo ni Jumatatu tarehe 23 Mfunguo Nne Muharram 1446 Hijria mwafaka na tarehe 29 Julai 2024.
-
Japan inatafakari kulitambua rasmi taifa huru la Palestina
Jul 14, 2024 06:48Serikali ya Japan imefichua kuwa, inatathmini kwa uzito mkubwa suala la kulitambua rasmi taifa huru la Palestina.
-
Jumapili, 16 Juni, 2024
Jun 18, 2024 10:34Leo ni Jumapili 9 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1445 Hijria mwafaka na 16 Juni 2024 Miladia.
-
Amir-Abdollahian: Mgogoro wa Asia Magharibi umesababishwa na mashambulizi ya Israel
Apr 17, 2024 06:47Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan na kusisitiza kuwa, mgogoro uliopo katika eneo la Asia Magharibi hivi sasa umesababishwa na mashambulizi ya utawala wa Kizayuni kwenye Ukanda wa Ghaza.
-
Maandamano ya kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina na Gaza yafanyika katika nchi mbalimbali
Mar 31, 2024 11:28Wananchi huko Italia, Norway, Marekani, Japan na Morocco kwa mara nyingine tena wameandamana kulaani mauaji ya kimbari ya raia wa Palestina yanayofanywa na wanajeshi ghasibu wa utawala wa Kizayuni huko Ukanda wa Gaza.
-
Chuki dhidi ya Waislamu zimeongezeka Japan tangu Israel ilipoanza kuishambulia kijeshi Ghaza
Mar 07, 2024 12:00Mwanaakademia wa Kijapan, Kayyim Naoki Yamamoto amesema, hisia za chuki dhidi ya Waislamu nchini Japan zinaongezeka tangu utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ulipoanzisha vita vya kikatili na mashambulio ya kinyama dhidi ya Ukanda wa Ghaza Oktoba 7, 2023.