Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Walimwengu wajibu ujuba wa Marekani wa kujitoa katika JCPOA, Israel na Saudia zamuunga mkono Trump

    Walimwengu wajibu ujuba wa Marekani wa kujitoa katika JCPOA, Israel na Saudia zamuunga mkono Trump

    May 09, 2018 03:27

    Umoja wa Ulaya, viongozi mbalimbali wa nchi za Ulaya, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na wengine wengi wametoa majibu makali dhidi ya hatua ya kijuba ya rais wa Marekani ya kupuuza maamuzi ya walimwengu na ya Umoja wa Mataifa na kutangaza kujitoa katika mapatano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina maarufu la JCPOA.

  • Bloomberg: Mashirika ya Boeing na Airbus ya Marekani yapata hasara kubwa kwa kujitoa Trump katika JCPOA

    Bloomberg: Mashirika ya Boeing na Airbus ya Marekani yapata hasara kubwa kwa kujitoa Trump katika JCPOA

    May 09, 2018 03:21

    Mashirika mawili makubwa ya kutengeneza ndege ya Boeing na Airbus ya nchini Marekani yatapata hasara kubwa ya dola bilioni 40 baada ya rais wa nchi hiyo Donald Trump kujitoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Shamkhani: Kuvunjika makubaliano ya JCPOA hakutainufaisha Marekani

    Shamkhani: Kuvunjika makubaliano ya JCPOA hakutainufaisha Marekani

    May 08, 2018 12:33

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesisitiza kuwa kuvunjika kwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hakutakuwa na manufaa kwa Marekani; na akatoa indhari pia kwa mwenendo wa nchi za Ulaya wa kutaka kujipatia fursa zaidi kwa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Wamarekani wengi wanataka US ibakie kwenye JCPOA

    Wamarekani wengi wanataka US ibakie kwenye JCPOA

    May 08, 2018 12:28

    Utafiti wa maoni wa hivi punde unaonyesha kuwa thuluthi mbili ya wananchi wa Marekani wanaamini kuwa nchi yao haipaswi kujiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya Iran, huku yakiwa yamesalia masaa machache kabla Rais Donald Trump atangaze iwapo Washington itajiondoa kwenye mapatano hayo ya kimataifa au la.

  • Troika ya Ulaya: Tutalinda makubaliano ya JCPOA bila kujali uamuzi wa Trump

    Troika ya Ulaya: Tutalinda makubaliano ya JCPOA bila kujali uamuzi wa Trump

    May 07, 2018 20:54

    Nchi tatu za Ufaransa, Ujerumani na Uingereza zimetoa taarifa ya pamoja na kuutangazia ulimwengu kuwa zitaendelea kuheshimu mapatano ya nyuklia ya JCPOA bila ya kujali uamuzi wa Marekani.

  • Qassemi: Iwapo Marekani itajitoa katika JCPOA, itapata pigo kubwa

    Qassemi: Iwapo Marekani itajitoa katika JCPOA, itapata pigo kubwa

    May 07, 2018 10:59

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, iwapo Marekani itajitoa katika mapatano ya nyuklia yanayojulikana kwa kifupi kama JCPOA, basi madhara yake yataikumba Washington yenyewe kabla ya upande mwingine wowote.

  • Zarif: Marekani ikichukua uamuzi usio sahihi kuhusu JCPOA, itakabiliwa na jibu mwafaka la Iran

    Zarif: Marekani ikichukua uamuzi usio sahihi kuhusu JCPOA, itakabiliwa na jibu mwafaka la Iran

    May 07, 2018 03:31

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, endapo Marekani itakosea na kuchukua uamuzi usio sahihi kuhusiana na makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA), itakkabiliwa na jibu linalofaa kutoka kwa Iran.

  • Velayati: Iran itachukua hatua inayofaa endapo Marekani itajiondoa katika makubaliano ya JCPOA

    Velayati: Iran itachukua hatua inayofaa endapo Marekani itajiondoa katika makubaliano ya JCPOA

    May 06, 2018 22:28

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, endapo Marekani itajiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itatoa jibu mwafaka kulingana na mazingira yalivyo.

  • Rais Rouhani: JCPOA ni dhihirisho la nguvu za kidiplomasia za taifa kubwa la Iran

    Rais Rouhani: JCPOA ni dhihirisho la nguvu za kidiplomasia za taifa kubwa la Iran

    May 06, 2018 12:25

    Rais Hassan Rouhani amesema: Makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ambao ni mkataba wa kimataifa na dhihirisho la nguvu za kidiplomasia za taifa kubwa la Iran hauwezi kufanyiwa mabadiliko yoyote.

  • Hatua zenye kukinzana za Uingereza kuhusu makubaliano ya JCPOA

    Hatua zenye kukinzana za Uingereza kuhusu makubaliano ya JCPOA

    May 06, 2018 03:16

    Ikiwa imekaribia muda wa kuchukuliwa uamuzi na Rais wa Marekani kuhusu makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa kati ya kundi la 5+1 na Iran, juhudi za kimataifa pia zimeongezeka ili kuishaiwishi nchi hiyo itekeleze ahadi na majukumu yake kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS