• Spika wa Bunge la Iran asisitiza kutekelezwa makubaliano ya nyuklia (JCPOA)

    Spika wa Bunge la Iran asisitiza kutekelezwa makubaliano ya nyuklia (JCPOA)

    Apr 28, 2016 10:46

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesisitiza kutekelezwa makubaliano ya nyuklia baina ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na nchi zinazounda kundi la 5+1 yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • IAEA: Iran inatekeleza ipasavyo makubaliano ya nyuklia

    IAEA: Iran inatekeleza ipasavyo makubaliano ya nyuklia

    Apr 02, 2016 02:35

    Kwa mara nyingine tena Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA umetoa ithibati kuwa serikali ya Tehran inatekelezwa barabara makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa kati yake na kundi la 5+1 Julai mwaka jana 2015.

  • Mogherini: Mpango wa JCPOA uko katika mkondo sahihi

    Mogherini: Mpango wa JCPOA uko katika mkondo sahihi

    Mar 16, 2016 03:45

    Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya ametangaza katika ripoti aliyotoa baada ya kufanyika kikao cha mashauriano kati yake na Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya kuwa utekelezaji wa makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) upo katika mkondo sahihi.

  • Ripoti ya Amano yathibitisha utendaji wa Iran katika utekelezaji wa JCPOA

    Ripoti ya Amano yathibitisha utendaji wa Iran katika utekelezaji wa JCPOA

    Feb 27, 2016 22:55

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amewasilisha ripoti yake kuhusu miradi ya nyuklia ya Iran baada ya kutekelezwa mpango wa JCPOA.

  • Rais Rohani: Iran haikupoteza chochote kwenye JCPOA

    Rais Rohani: Iran haikupoteza chochote kwenye JCPOA

    Feb 09, 2016 04:36

    Rais Hassan Rohani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema leo kuwa, makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa kati ya nchi hii na madola makubwa duniani yalikuwa kwa manufaa ya pande zote na kwamba wanaosema Iran ilipoteza kwenye mazungumzo hayo wanapotosha ukweli wa mambo.

  • Misri kutumia JCPOA kuishinikiza Israel ijiunge na NPT

    Misri kutumia JCPOA kuishinikiza Israel ijiunge na NPT

    Feb 09, 2016 04:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amesema makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa kati ya Iran na kundi la 5+1 maarufu kama JCPOA yanatoa fursa ya kipekee kwa serikali ya Cairo kuushinikiza utawala haramu wa Israel kujiunga na mkataba wa NPT unaozuia utengenezaji, usambazaji na utumiaji wa silaha za atomiki.

  • Rais Rouhani aipa nishani timu ya nyuklia ya Iran

    Rais Rouhani aipa nishani timu ya nyuklia ya Iran

    Feb 08, 2016 13:16

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amempa nishani ya heshima Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran na amewapa nishani za ushujaa Waziri wa Ulinzi na Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran kutokana na kazi kubwa ya kujivunia waliyoifanya katika kadhia ya nyuklia.

  • Duru mpya ya mazungumzo ya Iran na EU kuanza leo

    Duru mpya ya mazungumzo ya Iran na EU kuanza leo

    Feb 07, 2016 22:18

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Umoja wa Ulaya leo Jumatatu zinatazamiwa kuanza duru mpya ya mazungumzo, ikiwa ni ya kwanza tangu Tehran na kundi la 5+1 kufikia makubaliano ya nyuklia ya Vienna mwaka jana.