Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • OCHA: Yemen inakabiliwa na hali mbaya ya baa la njaa

    OCHA: Yemen inakabiliwa na hali mbaya ya baa la njaa

    Oct 24, 2018 07:52

    Ofisi ya Uratibu ya Umoja wa Mataifa Inayoshughulikia Masuala ya Kibinaadamu (OCHA) imetangaza kuwa, nchi ya Yemen inakabiliwa na hali mbaya ya baa la njaa.

  • Saudia na Imarati zinaongoza kwa kununua vifaa vya kijasusi vya Israel

    Saudia na Imarati zinaongoza kwa kununua vifaa vya kijasusi vya Israel

    Oct 21, 2018 02:37

    Gazeti la Kizayuni la Haaretz limefichua kuwa, Bahrain, Imarati (UAE) na Saudi Arabia zina mikataba mikubwa sana ya kununua vifaa vya kijasusi kutoka kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Sakata la kutekwa MO Dewji: Familia kutoa Sh1 bilioni kwa atakayetoa taarifa za alipo bilionea huyo

    Sakata la kutekwa MO Dewji: Familia kutoa Sh1 bilioni kwa atakayetoa taarifa za alipo bilionea huyo

    Oct 15, 2018 14:02

    Familia ya bilionea aliyetekekwa nyara nchini Tanzania Mohammed Dewji imevunja ukimya na kusema kuwa, itatoa kitita cha Sh1 bilioni kama zawadi kwa yeyote atakayetoa taarifa zitakazopelekea kupatikana kwa bilionea huyo.

  • Lebanon yasambaratisha njama ya Daesh ya kuweka sumu katika maji ya kunywa

    Lebanon yasambaratisha njama ya Daesh ya kuweka sumu katika maji ya kunywa

    Sep 28, 2018 07:56

    Vyombo vya usalama vya Lebanon vimetangaza habari ya kusambaratishwa njama ya genge la kigaidi la Daesh (ISIS) ambalo lilitaka kuweka sumu ndani ya maji ya kunywa ya wanajeshi wa nchi hiyo.

  • Marekani imewatorosha viongozi wa DAESH (ISIS) eneo la Deir ez-Zor, Syria

    Marekani imewatorosha viongozi wa DAESH (ISIS) eneo la Deir ez-Zor, Syria

    Sep 23, 2018 02:41

    Duru za kuaminika za Syria zimetangaza kuwa muungano wa kijeshi wa kimataifa unaoongozwa na Marekani wa eti kupambana na DAESH (ISIS) umewatorosha viongozi kadhaa wa kundi hilo la kigaidi na ukufurishaji katika eneo la Deir ez-Zor mashariki mwa Syria.

  • Mazoezi ya pamoja ya anga ya SEPAH na Jeshi la Iran yaanza katika maji ya Ghuba ya Uajemi

    Mazoezi ya pamoja ya anga ya SEPAH na Jeshi la Iran yaanza katika maji ya Ghuba ya Uajemi

    Sep 21, 2018 07:46

    Kaimu Mkuu wa Uenezi wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Kwa mnasaba wa kuanza Wiki ya Kujihami Kutakatifu mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya vikosi vya anga vya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH (IRGC) na vya Jeshi yameanza katika maji ya Ghuba ya Uajemi na Bahari ya Oman.

  • Woga wa Jeshi la Israel kuhusu uwezo wa makombora wa Hizbullah ya Lebanon

    Woga wa Jeshi la Israel kuhusu uwezo wa makombora wa Hizbullah ya Lebanon

    Sep 12, 2018 01:19

    Msemaji wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amesema kuwa uwezo wa makombora wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon na nguvu yake ya kulenga kwa mapana katika maeneo mbalimbali ya Israel ni tishio kubwa sana.

  •  Kiongozi Muadhamu asisitiza kuimarishwa uwezo wa majeshi ya Iran katika kukabiliana na adui

    Kiongozi Muadhamu asisitiza kuimarishwa uwezo wa majeshi ya Iran katika kukabiliana na adui

    Sep 10, 2018 06:53

    Ayatullah Sayyed Ali Khamenei, Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi Yote ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana alishiriki katika mahafali ya pamoja ya kuhitimu na kuapishwa wanafunzi wa vyuo vikuu vya maafisa wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kuashiria sera za shari na kiistikbari za kuibua machafuko na ukosefu wa usalama na kusisitiza kuwa:

  • Walid al Mualim: Ajenda Kuu ya kikao cha Iran, Uturuki na Russia ni kuhusu kukombolewa Idlib

    Walid al Mualim: Ajenda Kuu ya kikao cha Iran, Uturuki na Russia ni kuhusu kukombolewa Idlib

    Sep 04, 2018 02:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesisitiza kuwa suala kuu lilogubika kikao cha pande tatu cha viongozi wa Iran, Russia na Uturuki mjini Tehran lilikuwa kuhusiana na kukombolewa mkoa wa Idlib.

  • Marekani yaendelea kukiuka haki ya kujitawala Syria, yataka kujenga uwanja wake wa kijeshi

    Marekani yaendelea kukiuka haki ya kujitawala Syria, yataka kujenga uwanja wake wa kijeshi

    Aug 16, 2018 13:17

    Habari kutoka Syria zimeripoti kwamba, askari vamizi wa Marekani wanakusudia kujenga uwanja wao wa kijeshi katika eneo la al-Shaddadi la jimbo la Al-Hasakah nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS