Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • 'Jeshi la Iran liko imara kuilinda Jamhuri ya Kiislamu'

    'Jeshi la Iran liko imara kuilinda Jamhuri ya Kiislamu'

    Apr 15, 2016 23:43

    Luteni Kamanda wa Jeshi la Nchi Kavu la Iran amesema kuwa, jeshi hilo liko imara katika kuyalinda Mapinduzi ya Kiislamu na mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Askari 500 wa Marekani walijiua mwaka jana

    Askari 500 wa Marekani walijiua mwaka jana

    Apr 06, 2016 03:13

    Takaribani askari 500 wa Jeshi la Marekani walijiua mwaka jana na hivyo kuendeleza mkondo wa idadi kubwa ya wanajeshi wanaojiua nchini humo katika kipindi cha miaka saba iliyopita.

  • Kaburi la umati lagunduliwa Palmyra, nchini Syria

    Kaburi la umati lagunduliwa Palmyra, nchini Syria

    Apr 02, 2016 03:22

    Jeshi la Syria limegundua kaburi la umati ambalo lilikuwa limefukiwa makumi ya watu waliouawa na kundi la kigaidi na kitaifiri la Daesh katika mji uliokombolewa hivi karibuni wa Palmyra.

  • Matukio ya Yemen

    Matukio ya Yemen

    Apr 01, 2016 12:24

    Jinai za muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia zimeendelea nchini Yemen kufuatia ndege za kivita za Saudia kushambulia maeneo ya makazi ya raia kusini mwa nchi hiyo.

  • Rais Assad alipongeza jeshi la Syria kwa kuukomboa mji wa Palmyra

    Rais Assad alipongeza jeshi la Syria kwa kuukomboa mji wa Palmyra

    Mar 27, 2016 10:04

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amelipongeza jeshi la nchi hiyo kwa kuukomboa mji wa kihistoria wa Palmyra kutoka mikononi mwa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.

  • Jitihada za jeshi la Uganda za kutuliza hali ya mambo Bundibugyo

    Jitihada za jeshi la Uganda za kutuliza hali ya mambo Bundibugyo

    Mar 27, 2016 06:00

    Jeshi la polisi nchini Uganda limechukua hatua madhubuti za kurejesha hali ya usalama magharibi mwa nchi hiyo

  • Al-Shabaab: Tumeua wanajeshi 73 wa Somalia, Lower Shabelle

    Al-Shabaab: Tumeua wanajeshi 73 wa Somalia, Lower Shabelle

    Mar 21, 2016 11:45

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limedai kuwaua askari 73 wa jeshi la taifa la Somalia, katika makabiliano makali yaliyotokea jana huko Shabelle ya Chini, yapata kilomita 60 kusini mwa mji mkuu, Mogadishu.

  • Jeshi la Kenya laua magaidi 34 wa al-Shabab Somalia-MPYA UPDATE 2

    Jeshi la Kenya laua magaidi 34 wa al-Shabab Somalia-MPYA UPDATE 2

    Mar 20, 2016 12:22

    Jeshi la Kenya limewaangamiza magaidi 21 wa kundi la kitakfiri la al Shabab kufuatia mapigano makali katika nchi jirani ya Somalia.

  • Sudan Kusini yaondoa majeshi yake katika mpaka na jirani yake Sudan

    Sudan Kusini yaondoa majeshi yake katika mpaka na jirani yake Sudan

    Mar 19, 2016 13:18

    Serikali ya Sudan Kusini imetangaza kuwa, imetekeleza amri ya kuondoa vikosi vyake vya jeshi katika mpaka wa nchi hiyo na jirani yake, Sudan.

  • Tunisia yaangamizi Madaesh wengine 5 karibu na mpaka na Libya

    Tunisia yaangamizi Madaesh wengine 5 karibu na mpaka na Libya

    Mar 09, 2016 04:26

    Jeshi la Tunisia limesema kuwa limefanikiwa kuangamiza wanamgambo wengine watano wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh karibu na mpaka wa nchi hiyo na Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS