• Uwezo wa Jeshi la Iran ni sababu ya maadu kutoihujumu nchi hii

    Uwezo wa Jeshi la Iran ni sababu ya maadu kutoihujumu nchi hii

    May 21, 2016 23:52

    Brigedia Jenerali Ahmad Reza Pourdastan, Kamanda wa Jeshi la Nchi Kavu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwepo tayari kivita jeshi la nchi hii ni sababu kuu inayowazuia maadui kuitishia Iran.

  • Iran kuendelea na mazoezi ya kijeshi

    Iran kuendelea na mazoezi ya kijeshi

    May 08, 2016 00:15

    Waziri wa Ulinzi wa Iran Brigedia Jenerali Hussein Dehqan amesema Jamhuri ya Kiislamu haioni kizingiti chochote katika kufanya mazoezi ndani ya maji yake katika Ghuba ya Uajemi.

  • Wanajeshi wa Marekani wavamia kusini mwa Yemen

    Wanajeshi wa Marekani wavamia kusini mwa Yemen

    May 02, 2016 23:27

    Ripoti zinasema kuwa, wanajeshi wa kikosi maalumu cha Marekani wamevamia eneo la Kusini mwa Yemen kwa kisingizio cha kuwasaidia wanajeshi wa Imarati katika kile kinachodaiwa ni vita dhidi ya wanamgambo wa al Qaeda katika eneo hilo.

  • Brigedia Jenerali Pordastan: Iran kuadhibu vikali wavamizi

    Brigedia Jenerali Pordastan: Iran kuadhibu vikali wavamizi

    Apr 22, 2016 00:07

    Kamanda wa Jeshi la Nchi Kavu la Iran amesema chokochoko zozote dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu zitapata jibu kali na kwamba vikosi vya ardhini vya Iran vitawaadhibu vikali wavamizi.

  • AMISOM yaomba msamaha kwa kuua raia wa Somalia

    AMISOM yaomba msamaha kwa kuua raia wa Somalia

    Apr 17, 2016 23:33

    Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM kimetoa taarifa rasmi ya kuomba msamaha kwa kuua 'kimakosa' raia wanne wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • 'Jeshi la Iran liko imara kuilinda Jamhuri ya Kiislamu'

    'Jeshi la Iran liko imara kuilinda Jamhuri ya Kiislamu'

    Apr 15, 2016 23:43

    Luteni Kamanda wa Jeshi la Nchi Kavu la Iran amesema kuwa, jeshi hilo liko imara katika kuyalinda Mapinduzi ya Kiislamu na mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Askari 500 wa Marekani walijiua mwaka jana

    Askari 500 wa Marekani walijiua mwaka jana

    Apr 06, 2016 03:13

    Takaribani askari 500 wa Jeshi la Marekani walijiua mwaka jana na hivyo kuendeleza mkondo wa idadi kubwa ya wanajeshi wanaojiua nchini humo katika kipindi cha miaka saba iliyopita.

  • Kaburi la umati lagunduliwa Palmyra, nchini Syria

    Kaburi la umati lagunduliwa Palmyra, nchini Syria

    Apr 02, 2016 03:22

    Jeshi la Syria limegundua kaburi la umati ambalo lilikuwa limefukiwa makumi ya watu waliouawa na kundi la kigaidi na kitaifiri la Daesh katika mji uliokombolewa hivi karibuni wa Palmyra.

  • Matukio ya Yemen

    Matukio ya Yemen

    Apr 01, 2016 12:24

    Jinai za muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia zimeendelea nchini Yemen kufuatia ndege za kivita za Saudia kushambulia maeneo ya makazi ya raia kusini mwa nchi hiyo.

  • Rais Assad alipongeza jeshi la Syria kwa kuukomboa mji wa Palmyra

    Rais Assad alipongeza jeshi la Syria kwa kuukomboa mji wa Palmyra

    Mar 27, 2016 10:04

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amelipongeza jeshi la nchi hiyo kwa kuukomboa mji wa kihistoria wa Palmyra kutoka mikononi mwa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.