-
Jeshi la Nigeria laanzisha operesheni kali dhidi ya Boko Haram
Feb 26, 2016 07:48Jeshi la Nigeria limeanzisha operesheni kali dhidi ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la Boko Haram, ambayo ina lengo la kuwasambaratisha wanachama wa kundi hilo.
-
Vikosi maalum vya Ufaransa vyaingia Benghazi, Libya
Feb 24, 2016 07:38Vikosi maalumu vya Ufaransa vimewasili Benghazi, Libya kumuunga mkono Brigedia Jenerali Khalifa Haftar.
-
Kuendelea mashambulio ya Saudia nchini Yemen
Feb 20, 2016 05:59Ndege za kivita za jeshi la Saudi Arabia, kwa mara nyingine tena zimefanya mashambulizi ya kikatili katika mji mkuu wa Yemen San'a na kuua kwa umati raia wa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Iran yazindua makombora ya kisasa ya 'Nasr'
Feb 10, 2016 03:23Wizara ya Ulinzi ya Iran imelikabidhi Jeshi la Anga la Jamhuri ya Kiislamu shehena ya kwanza ya makombora ya kisasa ya anga yakulikanayo kwa jina la 'Nasr' au Ushindi.