-
Askari polisi wanne wa Kenya wauawa, magaidi wa Ash-Shabaab washukiwa kuhusika
Jan 07, 2022 23:54Maafisa wanne wa polisi ya Kenya wameuawa katika shambulio la kuvizia katika eneo la pwani ya nchi hiyo linalopakana na Somalia, amblo hulengwa mara kwa mara na wanamgambo wa kundi la kigaidi la Ash-Shabaab.
-
Watu 6 wauawa katika shambulio la al-Shabaab Lamu, Kenya
Jan 03, 2022 07:34Kwa akali watu sita wameuawa katika shambulio la kundi la kigaidi la al-Shabaab katika kaunti ya Lamu, Pwani ya Kenya.
-
Mjadala kuhusu mswada katika bunge la Kenya waibua mapigano
Dec 29, 2021 12:44Kikao cha Bunge la Kenya kimebadilika na kuwa ulingo wa ndondi baada ya wabunge kadhaa kuanza kupigana wakati mjadala ukiendelea kuhusu muswada wa muungano ulioibua mgawanyiko.
-
Waziri wa Afya Kenya: Hoteli na migahawa isiwapokee watu ambao hawajachanjwa
Dec 28, 2021 04:32Serikali ya Kenya kupitia Wizara ya Afya, imeagiza migahawa na hoteli kutotoa huduma kwa wateja ambao hawajachanjwa kama njia ya kukabiliana na maambukizi ya COVID-19 nchini humo hususan katika kipindi hiki cha sikukuu za mwishoni mwa mwaka.
-
Jumapili tarehe 12 Disemba 2021
Dec 12, 2021 00:21Leo ni Jumapili tarehe 7 Jamadil Awwal 1443 Hijria Qamaria sawa 21 Azar mwaka 1400 Hijria Shamsiya na Disemba 12 mwaka 2021.
-
Hafla ya ufunguzi ya somo la lugha ya Kifarsi kwa raia wa Kenya
Dec 04, 2021 23:59Hafla ya ufunguzi wa mafunzo ya lugha ya Kifarsi kwa raia wa Kenya imefanyika kwa hotuba ya Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu huko Kenya.
-
Covid-19; Wasiochanja kutopewa huduma muhimu za serikali Kenya
Nov 22, 2021 08:58Wananchi wa Kenya ambao hawajapiga dozi kamili ya chanjo ya Covid-19 watanyimwa hudumu muhimu zinazotolewa na taasisi za serikali ya nchi hiyo kuanzia mwezi ujao wa Disemba.
-
Kenya na Marekani zajadili namna ya kukomesha machafuko Sudan na Ethiopia
Nov 18, 2021 04:44Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Uhuru wa Kenyatta wa Kenya kujadili namna ya kuhitimisha machafuko katika nchi za Sudan na Ethiopia.
-
Uchumi wa Kenya wastawi kwa asilimia 10
Nov 11, 2021 04:36Uchumi wa Kenya ulistawi kwa kiwango cha asilimia 10.1 katika robo ya pili ya mwaka huu 2021.
-
Familia ya mwanamke wa Kenya aliyeuawa yalishtaki jeshi la Uingereza
Nov 10, 2021 10:54Familia ya mwanamke wa Kenya anayedaiwa kuuawa na askari wa Uingereza imelishtaki jeshi la UK ikitaka lishurutishwe kutoa majibu ya kitendawili cha mauaji hayo.