-
Mwanasheria Mkuu wa Kenya amuonya Odinga dhidi ya kujiapisha
Dec 07, 2017 11:30Mwanasheria Mkuu wa Kenya ametahadharisha kuhusu mpango wowote wa kumuapisha kinara wa upinzani nchini humo Raila Odinga kama 'rais wa watu' wiki ijayo.
-
Mkutano wa mazingira wa Umoja wa Mataifa waanza Nairobi
Dec 04, 2017 03:41Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Miroslav Lajčák aliyeko ziarani nchini Kenya, amesema maendeleo hayapaswi kusababisha uharibifu wa mazingira.
-
Kenya na Tanzania zaelekea katika mzozo wa maji
Nov 30, 2017 13:02Ukanda wa Hifadhi za Taifa za Serengeti nchini Tanzania na Maasai Mara nchini Kenya ambao una mojawapo wa maajabu manane ya dunia yanayovutia watalii unakumbwa na tishio la kimazingira kutokana na nchi hizo mbili kuingia katika mgogoro wa kugombania maji.
-
Odinga 'kujiapisha' Disemba 12, kupinga ushindi wa Kenyatta UN
Nov 29, 2017 04:52Kinara wa muungano wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga amesema ataapishwa kuwa rais 'halali' wa Kenya Disemba 12, wakati nchi hiyo itakuwa inaadhimisha Siku ya Jamhuri.
-
Uhuru Kenyatta aapishwa kama rais wa Kenya
Nov 28, 2017 13:08Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ameapishwa kuiongoza nchi hiyo kwa muhula wa pili wa miaka mitano mjini Nairobi leo katika sherehe iliyohudhuriwa na maelfu ya wafuasi wake na viongozi kadhaa wa nchi za Afrika.
-
Uhuru kuapishwa leo, kambi ya upinzani yasusia, yaitisha mkutano Jacaranda
Nov 28, 2017 00:05Mivutano ya kisiasa inaonekana kupamba moto zaidi leo nchini Kenya huku vyombo vya usalama vikilinda maeneo muhimu ya jiji la Nairobi kabla ya kuapishwa Rais Uhuru Kenyatta hii leo kwa ajili ya kipindi cha awamu ya pili.
-
Kenyatta amualika Odinga katika sherehe za kuapishwa kwake
Nov 25, 2017 00:52Rais Uhuru Kenyatta amemualika 'ndugu yake' Raila Odinga katika sherehe za kuapishwa kwake zikatazofanyika katika mji mkuu Nairobi Jumanne ijayo ya Novemba 28.
-
Kuendelea mivutano baada ya Mahakama ya Juu ya Kenya kuthibitisha ushindi wa Uhuru Kenyatta
Nov 21, 2017 11:10Baada ya kupita wiki kadhaa tangu ulipofanyika uchaguzi wa marudio wa rais wa Kenya na kufuatia kesi zilizofunguliwa mahakamani kutaka matokeo ya uchaguzi huo yabatilishwe, Mahakama ya Juu ya nchi hiyo imetupilia mbali kesi hizo na kuthibitisha ushindi wa Uhuru Kenyatta katika uchaguzi huo.
-
Rais Rouhani wa Iran ampongeza Rais Kenyatta wa Kenya kwa kuchaguliwa tena
Nov 21, 2017 04:15Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtumia Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ujumbe wa kumpongeza kufuatia kuchaguliwa tena kuwa rais wa Kenya.
-
Mahakama ya Kilele Kenya yaidhinisha ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta
Nov 20, 2017 11:11Mahakama ya Kilele nchini Kenya imetupilia mbali kesi mbili zilizokuwa zimewasilishwa kupinga uchaguzi wa rais wa marudio wa Oktoba 26 na hivyo kuidhinisha ushindi wa Uhuru Kenyatta.