-
Viongozi wa CORD wapigwa mabomu ya kutoa machozi Nairobi
Apr 25, 2016 12:04Viongozi wa Muungano wa CORD wa Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga na wafuasi wao wamekumbwa na zahama kubwa leo baada ya polisi kuwafyatulia mabomu ya kutoa machozi katika jaribio la kutawanya maandamano yao mbele ya jengo la Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC jijini Nairobi.
-
Rais wa Kenya aidhinisha sheria dhidi ya pufya
Apr 22, 2016 10:53Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya leo ameidhinisha sheria zitakatambua pufya au doping kuwa kosa la jinai.
-
Matangazo ya biashara yanayokiuka maadili marufuku Kenya
Apr 19, 2016 22:15Bodi ya Filamu nchini Kenya imepiga marufuku matangazo ya biashara yanayokiuka maadili mema katika redio, televisheni na maeneo ya umma nchini humo.
-
Kipindupindu chaua watu kadhaa Zambia
Apr 14, 2016 00:22Watu kadhaa wamepoteza maisha kutokana na kusambaa ugonjwa wa kipindupindu katika mji mkuu wa Zambia, Lusaka.
-
Al Shabab washambulia kituo cha polisi Kenya
Apr 10, 2016 10:42Magaidi wameshambulia kituo cha polisi katika mpaka wa Kenya na Somalia na kupora gari la polisi na kombora moja.
-
ICC: Naibu Rais wa Kenya hana kesi ya kujibu
Apr 05, 2016 12:12Mahakama ya Kimatiafa ya Jinai ICC imetangaza kuwa Naibu wa Rais wa Kenya William Ruto na mwanahabari Joshua Sang hawana kesi ya kujibu kufuatia kuvurugika mkondo wa kesi dhidi yao.
-
Wakenya waadhimisha mauaji ya Garissa kwa maandamano
Apr 02, 2016 12:04Mamia ya wanafunzi na wakazi wa mji wa Garissa nchini Kenya, wamefanya maandamano ya kulaani hujuma ya kundi la kigaidi la ash-Shabab katika chuo kikuu cha mji huo mwaka mmoja uliopita.
-
'Jordan, UK zinaisaidia Kenya kukabiliana na Al Shabab'
Mar 28, 2016 02:42Imedaiwa kuwa Jordan na Uingerea zinashirikiana kwa siri kuisaidia Kenya kukabiliana na kundi la kigaidi la Al Shabab.
-
Wakenya wafurahishwa na kufutwa baraza la mitihani KNEC
Mar 27, 2016 06:06Asilimia kubwa ya raia wa Kenya wameunga mkono hatua ya Waziri wa Elimu nchini humo, kufuta Baraza la Mitihani la nchi hiyo (KNEC)
-
Magaidi 70 wa al Shabab wauawa na jeshi la Somalia
Mar 22, 2016 03:34Magaidi zaidi ya 70 wa kundi la kitakfiri la al Shabab wameuawa katika mapigano na Jeshi la Somalia kaskazini mwa nchi hiyo.