-
Korea Kaskazini yalifanyia majaribio kombora la kimkakati la kruzi na silaha nyingine
Jul 05, 2026 10:57Korea Kaskazini imelifanyia jaribio kombora la kimkakati la kruzi na silaha nyingine kutoka katika meli yake mpya ya kivita ya Kang Kon yenye yenye uzito wa tani 5,000 na refu wa mita 140. Shirika Kuu la Habari la Korea Kaskazini KCNA leo limetangaza kuwa Kiongozi wa nchi hiyo Kim Jong Un alisimamia majaribio hayo siku ya Ijumaa.
-
Korea Kaskazini yaituhumu Japan kujigeuza ‘Taifa la Vita’ kufuatia mazoezi ya kijeshi na Marekani
Jun 30, 2026 03:40Korea Kaskazini imekosoa vikali mazoezi ya kijeshi yanayoendelea kati ya Marekani na Japan, ikiituhumu Tokyo kutumia hali ya sasa ya dunia iliyojaa misukosuko kama kisingizio cha “kujihalalishia mabadiliko yake kuwa taifa la vita.”
-
Russia yaonya US, waitifaki: Msiitishie Russia na Korea Kaskazini
Jul 12, 2025 13:15Moscow imeionya Marekani na waitifaki wake dhidi ya kuzitishia Russia na Korea Kaskazini.
-
Pyongyang yajibu mapigo, yavurumisha makombora baharini
Mar 10, 2025 07:52Korea Kaskazini imevurumisha makombora kadhaa ya balestiki baharini leo Jumatatu, saa chache baada ya wanajeshi wa Korea Kusini na Marekani kuanza mazoezi makubwa ya kijeshi ya kila mwaka ya pamoja, ambayo Pyongyang inayatazama kama majaribio ya uvamizi.
-
Korea Kaskazini: Tutatoa jibu kali kwa maneva ya kijeshi ya Korea Kusini na Marekani
Mar 08, 2025 23:06Korea Kaskazini imeionya Seoul na kutishia kuchukua hatua kali iwapo mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya kila mwaka kati ya Korea Kusini na Marekani yataendelea katika wiki zijazo.
-
Jumatatu, Disemba 02, 2024
Dec 01, 2024 23:35Leo ni Jumatatu tarehe 30 Mfunguo Nane Jamadul-Awwal 1446 Hijria, mwafaka na tarehe Pili Disemba 2024.
-
Pyongyang kufanyia majaribio ICBM wakati wa uchaguzi wa US?
Oct 30, 2024 23:03Korea Kusini imesema yumkini Korea Kaskazini itafanyia majaribio kombora lake jipya la balestiki, lenye uwezo wa kuvuka mabara la ICBM wakati huu wa msimu wa uchaguzi wa rais wa Marekani.
-
Jumatatu, 09 Septemba, 2024
Sep 08, 2024 23:26Leo ni Jumatatu tarehe 05 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1446 Hijria sawa na tarehe 09 Septemba 2024.
-
Jumamosi, 10 Agosti, 2024
Aug 09, 2024 22:59Leo ni Jumamosi 5 Mfunguo Tano Safar 1446 Hijria mwafaka na 10 Agosti 2024.
-
UN: Kombora la balestiki la Korea Kaskazini limetumika kushambulia mji wa Kharkiv, Ukraine
Apr 30, 2024 03:51Wachunguzi wa vikwazo wa Umoja wa Mataifa wameiambia kamati ya vikwazo ya Baraza la Usalama la umoja huo kuwa, mabaki ya kombora yaliyopatikana katika mji wa Kharkiv nchini Ukraine mnamo Januari 2 yanatokana na kombora la balestiki la Korea Kaskazini aina ya Hwasong-11.