Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • Balozi wa Korea Kaskazini nchini Russia: Marekani itashindwa huko Ukraine kama ilivyofeli Afghanistan

    Balozi wa Korea Kaskazini nchini Russia: Marekani itashindwa huko Ukraine kama ilivyofeli Afghanistan

    Oct 22, 2023 03:20

    Balozi wa Korea Kaskazini nchini Russia amelaani uungaji mkono na misaada ya kijeshi ya Marekani kwa Ukraine na kusema, mara hii pia Marekani itashindwa na kufeli kama ilivyokuwa huko Afghanistan.

  • Ushirikiano wa Korea Kaskazini na Russia dhidi ya Marekani

    Ushirikiano wa Korea Kaskazini na Russia dhidi ya Marekani

    Oct 21, 2023 11:28

    Katika mazungumzo yake na kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, Sergei Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, wamejadiliana kuhusu uhusiano wa pande mbili na ushirikiano wao wa hivi sasa na kusisitiza juu ya makubaliano yao ya kutatua kidiplomasia masuala yenye utata katika Peninsula ya Korea.

  • Korea Kaskazini yatishia kuishambulia manowari ya kubebea ndege za kivita ya Marekani

    Korea Kaskazini yatishia kuishambulia manowari ya kubebea ndege za kivita ya Marekani

    Oct 15, 2023 02:32

    Korea Kaskazini imeitishia Marekani kwamba itaanzisha "shambulio kali zaidi na la haraka zaidi la kujikinga" dhidi ya zana za kijeshi za nchi hiyo, ikiwa ni pamoja na meli yake ya kivita ya nyuklia iliyoko kwenye maji ya Peninsula ya Korea.

  • Jumamosi, 09 Septemba 2023

    Jumamosi, 09 Septemba 2023

    Sep 09, 2023 02:18

    Leo ni Jumamosi tarehe 23 Mfunguo Tano Safar 1445 Hijria mwafaka na tarehe 9 Septemba 2023 Miladia.

  • Pyongyang: Askari wa US alitorokea Korea Kaskazini kutokana na ubaguzi

    Pyongyang: Askari wa US alitorokea Korea Kaskazini kutokana na ubaguzi

    Aug 17, 2023 03:13

    Serikali ya Pyongyang imesema askari Mmarekani mwenye asili ya Afrika alitorokea Korea Kaskazini kutokana na vitendo vya ubaguzi wa rangi na dhulma alizokuwa akishuhudia ndani ya jeshi la Marekani.

  • Putin na Kim watilia mkazo kuwepo uhusiano wa karibu zaidi kati ya Russia na Korea Kaskazini

    Putin na Kim watilia mkazo kuwepo uhusiano wa karibu zaidi kati ya Russia na Korea Kaskazini

    Aug 16, 2023 02:48

    Rais Vladimir Putin wa Russia na Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un wameahidi kujenga ushirikiano wa karibu zaidi kati ya nchi zao mbili katika mawasiliano waliyofanya kwa barua kwa manasaba wa maadhimisho ya Siku ya Taifa ya Ukombozi wa Korea Kaskazini.

  • Alkhamisi, Agosti 10, 2023

    Alkhamisi, Agosti 10, 2023

    Aug 10, 2023 02:24

    Leo ni Alkhamisi tarehe 23 Mfunguo Nne Muharram 1445 Hijria mwafaka na tarehe 10 Agosti 2022.

  • Korea Kaskazini yakosoa msaada wa silaha za Marekani kwa Taiwan

    Korea Kaskazini yakosoa msaada wa silaha za Marekani kwa Taiwan

    Aug 04, 2023 07:51

    Korea Kaskazini imekosoa vikali hatua ya Marekani ya kuipa Taiwan msaada wa silaha wa mamilioni ya dola ikisisitiza kuwa, Washington inakitumia kisiwa hicho kinachojitawala kushadidisha taharuki na kuchochea moto wa vita katika eneo.

  • Korea Kaskazini yavurumisha makombora kujibu uchokozi wa Marekani

    Korea Kaskazini yavurumisha makombora kujibu uchokozi wa Marekani

    Jul 19, 2023 10:09

    Korea Kaskazini imevurumisha makombora mawili ya balestiki kuelekea Bahari ya Mashariki kujibu chokochoko za Marekani.

  • Kuendelea harakati hatari za kijeshi za Marekani barani Asia

    Kuendelea harakati hatari za kijeshi za Marekani barani Asia

    Jun 18, 2023 10:26

    Sera hatari za kijeshi na za kichochezi za Marekani katika bara kubwa duniani yaani bara la Asia zingali zinaendelea.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS