-
Korea Kusini sasa yaomba mazungumzo na Korea Kaskazini
Jul 08, 2017 07:25Huku mgogoro wa Peninsula ya Korea ukiendelea kutokota kufuatia vitisho vya Rais Donald Trump wa Marekani kwamba atatumia nguvu za kijeshi dhidi ya Korea Kaskazini, Korea Kusini sasa imetaka mazungumzo yafanyike kutatua mgogoro uliopo.
-
Pyongyang: Komandi ya kijeshi ya askari wa kimataifa mjini Seoul, ivunjwe
Jul 03, 2017 04:22Serikali ya Korea Kasakazini imetoa pendekezo la kuvunjwa kituo kikuu cha kijeshi kwa ajili ya askari wa mataifa tofauti iliyo chini ya Umoja wa Mataifa huko Seoul, mji mkuu wa Korea Kusini ivunjwe.
-
Pyongyang: Trump anatekeleza siasa zile zile za Adolf Hitler wa Ujerumani
Jun 27, 2017 15:08Serikali ya Korea Kaskazini imesema kuwa, Rais Donald Trump wa Marekani anatekeleza siasa zile zile za Adolf Hitler, kiongozi wa zamani wa Kinazi nchini Ujerumani.
-
Korea Kusini: Pyongyang iwaachilie huru watu wetu na Wamarekani inaowashikilia
Jun 26, 2017 08:00Waziri Mkuu wa Korea Kusini ameitaka serikali ya Korea Kaskazini kuwaalichilia huru raia wa nchi hiyo na wale wa Marekani ambao wanashikiliwa na serikali ya Pyongyang.
-
Asilimia 78 ya raia wa Korea Kusini wanapendelea nchi yao izungumze na Korea Kaskazini
Jun 26, 2017 04:06Matokeo ya uchunguzi wa maoni yanaonyesha kwamba, raia wengi wa Korea Kusini, wanapendelea nchi yao ifanye kila juhudi kuhakikisha inafanya mazungumzo ya amani na jirani yao Korea Kaskazini.
-
Malalamiko ya raia wa Korea Kusini dhidi ya Marekani
Jun 01, 2017 03:19Raia wa Korea Kusini wamefanya maandamano makubwa katika miji tofauti ya nchi hiyo hususan Seoul, mji mkuu wa taifa hilo ambapo mbali na kutaka kusimamishwa haraka uwekaji ngao ya makombora ya Marekani THAAD, wametaka pia kusitishwa hatua za kijeshi za askari wa nchi hiyo katika eneo la Korea.
-
Raia wa Korea Kusini waandamana kupinga uepo wa Marekani nchini mwao
May 30, 2017 08:21Raia wa Korea Kusini wamefanya maandamano makubwa katika miji tofauti ya nchi hiyo hususan Seoul, mji mkuu wa taifa hilo ambapo mbali na kutaka kusimamishwa haraka uwekaji ngao ya makombora ya Marekani, wametaka pia kuondolewa askari wa nchi hiyo katika eneo la Korea.
-
Korea Kusini: Urushaji makombora wa Korea Kaskazini unatuweka katika mashinikizo
May 30, 2017 04:30Jeshi la Korea Kusini limesema kuwa, urushaji makombora unaofanywa na Korea Kaskazini unaiweka Seoul katika mashinikizo kwa ajili ya kubadili siasa za nchi hiyo.
-
Jumamosi, Mei 20, 2017
May 20, 2017 06:12Leo ni Jumamosi tarehe 23 Shaaban 1438 Hijria sawa na tarehe 20 Mei mwaka 2017 Miladia.
-
Watawala wa Korea Kusini wataka kutowekwa ngao ya THAAD ya Marekani nchini mwao
May 18, 2017 04:36Mkuu wa chama tawala katika bunge la Korea Kusini ametaka kuangaliwa upya suala la kuwekwa ngao ya kisasa ya Marekani aina ya THAAD katika ardhi ya nchi hiyo.