-
Jumatano, 15 Agosti, 2018
Aug 15, 2018 02:34Leo ni Jumatano tarehe 3 Dhulhija 1439 Hijria sawa na Agosti 15, 2018.
-
Upinzani wa baraza la wawakilishi la Marekani juu ya kuondoka askari wa nchi hiyo Korea Kusini
Jul 30, 2018 04:38Baraza la Wawakilishi la Marekani, limekataa kupunguzwa na kuondolewa askari wa nchi hiyo walioko nchini Korea Kusini.
-
Trump afuta ratiba ya maneva ya kijeshi na Korea Kusini
Jul 07, 2018 13:48Rais Donald Trump wa Marekani amefuta ratiba ya maneva ya kijeshi yaliyokuwa yamepangwa kufanyika kati ya jeshi la Marekani na Korea Kusini kutokana na gharama.
-
Korea Kusini: Tutaendelea kununua mafuta ya Iran licha ya vikwazo vya Marekani
Jul 06, 2018 08:09Afisa wa ngazi ya juu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Korea Kusini amesema kuwa, nchi hiyo itaendelea kununua mafuta ya Iran licha ya vikwazo vya upande mmoja vya Marekani dhidi ya Tehran.
-
Kufunguliwa kambi kubwa ya kijeshi ya Marekani nchini Korea Kusini
Jul 01, 2018 11:26Licha ya Rais Donald Trump wa Marekani kutangaza azma ya kutaka kupunguza askari wa nchi hiyo katika eneo la Peninsula ya Korea, serikali ya Washington imefungua kambi kubwa zaidi ya kijeshi duniani karibu na Seoul, mji mkuu wa Korea Kusini.
-
Jumatatu tarehe 25 Juni, 2018
Jun 25, 2018 07:53Leo ni Jumatatu tarehe 11 Shawwal 1439 Hijria sawa na tarehe 25 Juni 2018.
-
Onyo la Korea Kaskazini kwa Marekani, lailazimisha Washington kurejea nyuma
May 18, 2018 03:53Kufuatia onyo kali la Korea Kaskazini la kutaka kuvunja kikao tarajiwa kati ya kiongozi wa nchi hiyo na Rais wa Marekani hapo tarehe 12 Juni mwaka huu, hatimaye Washington imelazimika kutangaza kwamba ndege za kivita zenye kubeba mabomu ya nyuklia hazitashirki katika maneva ya pamoja ya anga ya nchi hiyo na Korea Kusini.
-
Korea Kaskazini yatishia kufuta mkutano wake na Marekani
May 16, 2018 07:19Korea Kaskazini imetishia kufuta mkutano kati ya kiongozi wake, Kim Jong-un na Rais Donald Trump wa Marekani, kutokana na kile inachodai kuwa ni chokochoko za Washington na Korea Kusini dhidi yake.
-
Korea Kusini yashangazwa na madai ya Japan kwamba inaitumia Korea Kaskazini mafuta
May 14, 2018 13:59Serikali ya Korea Kusini sambamba na kukanusha madai ya Japan kwamba, inatuma mafuta kwenda Korea Kaskazini kwa siri, imesema kuwa Seoul imefungamana vilivyo na vikwazo vya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya Pyongyang.
-
Bolton: Marekani haitapunguza wanajeshi wake Korea ya Kusini
May 05, 2018 04:04John Bolton Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Marekani amesema kuwa Rais Donald Trump wa nchi hiyo hajaiomba Pentagon kuhusu njia mbadala zinazoweza kutekelezwa mkabala na kupunguza wanajeshi wa Marekani walioko Korea ya Kusini.