Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kundi la kigaidi

  • Ahadi ya serikali ya Iraq ya kuyashinda kikamilifu magaidi baada ya muda si mrefu

    Ahadi ya serikali ya Iraq ya kuyashinda kikamilifu magaidi baada ya muda si mrefu

    May 20, 2016 16:24

    Kufuatia kukombolewa mji wa kistratijia wa Rutbah katika mkoa wa Al- Anbar magharibi mwa Iraq, Waziri Mkuu wa nchi hiyo Haidar al-Abadi ametangaza kuwa karibuni hivi vikosi vya jeshi vitayashinda kikamilifu makundi ya kigaidi na kitakfiri.

  • Wito wa kuwepo azma ya kupambana na makundi ya kigaidi Afrika

    Wito wa kuwepo azma ya kupambana na makundi ya kigaidi Afrika

    Apr 28, 2016 15:14

    Mkuu wa kikosi cha Kiafrika cha kupambana na kundi la kigaidi la Boko Haram amezitaka nchi zinazoshiriki katika operesheni ya kijeshi dhidi ya kundi hilo kuzidisha azma ya kukabiliana na ugaidi.

  • Baraza la Usalama latahadharisha kuhusu mashambulizi ya kigaidi

    Baraza la Usalama latahadharisha kuhusu mashambulizi ya kigaidi

    Apr 26, 2016 04:42

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetahadharisha kuhusu hatari ya kushadidi mashambulizi ya makundi ya kigaidi katika Bara Arabu na Iraq.

  • Miaka miwili yapita tangu Boko Haram kuteka wasichana Chibok

    Miaka miwili yapita tangu Boko Haram kuteka wasichana Chibok

    Apr 15, 2016 08:00

    Ni miaka miwili sasa tangu magaidi wakufurishaji wa Boko Haram walipowateka nyara wasichana wa shule ya serikali katika mji wa Chibok, kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Boko Haram wanatumia watoto katika hujuma za kigaidi

    Boko Haram wanatumia watoto katika hujuma za kigaidi

    Apr 12, 2016 16:26

    Kundi la magaidi wakufurishaji wa Boko Haram nchini Nigeria wanazidi kuwatumia watoto wadogo kusheheni bomu na kujiripua katika hujuma za kigaidi.

  • Brigedia Jenerali Pourdastan: Wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh walijaribu kupenya Iran wakashindwa

    Brigedia Jenerali Pourdastan: Wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh walijaribu kupenya Iran wakashindwa

    Apr 11, 2016 13:33

    Kamanda wa Jeshi la Nchi Kavu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mwezi mmoja uliopita, wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh walijaribu kupenya ili waingie Iran lakini jaribio lao hilo likafeli.

  • Al Shabab washambulia kituo cha polisi Kenya

    Al Shabab washambulia kituo cha polisi Kenya

    Apr 10, 2016 15:12

    Magaidi wameshambulia kituo cha polisi katika mpaka wa Kenya na Somalia na kupora gari la polisi na kombora moja.

  • Marekani imewakabidhi silaha magaidi Syria

    Marekani imewakabidhi silaha magaidi Syria

    Apr 10, 2016 03:05

    Tovuti moja ya habari imefichua kuwa Marekani hadi sasa imeshatoa msaada wa tani elfu tatu za silaha kwa magaidi wa Al Qaeda na washirika wao nchini Syria.

  • Makamanda saba wa Al Shabab wauawa Somalia

    Makamanda saba wa Al Shabab wauawa Somalia

    Apr 05, 2016 14:20

    Makamanda saba wa kundi la kigaidi la Al Shabab wameuawa Somalia katika oparesheni za pamoja za Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika Somalia AMISOM na jeshi la nchi hiyo.

  • Naibu kinara wa Boko Haram akamatwa

    Naibu kinara wa Boko Haram akamatwa

    Apr 03, 2016 13:42

    Naibu kinara wa kundi la kigaidi la Boko Haram nchini Nigeria amekamatwa katika oparesheni ya vikosi vya usalama nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS