Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kundi la kigaidi

  • Askari 30 wauawa na makumi wajeruhiwa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Askari 30 wauawa na makumi wajeruhiwa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Sep 02, 2018 02:23

    Askari 30 wa Nigeria wameuliwa katika shambulio lililofanywa na magaidi wa kundi la Boko Haram dhidi ya kambi moja ya jeshi kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Magaidi 87 wa al Shabab wauawa kusini mwa Somalia

    Magaidi 87 wa al Shabab wauawa kusini mwa Somalia

    Jul 24, 2018 16:11

    Serikali ya Somalia imetangaza kuwa imewaangamiza magaidi 87 wa kundi la al Shabab katika mapigano yaliyotokea jana kusini mwa nchi hiyo.

  • Dakta Kharrazi: Makundi ya kigaidi yanahamishiwa Afghanistan na kaskazini mwa Afrika

    Dakta Kharrazi: Makundi ya kigaidi yanahamishiwa Afghanistan na kaskazini mwa Afrika

    Jul 15, 2018 14:08

    Mkuu wa Baraza la Kistratijia la Uhusiano wa Nje wa Iran amesema kuwa, baada ya makundi ya kigaidi kushindwa huko Syria na Iraq sasa yanahamishiwa katika maeneo mengine hususan Afghanistan na kaskazini mwa Afrika.

  • Magaidi wa Boko Haram waua watu 8 katika hujuma mpakani mwa Nigeria na Cameroon

    Magaidi wa Boko Haram waua watu 8 katika hujuma mpakani mwa Nigeria na Cameroon

    Jul 02, 2018 02:38

    Magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram wameshambulia kambi ya wakimbizi wa ndani ya nchi, IDP, katika hujuma waliyotekeleza katika eneo la mpaka wa Nigeria na Cameroon ambapo watu wasiopungua wanne wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa.

  • Iran yazima njama ya magaidi wakufurishaji kujipenyeza nchini

    Iran yazima njama ya magaidi wakufurishaji kujipenyeza nchini

    Jun 26, 2018 07:50

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu limetangaza kufanikiwa kuwazuia magaidi wakufurishaji kujipenyeza katika eneo la Mirjaveh kusini mashariki mwa nchi.

  • Magaidi 7 wa Al Shabab, akiwemo Mtanzania, waangamizwa katika mapigano Somalia

    Magaidi 7 wa Al Shabab, akiwemo Mtanzania, waangamizwa katika mapigano Somalia

    Jun 26, 2018 07:44

    Jeshi la Somalia limewaangamiza magaidi saba wa kundi la kigaidi la Al Shabab katika mapigano yaliyojiri katika eneo la Lower Juba kusini mwa nchi hiyo.

  • Jeshi la SEPAH la Iran lasambaratisha makundi mawili ya kigaidi mjini Tehran

    Jeshi la SEPAH la Iran lasambaratisha makundi mawili ya kigaidi mjini Tehran

    May 29, 2018 08:02

    Kamanda wa Kikosi cha Muhammad Rasulullah cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran SEPAH, ametangaza kusambaratishwa makundi mawili ya kigaidi mjini Tehran.

  • UN: Itachukua miaka kadhaa kuliangamiza kikamilifu kundi la Boko Haram

    UN: Itachukua miaka kadhaa kuliangamiza kikamilifu kundi la Boko Haram

    May 10, 2018 02:26

    Mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika eneo la magharibi mwa Afrika ametangaza kuwa, licha ya kuweko mafanikio katika kupambana na kundi la kigaidi la Boko Haram, lakini itachukua miaka kadhaa ili kuliangamiza kikamilifu kundi hilo.

  • Jeshi la Nigeria lawaokoa mateka 149 kutoka mikononi mwa Boko Haram

    Jeshi la Nigeria lawaokoa mateka 149 kutoka mikononi mwa Boko Haram

    Apr 10, 2018 02:49

    Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, limewakomboa mateka 149 kutoka mikononi mwa kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Boko Haram wafanya shambulizi kaskazini mashariki mwa Nigeria watu 18 wauawa

    Boko Haram wafanya shambulizi kaskazini mashariki mwa Nigeria watu 18 wauawa

    Apr 02, 2018 14:29

    Duru za habari nchini Nigeria zimeripoti kwamba, kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram limefanya shambulizi katika mji wa Maiduguri, makao makuu ya jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS