Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kundi la kigaidi

  • Jeshi la Chad lapambana na magaidi wa Boko Haram

    Jeshi la Chad lapambana na magaidi wa Boko Haram

    Mar 25, 2018 02:21

    Duru za kijeshi za Chad zimetangaza habari ya kutokea mapigano kati ya jeshi la nchi hiyo na magaidi wa Boko Haram katika eneo la Ziwa Chad.

  • Boko Haram yaua raia 10 katika shambulizi la kigaidi nchini Nigeria

    Boko Haram yaua raia 10 katika shambulizi la kigaidi nchini Nigeria

    Mar 08, 2018 01:41

    Habari kutoka Nigeria zimeripoti kwamba kwa akali raia 10 wameuawa na wanamgambo wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram katika mashambulizi matatu tofauti, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Magaidi wanne watiwa mbaroni katikati ya Somalia

    Magaidi wanne watiwa mbaroni katikati ya Somalia

    Feb 08, 2018 03:59

    Jeshi la Somalia limetangaza habari ya kutiwa mbaroni magaidi wanne wa genge la wakufurishaji la al Shabab, katikati ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Watu kadhaa wauawa katika shambulio jipya la Boko Haram nchini Cameroon

    Watu kadhaa wauawa katika shambulio jipya la Boko Haram nchini Cameroon

    Jan 11, 2018 15:56

    Duru za kiusalama nchini Cameroon zimetangaza habari ya kutokea shambulizi jipya la genge la kigaidi la Boko Haram kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Ripoti: Marekani na Saudi Arabia zimewapa magaidi wa ISIS silaha

    Ripoti: Marekani na Saudi Arabia zimewapa magaidi wa ISIS silaha

    Dec 15, 2017 06:42

    Shirika moja la kimataifa limezilaumu tawala za Marekani na Saudi Arabia kuwa zimekuwa zikiwafikishia magaidi wa ISIS silaha kwa siri kupitia makundi ya wapinzania nchini Syria.

  • Boko Haram waua wanajeshi watatu kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Boko Haram waua wanajeshi watatu kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Nov 27, 2017 15:03

    Duru za usalama za Nigeria zimetangaza habari ya kuuawa wanajeshi watatu katika shambulizi la kigaidi lililofanywa na kundi la Boko Haram katika mji wa Magumeri, wa jimbo la Borno la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Magaidi wa al Shabab wateka mji wa Rassadi kusini mwa Somalia

    Magaidi wa al Shabab wateka mji wa Rassadi kusini mwa Somalia

    Nov 01, 2017 08:21

    Kundi la kigaidi la al Shabab limeuteka mji wa Rassadi ulioko kusini mwa Somalia baada ya askari wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika kuondoka katika eneo hilo.

  • Tunisia yasambaratisha genge jingine la kigaidi

    Tunisia yasambaratisha genge jingine la kigaidi

    Oct 19, 2017 14:03

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Tunisia imetangaza kuwa, imesambaratisha genge moja la ukufurishaji lenye mfungamano na kundi la kigaidi linalojulikana kwa jina la Answar al Sharia.

  • Mauaji ya watu 276 katika shambulio la kigaidi nchini Somalia

    Mauaji ya watu 276 katika shambulio la kigaidi nchini Somalia

    Oct 16, 2017 02:35

    Mripuko wa lori lililotegwa bomu ndani yake uliua watu wasiopungua 276 mjini Mogadishu, Somalia siku ya Jumamosi jioni.

  • Kesi ya mamia ya magaidi wa Boko Haram yaanza kusikilizwa Nigeria

    Kesi ya mamia ya magaidi wa Boko Haram yaanza kusikilizwa Nigeria

    Oct 10, 2017 08:12

    Wizara ya Sheria ya Nigeria imetangaza habari ya kuanza kusikilizwa kesi ya wanachama zaidi ya elfu mbili wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika mahakama mbalimbali za nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS