Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kundi la kigaidi

  • Serikali ya Niger yawaonya wafanyabiashara wanaoshirikiana na Boko Haram

    Serikali ya Niger yawaonya wafanyabiashara wanaoshirikiana na Boko Haram

    Oct 01, 2017 03:56

    Viongozi wa Niger wamewaonya vikali wafanyabiashara ambao wanafanya biashara kwa siri na kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Watu watatu wauawa katika shambulio la magaidi wa Boko Haram nchini Nigeria

    Watu watatu wauawa katika shambulio la magaidi wa Boko Haram nchini Nigeria

    Sep 28, 2017 15:33

    Maafisa wa Nigeria wameripoti kuwa watu watatu wameuawa katika shambulio lililotekelezwa na kundi la kigaidi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Shambulio la Boko Haram laua watu wanane kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Shambulio la Boko Haram laua watu wanane kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Sep 09, 2017 03:22

    Watu wasiopungua wanane wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Duru za Kizayuni zakiri kuwa Israel inayaunga mkono makundi ya kigaidi

    Duru za Kizayuni zakiri kuwa Israel inayaunga mkono makundi ya kigaidi

    Sep 03, 2017 02:28

    Utawala wa Kizayuni umekiri rasmi kuwa unawapatia misaada makundi yanayobeba silaha huko Syria na yale ya kigaidi yanayopigana dhidi ya serikali ya nchi hiyo. Uungaji mkono wa utawala huo kwa makundi hayo yanayobeba silaha ni wazi kuwa hauishii tu katika kuwapatia matibabu wanamgambo majeruhi katika hospitali za Israel.

  • Shambulio la kigaidi la Boko Haram laua raia wasiopungua sita kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Shambulio la kigaidi la Boko Haram laua raia wasiopungua sita kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Aug 23, 2017 07:47

    Watu wasiopungua sita wameuawa katika shambulio lililofanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Russia yazikosoa vikali Marekani na Uingereza kwa kuwapa magaidi silaha za kemikali huko Syria

    Russia yazikosoa vikali Marekani na Uingereza kwa kuwapa magaidi silaha za kemikali huko Syria

    Aug 17, 2017 07:39

    Russia imetangaza kuwa Marekani na Uingereza zinakiuka sheria za kimataifa kwa kuwapatia silaha za kemikali magaidi huko Syria.

  • Magaidi waliohusika na mauaji ya Wakristo wa Kicopti nchini Misri, wauawa

    Magaidi waliohusika na mauaji ya Wakristo wa Kicopti nchini Misri, wauawa

    Aug 11, 2017 04:15

    Wizara ya Mambo ya Ndani nchini Misri imetangaza habari ya kuuawa magaidi watatu wanaodhaniwa kuhusika na shambulizi lililowalenga Wakristo wa Kicopti kusini mwa nchi hiyo.

  • Waingereza 150 wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh wavuliwa uraia

    Waingereza 150 wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh wavuliwa uraia

    Jul 30, 2017 15:13

    Serikali ya Uingereza imewavua uraia zaidi ya raia wake 150 kwa tuhuma za kujiunga na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS).

  • Magaidi wa Kikristo waua askari wa kulinda amani wa UN, CAR

    Magaidi wa Kikristo waua askari wa kulinda amani wa UN, CAR

    Jul 26, 2017 07:52

    Kundi la kigaidi la Kikristo la Anti-Balaka limeua askari wawili wa Kikosi cha Kusimamia Amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati MINUSCA.

  • Iran: Tuhuma za Israel kwamba tunawapatia silaha magaidi wa Misri, ni kichekesho na urongo

    Iran: Tuhuma za Israel kwamba tunawapatia silaha magaidi wa Misri, ni kichekesho na urongo

    Apr 13, 2017 16:57

    Ofisi ya kulinda maslahi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Misri imesema kuwa, madai ya hivi karibuni ya baadhi ya mitandao ya kijamii na vyombo vya habari vya Kiarabu kwamba Tehran inayaunga mkono magenge ya kigaidi katika eneo la Peninsula ya Sinai nchini Misri kwa kutegemea video ya kutiliwa shaka iliyotolewa na magaidi, ni kichekesho na uongo mkubwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS