Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kundi la kigaidi

  • Libya: Uturuki ndio inayounga mkono makundi ya kigaidi yanayofanya jinai Libya

    Libya: Uturuki ndio inayounga mkono makundi ya kigaidi yanayofanya jinai Libya

    Mar 20, 2017 03:02

    Msemaji wa wapiganaji wa serikali yenye makao yake huko mashariki mwa Libya ameiarifisha rasmi Uturuki kuwa ndio muungaji mkono mkubwa wa makundi ya kigaidi nchini humo.

  • Shambulio la kundi la kigaidi kwenye vituo vya mafuta nchini Libya

    Shambulio la kundi la kigaidi kwenye vituo vya mafuta nchini Libya

    Mar 05, 2017 12:14

    Sambamba na kuendelea migogoro ya kisiasa na kutokuwepo usalama nchini Libya, kwa mara nyingine kundi moja la wabeba silaha limeweza kudhibiti kituo cha mafuta katika eneo linalojulikana kwa jina maarufu la 'Hilali ya Mafuta' kaskazini mashariki mwa Libya.

  • Kuungana makundi mawili yenye misimamo mikali huko Mali

    Kuungana makundi mawili yenye misimamo mikali huko Mali

    Mar 05, 2017 02:18

    Makundi mawili kwa majina ya Ansaruddin na al Murabitun yameamua kuungana katika hatua mpya iliyochukuliwa na makundi yanayobeba silaha yenye makao yao huko Mali.

  • Maji yamfika shingoni Abubakar al-Baghdadi, ateua warithi wake

    Maji yamfika shingoni Abubakar al-Baghdadi, ateua warithi wake

    Jan 05, 2017 16:10

    Kiongozi wa kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) Ibrahim al-Samarrai, maarufu kama Abubakr al-Baghdadi ameteua watu watatu ambao wanatazamiwa kuchukua nafasi yake.

  • Utawala wa Saudia na uenezaji ugaidi nje ya nchi

    Utawala wa Saudia na uenezaji ugaidi nje ya nchi

    Dec 28, 2016 02:52

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudi Arabia imetangaza kuwa maelfu ya raia wa nchi hiyo wanashiriki kwenye harakati za makundi ya kigaidi nje ya nchi hiyo. Mansour Turki, msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudia alitangaza siku ya Jumatatu kuwa zaidi ya raia elfu mbili wa nchi hiyo wamejiunga na makundi ya kigaidi. Turki amesisitiza kuwa sehemu hasa walipo akthari ya watu hao zimeshajulikana.

  • Syria: Jinai za magaidi zitakoma kwa kusimamishwa misaada wanayopata kutoka nje

    Syria: Jinai za magaidi zitakoma kwa kusimamishwa misaada wanayopata kutoka nje

    Nov 11, 2016 08:02

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imesema jinai za makundi ya kigaidi dhidi ya raia wasio na hatia wa nchi hiyo zitakoma pale tu utakapohitimishwa uungaji mkono na misaada kutoka nje inayotolewa kwa magaidi hao.

  • Iraq yanasa magaidi waliopanga kutekeleza mashambulizi wakati wa Muharram

    Iraq yanasa magaidi waliopanga kutekeleza mashambulizi wakati wa Muharram

    Oct 03, 2016 04:00

    Wanachama wa kundi moja la kigaidi lililokuwa limepanga kufanya mashambulizi ya kigaidi katika mwezi wa Muharram wamekamatwa magharibi mwa mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

  • Wanachama wanne wa  Daesh watiwa mbaroni Somalia

    Wanachama wanne wa Daesh watiwa mbaroni Somalia

    Sep 05, 2016 14:02

    Wanachama wanne wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wametiwa mbaroni kusini mwa Somalia.

  • Magaidi waliotiwa nguvuni Iran wafichua kuhusu misaada wanayopatiwa na Saudia

    Magaidi waliotiwa nguvuni Iran wafichua kuhusu misaada wanayopatiwa na Saudia

    Aug 30, 2016 14:39

    Mkuu wa Kamisheni ya Bunge ya Usalama wa Taifa na Sera za Nje amesema magaidi waliotiwa nguvuni hapa nchini wametoa taarifa zenye "thamani" kuhusu nafasi ya Saudi Arabia katika kuyasaidia na kuyaunga mkono makundi ya kigaidi.

  • Iran yamuua kiongozi wa kundi la kigaidi lenye uhusiano na Saudi Arabia

    Iran yamuua kiongozi wa kundi la kigaidi lenye uhusiano na Saudi Arabia

    Aug 25, 2016 15:01

    Waziri wa Intelijinsia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza habari ya kuuawa Abu Hafidh Balush Kinara wa kundi la kigaidi lenye mfungamano na Saudia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS