Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kundi la kigaidi

  • KDF: Al-Shabaab inawasajili kwa nguvu vijana nchini Kenya

    KDF: Al-Shabaab inawasajili kwa nguvu vijana nchini Kenya

    Aug 03, 2016 08:01

    Jeshi la Ulinzi la Kenya KDF limesema kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab sasa linawalazimisha vijana kujiunga nalo, haswa katika maeneo ya Pwani ya nchi.

  • Russia: Marekani inawasaidia magaidi wanaoua watoto wa Palestina

    Russia: Marekani inawasaidia magaidi wanaoua watoto wa Palestina

    Jul 24, 2016 02:54

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, ripoti zinaonesha kuwa, watu waliomchinja mtoto wa Kipalestina na kuonesha mkanda wa video wa kitendo cha kukata kichwa cha mtoto huyo katika mitandao ya kijamii wanasaidiwa na kuungwa mkono na Marekani.

  • Mwangwi wa shambulizi la kigaidi la Nice

    Mwangwi wa shambulizi la kigaidi la Nice

    Jul 15, 2016 16:10

    Shambulizi la kigaidi lililofanyika jana usiku katika mji wa pwani wa Nice nchini Ufaransa limeacha mwangwi mkubwa katika pembe mbalimbali za dunia.

  • Makumi ya magaidi wakufurishaji waangamizwa Syria

    Makumi ya magaidi wakufurishaji waangamizwa Syria

    Jul 13, 2016 04:37

    Makumi ya magaidi wakufurishaji wameangamizwa katika mashambulizi ya jeshi la serikali ya Syria kwa kushirikiana na wapiganaji wa muqawama katika mkoa wa Aleppo, kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Alavi: Iran imewatia nguvuni magaidi 6

    Alavi: Iran imewatia nguvuni magaidi 6

    Jul 12, 2016 17:01

    Waziri wa Upelelezi wa Iran amesema kuwa vyombo vya upelelezi hapa nchini havitatoa mwanya kwa yeyote kuvuruga usalama wa Iran na wananchi wake.

  • Mtandao wa magidi wasambaratishwa A. Kusini

    Mtandao wa magidi wasambaratishwa A. Kusini

    Jul 12, 2016 03:45

    Vyombo vya usalama nchini Afrika Kusini vimetangaza kuwa vimefanikiwa kuwatia nguvuni washukiwa wanne wa ugaidi katika operesheni maalumu iliyofanywa nchini humo.

  • Sepah yaua magaidi wa kundi linalopinga Mapinduzi ya Kiislamu

    Sepah yaua magaidi wa kundi linalopinga Mapinduzi ya Kiislamu

    Jun 25, 2016 15:15

    Kikosi cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) limetangaza kuwa limeangamiza magaidi kadhaa wa kundi wa wapinzani wa Mapinduzi ya Kiislamu katika mapigano yaliyotokea katika eneo la kaskazini magharibi mwa Iran.

  • Jeshi la la Algeria laua na kukamata magaidi 12

    Jeshi la la Algeria laua na kukamata magaidi 12

    Jun 19, 2016 14:41

    Wizara ya Ulinzi ya Algeria imetangaza habari ya kuuawa watu wanane wanaoaminika kuwa wanachama wa makundi ya kigaidi kusini mwa mji mkuu wa nchi hiyo Algiers.

  • Makundi mawili ya kigaidi yatokomezwa kaskazini magharibi mwa Iran

    Makundi mawili ya kigaidi yatokomezwa kaskazini magharibi mwa Iran

    Jun 16, 2016 15:30

    Vikosi vya nchi kavu vya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) la Sepah vimeyasambaratisha na kuyatokomeza makundi mawili ya kigaidi huko kaskazini magharibi mwa nchi karibu na mpaka wa Iraq na kuwaangamiza magaidi kadhaa.

  • Libya: Hatuhitaji misaada ya nchi ajinabi kupambana na Daesh

    Libya: Hatuhitaji misaada ya nchi ajinabi kupambana na Daesh

    Jun 15, 2016 15:34

    Naibu Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya amesema kuwa nchi hiyo haihitaji misaada ya nchi ajinabi kwa ajili ya kuendesha vita dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS