Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • UN yataka mamluki wa kigeni waondoke Libya

    UN yataka mamluki wa kigeni waondoke Libya

    Mar 25, 2021 09:30

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya amewataka wapiganaji wote mamluki wa nchi za kigeni kuondoka katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Kamanda wa Libya anayesakwa na ICC auawa kwa kupigwa risasi

    Kamanda wa Libya anayesakwa na ICC auawa kwa kupigwa risasi

    Mar 25, 2021 03:05

    Kamanda wa ngazi ya juu huko Libya anayesakwa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kwa tuhuma za kuhusika na jinai za kivita ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana katika mji wa Benghazi, mashariki mwa Libya.

  • Foreign Policy yafichua taasisi bandia inayodai kuwa na uhusiano na UN, inahusishwa na uhalifu wa kimataifa

    Foreign Policy yafichua taasisi bandia inayodai kuwa na uhusiano na UN, inahusishwa na uhalifu wa kimataifa

    Mar 25, 2021 02:34

    Uchunguzi uliofanywa na gazeti la Foreign Policy umefichua habari za taasisi moja inayodai kuwa na uhusiano na Umoja wa Mataifa na kutetea haki za binadamu ambayo viongozi wake wanatuhumiwa kuhusika na uhalifu na jinai nyingi zikiwemo za kutakatisha fedha chafu na kutorosha mabilioni ya dola za Marekani zilizokuwa zimeporwa kutoroshwa nje ya nchi na kiongozi wa zamani wa Libya, Muammar Gaddafi kabla ya kuuawa kwake.

  • UN: Vikwazo vya silaha dhidi ya Libya havina athari yoyote

    UN: Vikwazo vya silaha dhidi ya Libya havina athari yoyote

    Mar 17, 2021 07:31

    Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wamesema vikwazo vya silaha vya umoja huo dhidi ya Libya vinaendelea kukiukwa na kwa msingi huo havina taathira yoyote.

  • Kuapishwa Serikali ya Muda ya Libya, na changamoto zilizoko mbele yake

    Kuapishwa Serikali ya Muda ya Libya, na changamoto zilizoko mbele yake

    Mar 16, 2021 12:57

    Hatimaye baada ya miezi kadhaa ya mivutano na kuainisha hatima ya siasa za Libya, Mawaziri wa Serikali ya Muda ya Umoja wa Kitaifa waliapishwa jana Jumatatu katika Bunge la nchi hiyo huko katika mji wa Tobruk.

  • Serikali ya muda ya Umoja wa Kitaifa Libya yaapishwa

    Serikali ya muda ya Umoja wa Kitaifa Libya yaapishwa

    Mar 16, 2021 02:57

    Serikali ya muda ya Umoja wa kitaifa ya Libya iliapishwa jana Jumatatu na kuanza rasmi shughuli zake.

  • Serikali mpya ya Libya yaendelea na juhudi za kuikwamua nchi hiyo na migogoro

    Serikali mpya ya Libya yaendelea na juhudi za kuikwamua nchi hiyo na migogoro

    Mar 14, 2021 02:37

    Mkuu mpya wa Baraza la Uongozi la Libya amesema kuwa, baraza hilo linafanya juhudi zake zote kwa ajili ya kuikwamua nchi hiyo na migogoro na kuiletea amani ya kudumu, demokrasia, kuheshimishwa haki za binadamu na uhuru wa wananchi wake.

  • UN yataka makubaliano ya usitishaji vita Libya yatekelezwe kikamilifu

    UN yataka makubaliano ya usitishaji vita Libya yatekelezwe kikamilifu

    Mar 13, 2021 07:35

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetaka pande zinazopigana nchini Libya kutekeleza kikamilifu makubaliano ya usitishaji vita.

  • Italia: Tunaunga mkono juhudi za kuleta amani na utulivu nchini Libya

    Italia: Tunaunga mkono juhudi za kuleta amani na utulivu nchini Libya

    Mar 12, 2021 12:02

    Serikali ya Italia imesema kuwa inaunga mkono kikamilifu juhudi za kurejesha amani na utulivu katika nchi ya kaskazini mwa Afrika ya Libya.

  • Wabunge Libya wakutana kujadili baraza la mawaziri

    Wabunge Libya wakutana kujadili baraza la mawaziri

    Mar 08, 2021 11:26

    Wabunge wa pande hasimu nchini Libya wanakutana katika mji wa kistratijia wa Sirte kwa ajili ya kujadiliana kuhusu serikali ya Umoja iliyopendekezwa na Waziri Mkuu Abdul Hamid Dbeibah.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS