Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • UN: Mazungumzo ya amani Libya yamalizika; Imarati bado yatuma silaha kimagendo

    UN: Mazungumzo ya amani Libya yamalizika; Imarati bado yatuma silaha kimagendo

    Oct 01, 2020 02:31

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa mazungumzo ya makundi mbalimbali ya Libya ya kutafuta amani ya nchi yao yamemalizika nchini Misri na matokeo ya mazungumzo hayo ni mazuri.

  • Wahajiri 16 wafariki dunia baada ya boti yao kughariki pwani ya Libya

    Wahajiri 16 wafariki dunia baada ya boti yao kughariki pwani ya Libya

    Sep 26, 2020 12:14

    Watu wasiopungua 16 wamefariki dunia katika Bahari ya Mediterania baada ya boti yao kuzama, huko pwani ya Libya.

  • Uturuki: Ankara itaendelea kuisaidia serikali ya GNA Libya hata baada ya Sarraj kung'atuka

    Uturuki: Ankara itaendelea kuisaidia serikali ya GNA Libya hata baada ya Sarraj kung'atuka

    Sep 22, 2020 02:41

    Uturuki imetangaza kuwa itaendelea kuiunga mkono serikali inayotambuliwa kimataifa ya Libya licha ya Waziri Mkuu Fayez al-Sarraj kutangaza wiki iliyopita kwamba, anapanga kuondoka madarakani mwishoni mwa mwezi ujao.

  • Sisitizo la Umoja wa Mataifa la kutekelezwa vikwazo vya silaha dhidi ya Libya

    Sisitizo la Umoja wa Mataifa la kutekelezwa vikwazo vya silaha dhidi ya Libya

    Sep 18, 2020 02:42

    Hali ya wasiwasi kuhusu mgogoro wa kisiasa unaoikabili Libya na hali inayolegalega nchini humo ni mambo ambayo yangali yanaendelea kushuhudiwa licha ya kutangazwa usitishaji vita nchini humo. Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio na kutaka kutekelezwa vikwazo vya silaha dhidi ya Libya na kuondolewa mamluki wote katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Waziri Mkuu wa GNA Libya kung'atuka madarakani ifikapo mwishoni mwa Oktoba

    Waziri Mkuu wa GNA Libya kung'atuka madarakani ifikapo mwishoni mwa Oktoba

    Sep 17, 2020 13:09

    Waziri Mkuu wa Serikali ya Muafaka wa Kitaifa ya Libya GNA amesema, atajiuzulu wadhifa wake huo na kukabidhi hatamu za madaraka kwa uongozi mpya utakaochaguliwa kupitia kamati ya mazungumzo ya amani.

  • Katibu Mkuu wa UN kumteuwa mjumbe maalumu katika masuala ya Libya

    Katibu Mkuu wa UN kumteuwa mjumbe maalumu katika masuala ya Libya

    Sep 17, 2020 03:01

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limemuomba Katibu Mkuu wa umoja huo Antonio Guterres kufanya uteuzi wa Mjumbe Maalumu ili kusuluhisha mzozo unaoendelea nchini Libya na kuongoza jitihada za kurejesha amani katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • UN yataka kutekelezwa vikwazo vya silaha dhidi ya Libya

    UN yataka kutekelezwa vikwazo vya silaha dhidi ya Libya

    Sep 16, 2020 07:47

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio la kutekeleza vikwazo vya silaha dhidi ya Libya na kuondoka mamluki wote katika nchi hiyo ya Kiafrika.

  • Kushadidi mgogoro wa Libya; Waziri Mkuu wa Serikali ya mashariki ajiuzulu

    Kushadidi mgogoro wa Libya; Waziri Mkuu wa Serikali ya mashariki ajiuzulu

    Sep 15, 2020 02:33

    Mgogoro wa ndani nchini Libya umeshadidi mno. Matatizo ya kiuchumi na kuvurugika maisha, kuongezeka ufisadi na kuendelea vita vya ndani kumewafanya mamia ya wananchi wa nchi hiyo katika siku za hivi karibuni kujitokeza katika miji mbalimbali ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika na kuandamana wakitaka kuhitimishwa mizozo ili kutoa fursa ya kuboreshwa hali ya kisiasa na kiuchumi ya nchi hiyo.

  • 'Serikali ya Haftar' huko Libya yajiuzulu kufuatia maandamano ya wananchi

    'Serikali ya Haftar' huko Libya yajiuzulu kufuatia maandamano ya wananchi

    Sep 14, 2020 06:05

    Serikali ya Libya yenye makao makuu yake mashariki mwa nchi na inayoongozwa na Abdullah Al-Thani, imetangaza kujiuzulu kufuatia maandamano ya siku tatu ya wananchi katika miji mikubwa ya mashariki mwa nchi.

  • Kundi la Haftar lakiuka makubaliano ya usitishaji vita Libya

    Kundi la Haftar lakiuka makubaliano ya usitishaji vita Libya

    Sep 07, 2020 03:34

    Jeshi la Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya limetangaza kuwa, vikosi vya kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya (LNA) linaloongozwa na Khalifa Haftar vimekiuka makubaliano ya usitishaji vita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS