Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Uturuki yatangaza kuwa tayari kutuma wanajeshi wake Libya kuisaidia serikali ya Sarraj

    Uturuki yatangaza kuwa tayari kutuma wanajeshi wake Libya kuisaidia serikali ya Sarraj

    Dec 23, 2019 07:14

    Makamu wa Rais wa Uturuki Fuat Oktay ametangaza kuwa, 'iwapo serikali ya muafaka wa kitaifa Libya itawasilisha ombi rasmi, Uturuki iko tayari kutuma wanajeshi wake katika nchi hiyo ya Afrika Kaskazini.

  • Fayez al Sarraj: Mashambulizi ya droni za Imarati hayatasalia bila jibu

    Fayez al Sarraj: Mashambulizi ya droni za Imarati hayatasalia bila jibu

    Dec 22, 2019 06:53

    Fayez al Sarraj Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya jana usiku alisema kuwa mashambulizi ya ndege zisizo na rubani (droni) za Imarati katika maeneo ya Zliten na Msalata kaskazini mwa nchi hiyo ni hatua ya kihalifu ambayo haitasalia bila ya jibu.

  • Libya: Misri, Saudia, Imarati zinavunja azimio la Baraza la Usalama

    Libya: Misri, Saudia, Imarati zinavunja azimio la Baraza la Usalama

    Dec 21, 2019 03:04

    Mwakilishi wa serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, nchi za Misri, Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) zinavunja azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa uungaji mkono wao kwa jenerali muasi, Khalifa Haftar.

  • Rais Putin wa Russia ataka kuhitimishwa mgogoro wa Libya

    Rais Putin wa Russia ataka kuhitimishwa mgogoro wa Libya

    Dec 19, 2019 12:55

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema angependa kuona mgogoro wa Libya unapatiwa ufumbuzi na mazungumzo baina ya pande mbili hasimu katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika yanaanza.

  • Libya na Misri wazidi kuzozana baada ya Cairo

    Libya na Misri wazidi kuzozana baada ya Cairo "kuidhalilisha" Tripoli

    Dec 18, 2019 11:35

    Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya imekasirishwa mno na matamshi ya hivi karibuni ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri na imetoa majibu makali dhidi ya Cairo ikisema huo ni udhalilishaji kwa taifa la Libya.

  • Mgogoro wa kidiplomasia, Libya yafunga ubalozi wake Misri

    Mgogoro wa kidiplomasia, Libya yafunga ubalozi wake Misri

    Dec 15, 2019 07:57

    Libya imetangaza habari ya kufunga ubalozi wake katika mji mkuu wa Misri Cairo, kutokana na kile kilichotajwa kuwa sababu za kiusalama.

  • Mapigano makali yashuhudiwa karibu na uwanja wa ndege wa Tripoli, Libya

    Mapigano makali yashuhudiwa karibu na uwanja wa ndege wa Tripoli, Libya

    Dec 13, 2019 13:36

    Askari wa serikali ya Umoja wa Kitaifa nchini Libya wameshambuliana vikali na wapiganaji wa jenerali muasi Khalifa Haftar katika viunga vya uwanja wa ndege wa Tripoli.

  • Serikali ya muda ya Libya yaeleza wasiwasi wake kuhusu mapatano ya Sarraj na Erdogan

    Serikali ya muda ya Libya yaeleza wasiwasi wake kuhusu mapatano ya Sarraj na Erdogan

    Dec 09, 2019 02:40

    Waziri wa Mambo ya Nje wa serikali ya muda yenye makao yake mashariki mwa Libya amesema kuwa wanatiwa wasiwasi na mapatano yaliyofikiwa kati ya serikali ya umoja wa kitaifa ya nchi hiyo yenye makao makuu yake mjini Tripoli, na Uturuki.

  • Israel inawapa mafunzo ya kijeshi wapiganaji wa Haftar Libya

    Israel inawapa mafunzo ya kijeshi wapiganaji wa Haftar Libya

    Dec 08, 2019 11:57

    Gazeti la Qatar la Al-Araby Al-Jadeed limefichua kuwa, jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel linawapa mafunzo ya kijeshi wanamgamboa wa kundi la wapiganaji linaloongozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar ambalo linajiita Jeshi la Taifa la Libya.

  • Ugiriki yamtimua balozi wa Libya kulalamikia hati ya maelewano iliyosainiwa kati ya Libya na Uturuki

    Ugiriki yamtimua balozi wa Libya kulalamikia hati ya maelewano iliyosainiwa kati ya Libya na Uturuki

    Dec 07, 2019 02:46

    Serikali ya Ugiriki imemtimua balozi wa Libya mjini Athens, kufuatia kutiwa saini hati ya maelewano ya ushirikiano wa baharini kati ya Uturuki na serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS