-
UN yatoa mwito wa kusitishwa mapigano kwa muda nchini Libya
May 06, 2019 11:10Kikosi cha Kusimamia Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Libya UNSMIL kimezitaka pande husika kusitisha mapigano kwa muda wa wiki moja kuanzia leo Jumatatu, katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Karibu watu 400 wauawa katika mapigano nchini Libya
May 04, 2019 08:14Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa, karibu watu 400 wameshauawa katika mapigano nchini Libya.
-
Kuendelea vita nchini Libya; kuzidi kuwa mbaya hali ya mambo katika mji mkuu Tripoli
May 01, 2019 02:31Kuendelea vita na mapigano katika mji mkuu wa Libya Tripoli kumeifanya hali ya kibinadamu katika mji huo izidi kuwa mbaya siku baada ya siku.
-
Qatar yawalaumu viongozi wa nchi za Kiarabu kwa siasa za kinafiki
Apr 30, 2019 04:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amelaani mashambulizi yanayofanywa dhidi ya maeneo ya raia katika mji mkuu wa Libya Tripoli na kusisitiza kuwa, unafiki wa kisiasa na undumilakuwili ni mambo ambayo yameuchosha ulimwengu wa Kiarabu na ndiyo yanayochochea vitendo vya kigaidi.
-
Wasiwasi wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na kuharibika kwa hali ya kibinadamu Libya
Apr 29, 2019 13:58Naibu Mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Libya ameelezea wasiwasi wake kuhusiana na kuendelea kuharibika kwa hali ya nchi hiyo na kusema kuwa huenda hali ya kibinadamu katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli, ikaharibika zaidi.
-
Ndege za kivita za kigeni zimehusika katika mashambulio ya Tripoli
Apr 29, 2019 06:21Waziri wa Mambo ya Ndani wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya amesema kuwa ndege za kigeni zilishiriki katika mashambulio ya hivi karibuni katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli.
-
Serikali ya Libya yaulalamikia Umoja wa Mataifa kwa kuruhusu mashambulizi ya Jenerali Haftar
Apr 28, 2019 16:12Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya imeulaumu Umoja wa Mataifa kwa kunyamazia kimya mashambulizi yanayofanywa na wapiganaji wa Jenerali Khalifa Haftar katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli.
-
Watu 39,000 wakimbia makazi yao kufuatia mapigano Tripoli, Libya
Apr 28, 2019 01:14Kufuatia kushadidi mapigano katika mji mkuu wa Libya, Tripoli, watu 39,000 wameripotiwa kukimbia makazi yao katika mji huo.
-
Walibya waandamana mjini Tripoli kulaani hatua za Ufaransa dhidi ya nchi yao
Apr 27, 2019 12:58Raia wa Libya wamefanya maandamano katika medani kuu ya mji wa Tripoli wakiwa wamevalia vizibao vya njano kama wanavyofanya washiriki wa maandamano ya vizibao vya njazo kupinga siasa za kiuchumi za serikali ya Ufaransa, ambapo nao wamelaani mienendo hasi ya serikali ya Paris dhidi ya nchi yao.
-
Mufti Mkuu wa Libya: Hakuna eneo lililosalimika na ufisadi wa watawala wa Saudi Arabia
Apr 27, 2019 02:41Mufti Mkuu wa Libya Sheikh Sadiq Al-Ghariani amesema kuwa, hakuna eneo lolote duniani ambalo limesalimika na ufisadi wa watawala wa Aal Saudi wa Saudi Arabia.