Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • ICC yatahadharisha kuhusu uhalifu dhidi ya wahamiaji Libya

    ICC yatahadharisha kuhusu uhalifu dhidi ya wahamiaji Libya

    Nov 09, 2017 00:45

    Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, ICC, imeonya kuwa itachukua hatua kuhusu wanaotenda uhalifu dhidi ya wahamiaji waliofungwa au kusafirishwa kwa njia haramu kupitia Libya.

  • Wahajiri 73 wapoteza maisha katika fukwe za Libya

    Wahajiri 73 wapoteza maisha katika fukwe za Libya

    Nov 08, 2017 04:17

    Wahajiri 73 wamekufa maji katika bahari ya Mediterranean wakati walipokuwa wanajaribu kuzifikia fukwe za Italia kutokea Libya.

  • Wahajiri 900 waokolewa, 7 wafa maji katika pwani ya Libya

    Wahajiri 900 waokolewa, 7 wafa maji katika pwani ya Libya

    Nov 02, 2017 04:40

    Miili saba ya wahajiri haramu imepatikana ndani ya boti ya plastiki karibu na pwani ya Libya, huku mamia ya wengine wakiokolewa kusini mwa bahari ya Mediterranean.

  • Mashambulizi ya anga ya vikosi vya Jenerali Haftar yaua na kujeruhi 42 Libya

    Mashambulizi ya anga ya vikosi vya Jenerali Haftar yaua na kujeruhi 42 Libya

    Oct 31, 2017 03:49

    Watu wasiopungua 17 wameuawa na wengine kujeruhiwa katika mashambulizi ya anga ya jeshi la taifa la Libya katika mji wa Derna mashariki mwa nchi hiyo.

  • UN yalaani mauaji ya mateka Libya, yataka uchunguzi ufanyike

    UN yalaani mauaji ya mateka Libya, yataka uchunguzi ufanyike

    Oct 30, 2017 21:47

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika mgogoro wa Libya amelaani mauaji ya mateka wasiopungua 37 nchini humo na ametoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu jinai hiyo.

  • Kaburi la umati lenye makumi ya maiti lagunduliwa Libya

    Kaburi la umati lenye makumi ya maiti lagunduliwa Libya

    Oct 27, 2017 04:20

    Kaburi la umati lenye miili ya watu wasiopungua 37 limegunduliwa katika viunga vya mji wa Benghazi nchini Libya.

  • Mazungumzo ya kutatua mgogoro wa Libya yamalizika bila natija nchini Tunisia

    Mazungumzo ya kutatua mgogoro wa Libya yamalizika bila natija nchini Tunisia

    Oct 22, 2017 04:10

    Umoja wa Mataifa umemaliza mazungumzo ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa Libya, yaliyokuwa yanafanyika nchini Tunisia, bila ya natija yoyote.

  • Wahajiri haramu 147 waokolewa katika pwani ya Libya

    Wahajiri haramu 147 waokolewa katika pwani ya Libya

    Oct 18, 2017 04:18

    Kikosi cha ulinzi katika pwani ya Libya kimesema kuwa kimewaokoa wahajiri haramu wa Kiafrika 147 katika eneo la pwani la Garabulli magharibi mwa nchi hiyo.

  • Duru mpya ya mazungumzo ya utatuzi wa mgogoro wa Libya yaanza nchini Tunisia

    Duru mpya ya mazungumzo ya utatuzi wa mgogoro wa Libya yaanza nchini Tunisia

    Oct 15, 2017 10:27

    Wajumbe kutoka makundi mbalimbali ya Libya wameanza mazungumzo ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo katika nchi jirani ya Tunisia, chini ya usimamizi wa Umoja wa Mataifa.

  • Al Sarraj asisitizia udharura wa kufanyika uchaguzi wa rais na bunge nchini Libya

    Al Sarraj asisitizia udharura wa kufanyika uchaguzi wa rais na bunge nchini Libya

    Oct 11, 2017 23:17

    Waziri Mkuu wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya amesema kuwa, anaunga mkono kuitishwa uchaguzi wa rais na bunge nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS