-
Wahajiri 73 wapoteza maisha katika fukwe za Libya
Nov 08, 2017 07:47Wahajiri 73 wamekufa maji katika bahari ya Mediterranean wakati walipokuwa wanajaribu kuzifikia fukwe za Italia kutokea Libya.
-
Wahajiri 900 waokolewa, 7 wafa maji katika pwani ya Libya
Nov 02, 2017 08:10Miili saba ya wahajiri haramu imepatikana ndani ya boti ya plastiki karibu na pwani ya Libya, huku mamia ya wengine wakiokolewa kusini mwa bahari ya Mediterranean.
-
Mashambulizi ya anga ya vikosi vya Jenerali Haftar yaua na kujeruhi 42 Libya
Oct 31, 2017 07:19Watu wasiopungua 17 wameuawa na wengine kujeruhiwa katika mashambulizi ya anga ya jeshi la taifa la Libya katika mji wa Derna mashariki mwa nchi hiyo.
-
UN yalaani mauaji ya mateka Libya, yataka uchunguzi ufanyike
Oct 31, 2017 01:17Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika mgogoro wa Libya amelaani mauaji ya mateka wasiopungua 37 nchini humo na ametoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu jinai hiyo.
-
Kaburi la umati lenye makumi ya maiti lagunduliwa Libya
Oct 27, 2017 07:50Kaburi la umati lenye miili ya watu wasiopungua 37 limegunduliwa katika viunga vya mji wa Benghazi nchini Libya.
-
Mazungumzo ya kutatua mgogoro wa Libya yamalizika bila natija nchini Tunisia
Oct 22, 2017 07:40Umoja wa Mataifa umemaliza mazungumzo ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa Libya, yaliyokuwa yanafanyika nchini Tunisia, bila ya natija yoyote.
-
Wahajiri haramu 147 waokolewa katika pwani ya Libya
Oct 18, 2017 07:48Kikosi cha ulinzi katika pwani ya Libya kimesema kuwa kimewaokoa wahajiri haramu wa Kiafrika 147 katika eneo la pwani la Garabulli magharibi mwa nchi hiyo.
-
Duru mpya ya mazungumzo ya utatuzi wa mgogoro wa Libya yaanza nchini Tunisia
Oct 15, 2017 13:57Wajumbe kutoka makundi mbalimbali ya Libya wameanza mazungumzo ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo katika nchi jirani ya Tunisia, chini ya usimamizi wa Umoja wa Mataifa.
-
Al Sarraj asisitizia udharura wa kufanyika uchaguzi wa rais na bunge nchini Libya
Oct 12, 2017 02:47Waziri Mkuu wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya amesema kuwa, anaunga mkono kuitishwa uchaguzi wa rais na bunge nchini humo.
-
Wasiwasi wa Shirika la Uhamiaji la UN kuhusu hali ya mambo ya mji wa Sabratha Libya
Oct 09, 2017 14:47Shirika la Uhamiaji la Umoja wa Mataifa (IOM) limebainisha wasiwasi wake kuhusu athari za mapigano yaliyoukumba mji wa Sabrata Libya na namna hali hiyo inavyowaathiri wahajiri katika eneo hilo.