-
Wahajiri zaidi ya elfu 3 wakamatwa Libya
Oct 08, 2017 14:17Serikali ya Libya imewatia mbaroni maelfu ya wahajiri haramu katika mji wa Sabratha, kaskazini magharibi mwa nchi, ikiwa ni katika jitihada za kupambana na magendo ya binadamu.
-
Libya yakosoa matamshi ya dhihaka ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza
Oct 06, 2017 08:30Serikali ya Libya imemuita balozi wa Uingereza mjini Tripoli na kumtaka atoe maelezo kuhusu matamshi ya dhihaka yaliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo kuhusu Libya.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa UK akosolewa kwa matamshi yake ya kuudhi kuhusu Libya
Oct 04, 2017 15:58Boris Johnson Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza jana alitoa matamshi ya dhihaka na ya maudhi pambizoni mwa mkutano wa chama cha kihafidhina cha nchini Uingereza uliokuwa ukifanyika katika mji wa Manchester nchini humo.
-
Makaburi 4 ya umati yagunduliwa Benghazi, Libya
Oct 02, 2017 06:29Maafisa wa polisi ya mji wa Benghazi huko kaskazini mwa Libya wamegundua makaburi manne ya umati katika eneo la kale la mji huo.
-
Libya yajibu mapigo, kuwazuia Wamarekani kuingia nchini humo
Sep 28, 2017 14:28Serikali ya Libya yenye makao makuu yake mashariki mwa nchi, imesema haitaruhusu raia wa Marekani kuingia katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika, ikiwa ni radiamali kwa hatua ya Washington kuwapiga marufuku Walibya kuingia Marekani.
-
Mazungumzo ya makundi hasimu ya Libya yanaendelea Tunisia
Sep 27, 2017 09:58Mazungumzo baina ya makundi hasimu nchini Libya yaliyoanza jana Jumanne katika nchi jirani ya Tunisia yanaendelea chini ya usimamizi wa Umoja wa Mataifa kwa lengo la kukomesha mgogoro wa miaka sita wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
UN: Wafuasi wa Gaddafi wanaweza kushiriki katika siasa za Libya
Sep 23, 2017 15:32Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa katika mgogoro wa Libya amesema kuwa, makundi yote ya nchi hiyo wakiwemo wafuasi wa dikteta wa zamani wa Libya, Muammar Gaddafi wanaweza kushiriki katika mwenendo wa kisiasa wa nchi hiyo.
-
19 wauawa katika mapigano kwenye mpaka wa Sudan na Libya
Sep 23, 2017 04:34Habari kutoka nchini Sudan zinasema kuwa, watu 19 wameuawa katika mapigano yaliyotokea kwenye maeneo ya mpaka wa nchi hiyo na Libya.
-
UN: Karibuni Walibya watashiriki kura ya maoni kuhusiana na katiba ya nchi yao
Sep 22, 2017 04:41Ghassan Salamé, Mjumbe wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kutatuliwa mgogoro wa Libya ameelezea juhudi za umoja huo kwa ajili ya kutatuliwa matatizo ya nchi hiyo na kuongeza kuwa, hivi karibuni kutafanyika kura ya maoni ambayo itasaidia kumaliza matatizo hayo.
-
Watu 25 wauawa na kujeruhiwa katika mapigano Sabratha, Libya
Sep 20, 2017 14:00Kituo cha operesheni dhidi ya kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) kimeelezea habari ya kuendelea mapigano makali kati ya askari wanaosimamiwa na Wizara ya Ulinzi ya nchi hiyo na askari wanaoitwa 'Wanamapambano dhidi ya Daesh' chini ya komandi ya Khalifa Haftar, kamanda wa jeshi la kitaifa la nchi hiyo.