Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Baraza la Usalama la UN launga mkono taarifa ya pamoja ya pande hasimu nchini Libya

    Baraza la Usalama la UN launga mkono taarifa ya pamoja ya pande hasimu nchini Libya

    Jul 28, 2017 07:32

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeunga mkono kusainiwa hati ya pamoja kati ya pande kuu hasimu nchini Libya kwa lengo la kuinasua nchi hiyo kwenye kinamasi cha mchafukoge.

  • Pirikapirika za Ufaransa za kuwa na nafasi katika nchi iliyogawanyika ya Libya

    Pirikapirika za Ufaransa za kuwa na nafasi katika nchi iliyogawanyika ya Libya

    Jul 27, 2017 11:55

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amekutana na kufanya mazungumzo mjini Paris na viongozi wa pande zinazovutania uongozi wa Libya uliogawanyika.

  • Qatar yakadhibisha madai mapya ya Saudi Arabia

    Qatar yakadhibisha madai mapya ya Saudi Arabia

    Jul 27, 2017 03:23

    Mkurugenzi wa Ofisi ya Mawasiliano ya serikali ya Qatar ameyataja madai mapya ya nchi nne za Kiarabu zilizoiwekea Doha vikwazo kuwa ni ya uwongo na yenye kukatisha tamaa.

  • Libya yaialika Italia katika maji yake kupambana na magendo ya binadamu

    Libya yaialika Italia katika maji yake kupambana na magendo ya binadamu

    Jul 26, 2017 14:06

    Serikali ya Libya yenye makao yake huko Tripoli mji mkuu wa nchi hiyo imezialika meli za kivita za Italia katika maji ya nchi hiyo ili kusaidia mapambano dhidi ya magendo ya binadamu. Hayo yamesemwa leo na Paolo Gentiloni Waziri Mkuu wa Italia.

  • Viongozi hasimu wa Libya wakutana Paris, wakubali kusitisha vita

    Viongozi hasimu wa Libya wakutana Paris, wakubali kusitisha vita

    Jul 26, 2017 03:09

    Kamanda wa majeshi ya Libya mashariki mwa nchi hiyo, Jenerali Khalifa Haftar na Fayez al Sarraj, Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya nchi hiyo, magharibi mwa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika wamekubaliana kusitisha vita kwa masharti.

  • Maiti 13 za wahajiri zapatikana katika boti ya plastiki Libya

    Maiti 13 za wahajiri zapatikana katika boti ya plastiki Libya

    Jul 25, 2017 16:30

    Miili 13 ya wahajiri waliokuwa wakielekea barani Ulaya imepatikana ndani ya boti ya plastiki na wapiga mbizi wa shirika moja lisilo la serikali katika pwani ya Libya.

  • Askari wa gadi ya pwani Libya wawaokoa wahajiri 300

    Askari wa gadi ya pwani Libya wawaokoa wahajiri 300

    Jul 25, 2017 08:22

    Kikosi cha gadi ya pwani mwa Libya kimetangaza habari ya kuokolewa wahajiri haramu 300 kutoka katika maji ya pwani mwa nchi hiyo.

  • Askari wa Khalifa Haftar wamewaua wafungwa 20

    Askari wa Khalifa Haftar wamewaua wafungwa 20

    Jul 25, 2017 02:26

    Askari wa Khalifa Haftar, kamanda wa Jeshi la Taifa la Libya wamewaua wafungwa 20 kwa tuhuma za kuhusika na kuteka nyara na kutesa askari wa kamanda huyo.

  • Mamia ya maiti za wanachama wa Daesh (ISIS) zimerundikana Libya

    Mamia ya maiti za wanachama wa Daesh (ISIS) zimerundikana Libya

    Jul 24, 2017 03:47

    Serikali ya Libya imesema mamia ya maiti za wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) raia wa kigeni zimerundikana nchini humo, miezi kadhaa baada ya wapiganaji hao kushindwa na vikosi vya serikali katika mji wa Pwani wa nchi hiyo wa Sirte.

  • Libya kuongeza uzalishaji wake wa mafuta

    Libya kuongeza uzalishaji wake wa mafuta

    Jul 19, 2017 14:23

    Viongozi wa Libya wametangaza kuwa nchi hiyo ina mpango wa kuongeza uzalishaji wake wa mafuta hadi kufikia mwishoni mwa mwaka huu na kufikia mapipa milioni moja na laki mbili na eldfu hamsini kwa siku.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS