-
UN yataka kufanyika uchunguzi kuhusu mauaji ya wafungwa Libya
Jul 19, 2017 06:29Umoja wa Mataifa umelitaka Jeshi la Taifa la Libya linalodhibiti eneo la mashariki mwa nchi hiyo kufanya uchunguzi kuhusu mauaji ya papo na hapo ya wafungwa.
-
Haftar asisitiza kuendeleza mapambano dhidi ya magaidi
Jul 18, 2017 04:16Khalifa Haftar Kamanda wa jeshi la taifa la Libya lenye makao yake mashariki mwa nchi hiyo amesema kuwa mapambano dhidi ya ugaidi hadi kutokomezwa suala hilo yataendelezwa kote nchini Libya.
-
Siasa mpya za Trump ni kuingilia zaidi masuala ya ndani ya Libya
Jul 17, 2017 04:24Gazeti la al Quds al Arabi limeandika kuwa, serikali ya Donald Trump ya nchini Marekani inatumia kisingizio cha makundi ya kigaidi kuingilia masuala ya ndani ya Libya.
-
Walibya: Saudia inapanga kuasisi utawala wa Kiwahabi nchini kwetu
Jul 15, 2017 02:28Raia wa Libya pamoja na wanafikra wa nchi hiyo wameonyesha wasi wasi wao mkubwa juu ya kuwepo viashiria vya kuanzishwa utawala wa Kiwahabi na wa ukandamizaji mashariki mwa nchi hiyo.
-
Marekani yafanya njama za kujipenyeza zaidi nchini Libya
Jul 12, 2017 04:04Serikali ya Libya imetangaza kuwa itaongeza idadi ya wanajeshi wake nchini Libya
-
Wanne wauawa 21 wajeruhiwa katika mapigano mapya karibu na Tripoli, Libya
Jul 11, 2017 14:45Wizara ya Afya ya Libya imetangaza kuwa, watu 25 wameuawa na kujeruhiwa katika mapigano yaliyotokea siku mbili zilizopita baina ya makundi hasimu mashariki mwa Tripoli, mji mkuu wa Libya.
-
Misri kuchunguza mauaji ya raia wake nchini Libya
Jul 09, 2017 14:03Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imetangaza kuwa, itafanya uchunguzi kuhusu maiti za raia 19 wa nchi hiyo zilizopatikana katika eneo la jangwani kaskazini mashariki mwa Libya.
-
Misiba ya wakimbizi yajikariri, makumi wahofiwa kufa maji pwani mwa Libya
Jul 09, 2017 02:51Makumi ya watu wanahofiwa kufa maji katika maji ya pwani ya Libya katika Bahari ya Mediterania.
-
Mlipuko wa bomu wauwa watu 5 na kujeruhi 18 Benghazi, Libya
Jul 07, 2017 15:09Watu kadhaa wameuawa na wengine kujeruhiwa baada ya bomu kulipuka kando ya barabara inayotumiwa na vikosi vya jeshi la Libya katika mji wa Benghazi, mashariki mwa nchi hiyo.
-
Amnesty International: EU inapaswa kubeba jukumu la wahamiaji wa Libya
Jul 07, 2017 03:51Shirika la Msamaha la Kimataifa (Amnesty International) limesema kuwa, Umoja wa Ulaya (EU) unapaswa kubeba lawama za hali mbaya ya wahajiri nchini Libya.