Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • UN yataka kufanyika uchunguzi kuhusu mauaji ya wafungwa Libya

    UN yataka kufanyika uchunguzi kuhusu mauaji ya wafungwa Libya

    Jul 19, 2017 06:29

    Umoja wa Mataifa umelitaka Jeshi la Taifa la Libya linalodhibiti eneo la mashariki mwa nchi hiyo kufanya uchunguzi kuhusu mauaji ya papo na hapo ya wafungwa.

  • Haftar asisitiza kuendeleza mapambano dhidi ya magaidi

    Haftar asisitiza kuendeleza mapambano dhidi ya magaidi

    Jul 18, 2017 04:16

    Khalifa Haftar Kamanda wa jeshi la taifa la Libya lenye makao yake mashariki mwa nchi hiyo amesema kuwa mapambano dhidi ya ugaidi hadi kutokomezwa suala hilo yataendelezwa kote nchini Libya.

  • Siasa mpya za Trump ni kuingilia zaidi masuala ya ndani ya Libya

    Siasa mpya za Trump ni kuingilia zaidi masuala ya ndani ya Libya

    Jul 17, 2017 04:24

    Gazeti la al Quds al Arabi limeandika kuwa, serikali ya Donald Trump ya nchini Marekani inatumia kisingizio cha makundi ya kigaidi kuingilia masuala ya ndani ya Libya.

  • Walibya: Saudia inapanga kuasisi utawala wa Kiwahabi nchini kwetu

    Walibya: Saudia inapanga kuasisi utawala wa Kiwahabi nchini kwetu

    Jul 15, 2017 02:28

    Raia wa Libya pamoja na wanafikra wa nchi hiyo wameonyesha wasi wasi wao mkubwa juu ya kuwepo viashiria vya kuanzishwa utawala wa Kiwahabi na wa ukandamizaji mashariki mwa nchi hiyo.

  • Marekani yafanya njama za kujipenyeza zaidi nchini Libya

    Marekani yafanya njama za kujipenyeza zaidi nchini Libya

    Jul 12, 2017 04:04

    Serikali ya Libya imetangaza kuwa itaongeza idadi ya wanajeshi wake nchini Libya

  • Wanne wauawa 21 wajeruhiwa katika mapigano mapya karibu na Tripoli, Libya

    Wanne wauawa 21 wajeruhiwa katika mapigano mapya karibu na Tripoli, Libya

    Jul 11, 2017 14:45

    Wizara ya Afya ya Libya imetangaza kuwa, watu 25 wameuawa na kujeruhiwa katika mapigano yaliyotokea siku mbili zilizopita baina ya makundi hasimu mashariki mwa Tripoli, mji mkuu wa Libya.

  • Misri kuchunguza mauaji ya raia wake nchini Libya

    Misri kuchunguza mauaji ya raia wake nchini Libya

    Jul 09, 2017 14:03

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imetangaza kuwa, itafanya uchunguzi kuhusu maiti za raia 19 wa nchi hiyo zilizopatikana katika eneo la jangwani kaskazini mashariki mwa Libya.

  • Misiba ya wakimbizi yajikariri, makumi wahofiwa kufa maji pwani mwa Libya

    Misiba ya wakimbizi yajikariri, makumi wahofiwa kufa maji pwani mwa Libya

    Jul 09, 2017 02:51

    Makumi ya watu wanahofiwa kufa maji katika maji ya pwani ya Libya katika Bahari ya Mediterania.

  • Mlipuko wa bomu wauwa watu 5 na kujeruhi 18 Benghazi, Libya

    Mlipuko wa bomu wauwa watu 5 na kujeruhi 18 Benghazi, Libya

    Jul 07, 2017 15:09

    Watu kadhaa wameuawa na wengine kujeruhiwa baada ya bomu kulipuka kando ya barabara inayotumiwa na vikosi vya jeshi la Libya katika mji wa Benghazi, mashariki mwa nchi hiyo.

  • Amnesty International: EU inapaswa kubeba jukumu la wahamiaji wa Libya

    Amnesty International: EU inapaswa kubeba jukumu la wahamiaji wa Libya

    Jul 07, 2017 03:51

    Shirika la Msamaha la Kimataifa (Amnesty International) limesema kuwa, Umoja wa Ulaya (EU) unapaswa kubeba lawama za hali mbaya ya wahajiri nchini Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS