Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Libya kuongeza uzalishaji wake wa mafuta

    Libya kuongeza uzalishaji wake wa mafuta

    Jul 19, 2017 09:53

    Viongozi wa Libya wametangaza kuwa nchi hiyo ina mpango wa kuongeza uzalishaji wake wa mafuta hadi kufikia mwishoni mwa mwaka huu na kufikia mapipa milioni moja na laki mbili na eldfu hamsini kwa siku.

  • UN yataka kufanyika uchunguzi kuhusu mauaji ya wafungwa Libya

    UN yataka kufanyika uchunguzi kuhusu mauaji ya wafungwa Libya

    Jul 19, 2017 01:59

    Umoja wa Mataifa umelitaka Jeshi la Taifa la Libya linalodhibiti eneo la mashariki mwa nchi hiyo kufanya uchunguzi kuhusu mauaji ya papo na hapo ya wafungwa.

  • Haftar asisitiza kuendeleza mapambano dhidi ya magaidi

    Haftar asisitiza kuendeleza mapambano dhidi ya magaidi

    Jul 17, 2017 23:46

    Khalifa Haftar Kamanda wa jeshi la taifa la Libya lenye makao yake mashariki mwa nchi hiyo amesema kuwa mapambano dhidi ya ugaidi hadi kutokomezwa suala hilo yataendelezwa kote nchini Libya.

  • Siasa mpya za Trump ni kuingilia zaidi masuala ya ndani ya Libya

    Siasa mpya za Trump ni kuingilia zaidi masuala ya ndani ya Libya

    Jul 16, 2017 23:54

    Gazeti la al Quds al Arabi limeandika kuwa, serikali ya Donald Trump ya nchini Marekani inatumia kisingizio cha makundi ya kigaidi kuingilia masuala ya ndani ya Libya.

  • Walibya: Saudia inapanga kuasisi utawala wa Kiwahabi nchini kwetu

    Walibya: Saudia inapanga kuasisi utawala wa Kiwahabi nchini kwetu

    Jul 14, 2017 21:58

    Raia wa Libya pamoja na wanafikra wa nchi hiyo wameonyesha wasi wasi wao mkubwa juu ya kuwepo viashiria vya kuanzishwa utawala wa Kiwahabi na wa ukandamizaji mashariki mwa nchi hiyo.

  • Marekani yafanya njama za kujipenyeza zaidi nchini Libya

    Marekani yafanya njama za kujipenyeza zaidi nchini Libya

    Jul 11, 2017 23:34

    Serikali ya Libya imetangaza kuwa itaongeza idadi ya wanajeshi wake nchini Libya

  • Wanne wauawa 21 wajeruhiwa katika mapigano mapya karibu na Tripoli, Libya

    Wanne wauawa 21 wajeruhiwa katika mapigano mapya karibu na Tripoli, Libya

    Jul 11, 2017 10:15

    Wizara ya Afya ya Libya imetangaza kuwa, watu 25 wameuawa na kujeruhiwa katika mapigano yaliyotokea siku mbili zilizopita baina ya makundi hasimu mashariki mwa Tripoli, mji mkuu wa Libya.

  • Misri kuchunguza mauaji ya raia wake nchini Libya

    Misri kuchunguza mauaji ya raia wake nchini Libya

    Jul 09, 2017 09:33

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imetangaza kuwa, itafanya uchunguzi kuhusu maiti za raia 19 wa nchi hiyo zilizopatikana katika eneo la jangwani kaskazini mashariki mwa Libya.

  • Misiba ya wakimbizi yajikariri, makumi wahofiwa kufa maji pwani mwa Libya

    Misiba ya wakimbizi yajikariri, makumi wahofiwa kufa maji pwani mwa Libya

    Jul 08, 2017 22:21

    Makumi ya watu wanahofiwa kufa maji katika maji ya pwani ya Libya katika Bahari ya Mediterania.

  • Mlipuko wa bomu wauwa watu 5 na kujeruhi 18 Benghazi, Libya

    Mlipuko wa bomu wauwa watu 5 na kujeruhi 18 Benghazi, Libya

    Jul 07, 2017 10:39

    Watu kadhaa wameuawa na wengine kujeruhiwa baada ya bomu kulipuka kando ya barabara inayotumiwa na vikosi vya jeshi la Libya katika mji wa Benghazi, mashariki mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS