Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • UNHCR: Libya, imekuwa njia ya mauati ya maelfu ya wahajiri wanaotaka kuelekea Ulaya

    UNHCR: Libya, imekuwa njia ya mauati ya maelfu ya wahajiri wanaotaka kuelekea Ulaya

    Jul 04, 2017 12:35

    Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataif (UNHCR) imetangaza kuwa, Libya ndiyo njia inayosababisha mauti na vifo vingi zaidi vya wakimbizi wanaotaka kuelekea Ulaya kupitia Bahari ya Mediterania.

  • Baraza la Usalama la UN larefusha vikwazo dhidi ya Libya

    Baraza la Usalama la UN larefusha vikwazo dhidi ya Libya

    Jun 30, 2017 07:46

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limerefusha vikwazo dhidi ya Libya.

  • Maelfu ya wapiganaji wa Kiafrika wapo Libya

    Maelfu ya wapiganaji wa Kiafrika wapo Libya

    Jun 29, 2017 04:12

    Taasisi ya Kuchunguza Silaha Nyepesi yenye makao yake mjini Geneva Uswisi imesisitiza kuwa maelfu ya wapiganaji wa Kiafrika wanapigana bega kwa bega na makundi mbalimbali yenye silaha nchini Libya.

  • Libya yaitaka Saudi Arabia ieleze kwa nini imewatia mbaroni raia wake

    Libya yaitaka Saudi Arabia ieleze kwa nini imewatia mbaroni raia wake

    Jun 28, 2017 15:23

    Serikali ya Libya imedhihirisha kukasirishwa kwake na kitendo cha Saudi Arabia cha kuwakamata raia wa nchi hiyo walipokuwa wanajiandaa kurejea nyumbani na kuitaka Riyadh itoe maelezo kuhusiana na sababu za kuwatia mbaroni raia hao wa Libya.

  • Algeria: Tutatoa ushirikiano wowote kusaidia kutekelezwa makubaliano ya kisiasa Libya

    Algeria: Tutatoa ushirikiano wowote kusaidia kutekelezwa makubaliano ya kisiasa Libya

    Jun 26, 2017 04:16

    Serikali ya Algeria imeuhakikishia Umoja wa Mataifa kufanya juhudi zozote zinazohitajika kwa ajili ya kufanikisha utekelezwaji wa makubaliano ya kisiasa nchini Libya.

  • Waziri wa zamani wa Lebanon, mjumbe mpya wa UN nchini Libya

    Waziri wa zamani wa Lebanon, mjumbe mpya wa UN nchini Libya

    Jun 22, 2017 08:00

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limemuidhinisha Ghassan Salame, raia wa Lebanon kuwa mjumbe maalumu wa umoja huo katika masuala ya Libya.

  • UN yateua mjumbe mpya nchini Libya

    UN yateua mjumbe mpya nchini Libya

    Jun 18, 2017 03:52

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ameteua mjumbe wake mpya wa kufuatilia masuala ya Libya.

  • Uganda yakosolewa kutuma wafanyakazi 1,000 wa afya Libya

    Uganda yakosolewa kutuma wafanyakazi 1,000 wa afya Libya

    Jun 17, 2017 07:17

    Uganda imetangaza mpango wa kutuma wafanyakazi 1,000 wa sekta ya afya kuhudumu Libya, mpango ambao umekosolewa vikali na wanaharakati wa sekta ya afya.

  • Mamia ya Wahamiaji wanyanyaswa na kushikiliwa bila ridhaa yao Libya

    Mamia ya Wahamiaji wanyanyaswa na kushikiliwa bila ridhaa yao Libya

    Jun 15, 2017 07:21

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji IOM limebainisha wasi wasi kuhusu hali ya takribani wakimbizi na wahamiaji 260 wa Somalia na Ethiopia wakiwemo watoto wanaoshikiliwa na wasafirishaji haramu wa binadamu au magenge ya wahalifu nchini Libya bila ridhaa yao.

  • Bunge la Libya latahadharisha kuachiwa huru bila ya masharti viongozi wa utawala wa zamani

    Bunge la Libya latahadharisha kuachiwa huru bila ya masharti viongozi wa utawala wa zamani

    Jun 13, 2017 02:27

    Bunge la Libya limetahadharisha kuhusu kuachiwa huru bila ya masharti viongozi wa utawala wa zamani wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS