-
Makumi ya wahajiri wahofiwa kufa maji pwani ya Libya
Jun 11, 2017 14:09Makumi ya wahajiri wanahofiwa kufa maji baada ya boti yao kuzama mashariki mwa Tripoli, mji mkuu wa Libya.
-
Kundi la wabeba silaha Libya lamwachia huru Saiful Islam Gaddafi
Jun 11, 2017 08:03Kundi moja la wabeba silaha nchini Libya limetangaza kuwa limemwachia huru mwana wa kiume wa aliyekuwa dikteta wa nchi hiyo aliyeuawa Muammar Gaddafi, Saiful-Islam Gaddafi ambaye alikuwa akishikiliwa gerezani tangu mwaka 2011.
-
UN: Imarati imekiuka vikwazo vya silaha, Libya
Jun 10, 2017 15:56Umoja wa Mataifa umesema kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) umekiuka vikwazo vya silaha vya Libya.
-
Algeria: Utatuzi wa mgogoro wa Libya utatimia bila uingiliaji wa kigeni
Jun 06, 2017 08:17Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amesema kuwa, utatuzi wa matatizo ya Libya utatimia bila uingiliaji wa kigeni sambamba na kulindwa umoja wa kitaifa.
-
Miili 7 ya wahajiri wa Kiafrika yapatikana ndani ya lori Libya
Jun 05, 2017 14:06Wahajiri saba wa Kiafrika wamepoteza maisha baada ya kukosa hewa wakiwa ndani ya lori lenye jokofu kwa muda wa siku mbili katika pwani ya Libya.
-
Wataka mkuu wa jeshi apandishwe kizimbani Libya kwa kushirikiana na Misri
Jun 01, 2017 14:20Wanaharakati nchini Libya wametaka mkuu wa jeshi la nchi hiyo apandishwe kizimbani kwa madai ya kula njama na Misri na kutoheshimu haki ya kujitawala Libya.
-
Wahajiri 58 wafa maji bahari ya Mediterrania, 100 watoweka
May 30, 2017 15:33Umoja wa Mataifa umesema wahajiri 58 aghalabu yao wakiwa ni watoto wadogo wamekufa maji katika Bahari ya Mediterrania karibu na pwani ya Libya wakijaribu kuingia barani Ulaya.
-
Libya yataka mashambulizi ya jeshi la Misri nchini humo kufuatiliwa kimataifa
May 30, 2017 07:55Wabunge la Libya wametaka kufuatiliwa katika asasi za kimataifa mashambulizi ya anga ya Misri ndani ya ardhi ya nchi hiyo.
-
Ikhwanul Muslimin: Shambulizi la Misri nchini Libya litazidisha uhasama wa nchi mbili
May 29, 2017 13:57Kundi la Ikhwanul Muslimin lililopigwa marufuku nchini Misri, limelaani mashambulizi ya nchi hiyo huko Libya.
-
47 wauawa katika mapigano kati ya makundi hasimu Libya
May 28, 2017 13:47Kwa akali watu 47 wameuawa katika mapigano yanayoendelea katika mji mkuu wa Libya, Tripoli, kati ya wapiganaji wa makundi mawii hasimu ya kisiasa.