Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Makumi ya wahajiri wahofiwa kufa maji pwani ya Libya

    Makumi ya wahajiri wahofiwa kufa maji pwani ya Libya

    Jun 11, 2017 14:09

    Makumi ya wahajiri wanahofiwa kufa maji baada ya boti yao kuzama mashariki mwa Tripoli, mji mkuu wa Libya.

  • Kundi la wabeba silaha Libya lamwachia huru Saiful Islam Gaddafi

    Kundi la wabeba silaha Libya lamwachia huru Saiful Islam Gaddafi

    Jun 11, 2017 08:03

    Kundi moja la wabeba silaha nchini Libya limetangaza kuwa limemwachia huru mwana wa kiume wa aliyekuwa dikteta wa nchi hiyo aliyeuawa Muammar Gaddafi, Saiful-Islam Gaddafi ambaye alikuwa akishikiliwa gerezani tangu mwaka 2011.

  • UN: Imarati imekiuka vikwazo vya silaha, Libya

    UN: Imarati imekiuka vikwazo vya silaha, Libya

    Jun 10, 2017 15:56

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) umekiuka vikwazo vya silaha vya Libya.

  • Algeria: Utatuzi wa mgogoro wa Libya utatimia bila uingiliaji wa kigeni

    Algeria: Utatuzi wa mgogoro wa Libya utatimia bila uingiliaji wa kigeni

    Jun 06, 2017 08:17

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amesema kuwa, utatuzi wa matatizo ya Libya utatimia bila uingiliaji wa kigeni sambamba na kulindwa umoja wa kitaifa.

  • Miili 7 ya wahajiri wa Kiafrika yapatikana ndani ya lori Libya

    Miili 7 ya wahajiri wa Kiafrika yapatikana ndani ya lori Libya

    Jun 05, 2017 14:06

    Wahajiri saba wa Kiafrika wamepoteza maisha baada ya kukosa hewa wakiwa ndani ya lori lenye jokofu kwa muda wa siku mbili katika pwani ya Libya.

  • Wataka mkuu wa jeshi apandishwe kizimbani Libya kwa kushirikiana na Misri

    Wataka mkuu wa jeshi apandishwe kizimbani Libya kwa kushirikiana na Misri

    Jun 01, 2017 14:20

    Wanaharakati nchini Libya wametaka mkuu wa jeshi la nchi hiyo apandishwe kizimbani kwa madai ya kula njama na Misri na kutoheshimu haki ya kujitawala Libya.

  • Wahajiri 58 wafa maji bahari ya Mediterrania, 100 watoweka

    Wahajiri 58 wafa maji bahari ya Mediterrania, 100 watoweka

    May 30, 2017 15:33

    Umoja wa Mataifa umesema wahajiri 58 aghalabu yao wakiwa ni watoto wadogo wamekufa maji katika Bahari ya Mediterrania karibu na pwani ya Libya wakijaribu kuingia barani Ulaya.

  • Libya yataka mashambulizi ya jeshi la Misri nchini humo kufuatiliwa kimataifa

    Libya yataka mashambulizi ya jeshi la Misri nchini humo kufuatiliwa kimataifa

    May 30, 2017 07:55

    Wabunge la Libya wametaka kufuatiliwa katika asasi za kimataifa mashambulizi ya anga ya Misri ndani ya ardhi ya nchi hiyo.

  • Ikhwanul Muslimin: Shambulizi la Misri nchini Libya litazidisha uhasama wa nchi mbili

    Ikhwanul Muslimin: Shambulizi la Misri nchini Libya litazidisha uhasama wa nchi mbili

    May 29, 2017 13:57

    Kundi la Ikhwanul Muslimin lililopigwa marufuku nchini Misri, limelaani mashambulizi ya nchi hiyo huko Libya.

  • 47 wauawa katika mapigano kati ya makundi hasimu Libya

    47 wauawa katika mapigano kati ya makundi hasimu Libya

    May 28, 2017 13:47

    Kwa akali watu 47 wameuawa katika mapigano yanayoendelea katika mji mkuu wa Libya, Tripoli, kati ya wapiganaji wa makundi mawii hasimu ya kisiasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS