Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Waafrika Kusini wajiunga na wageni katika maandamano ya kulaani 'xenophobia'

    Waafrika Kusini wajiunga na wageni katika maandamano ya kulaani 'xenophobia'

    Sep 15, 2019 02:50

    Wananchi wazalendo wa Afrika Kusini wamejiunga na raia wa kigeni wanaoishi na kufanya kazi nchini humo, katika maandamano ya kulaani ghasia na mauaji yanayowalenga raia wa kigeni hususan Waafrika wanaoishi nchini humo.

  • Vinara wa jaribio la mapinduzi Burkina Faso wahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela

    Vinara wa jaribio la mapinduzi Burkina Faso wahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela

    Sep 02, 2019 22:37

    Waitifaki wawili wakubwa wa rais aliyeondolewa madarakani nchini Burkina Faso, Blaise Compaore, wamehukumiwa vifungo vya hadi miaka 20 jela kwa kupatikana na hatia ya kupanga mapinduzi ya mwaka 2015 dhidi ya serikali ya mpito nchini humo.

  • Independent: Wanawake wamepuuzwa katika mfumo mpya wa utawala Sudan

    Independent: Wanawake wamepuuzwa katika mfumo mpya wa utawala Sudan

    Aug 05, 2019 07:42

    Gazeti la Independent linalochapishwa nchini Uingereza limendika kuwa, mfumo mpya wa utawala nchini Sudan umepuuza nafasi na mchango mkubwa wa wanawake katika mapinduzi yaliyouondoa madarakani utawala wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Omar al Bashir.

  • Waandamanaji wanne wauawa katika mji wa Omdurman nchini Sudan

    Waandamanaji wanne wauawa katika mji wa Omdurman nchini Sudan

    Aug 02, 2019 03:33

    Waandamanaji wanne wanaripotiwa kuuawa kwa kupigwa risasi katika maandamano yaliyofanyika jana katika mji wa Omdurman huko nchini Sudan, huku makumi ya wengine wakijeruhiwa.

  • Wazambia waandamana kulalamikia ufisadi wa serikali

    Wazambia waandamana kulalamikia ufisadi wa serikali

    Jul 21, 2019 08:07

    Maelfu ya wananchi wa Zambia wamefanya maandamano kulalamikia ufisadi mkubwa wa kifedhi ndani ya serikali ya nchi hiyo.

  • Wanigeria waendeleza maandamano ya kutaka kuachiwa huru Zakzaky

    Wanigeria waendeleza maandamano ya kutaka kuachiwa huru Zakzaky

    Jul 20, 2019 02:59

    Waislamu na wanaharakati nchini Nigeria jana Ijumaa waliendeleza maandamano ya kutaka kuachiwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo licha ya kukabiliwa kwa mkono wa chuma na maafisa usalama wa nchi hiyo.

  • Jeshi la Nigeria laendelea kumwaga damu za wafuasi wa Zakzaky

    Jeshi la Nigeria laendelea kumwaga damu za wafuasi wa Zakzaky

    Jul 17, 2019 02:52

    Mtu mmoja ameuawa na maafisa usalama katika mji wa Kano nchini Nigeria wakati wa maandamano makubwa ya kushinikiza kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria anayeshikiliwa korokoroni kwa miaka kadhaa sasa.

  • Maelfu waandamana Marekani kupinga udhalilishaji wa Trump kwa wahajiri

    Maelfu waandamana Marekani kupinga udhalilishaji wa Trump kwa wahajiri

    Jul 13, 2019 07:59

    Maelfu ya watu wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya Marekani, kupinga sera hasi za utawala wa Rais Donald Trump dhidi ya wahajiri wanaozuiliwa katika vituo vya mpaka wa nchi hiyo, na pia dhidi ya mpango wa kuwakamata na kuwatimua nchi humo wahajiri ambao hawajasajiliwa.

  • Pande hasimu za Sudan zakubaliana kugawana madaraka

    Pande hasimu za Sudan zakubaliana kugawana madaraka

    Jul 04, 2019 22:25

    Wawakilishi wa Baraza la Kijeshi la Mpito nchini Sudan na muungano wa upinzani wa Uhuru na Mabadiliko wameafikiana juu ya suala la kugawana madaraka katika kipindi cha mpito kuelekea katika uchaguzi.

  • Israel yawatia mbaroni makumi ya Wayahudi wa Kiethiopia, maandamano yashtadi

    Israel yawatia mbaroni makumi ya Wayahudi wa Kiethiopia, maandamano yashtadi

    Jul 04, 2019 21:54

    Makumi ya Wayahudi wenye asili ya Ethiopia wamekamatwa na jeshi la Polisi la utawala haramu wa Israel huku maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi na ukandamizaji wa polisi wa utawala wa Kizayuni wa Israel yakishtadi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS