Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Waandamanaji waendelea kuuawa Sudan, serikali yavituhumu vyama vya mrengo wa kushoto

    Waandamanaji waendelea kuuawa Sudan, serikali yavituhumu vyama vya mrengo wa kushoto

    Jan 21, 2019 23:52

    Idadi ya watu waliouawa kwa kupigwa risasi nchini Sudan katika "Maandamano ya Mkate" inaendelea kuongezeka baada ya kufariki dunia mwanafunzi wa chuo kikuu aliyepigwa risasi kichwani.

  • Maelfu ya wanawake waandamana dhidi ya Trump Marekani na Ulaya

    Maelfu ya wanawake waandamana dhidi ya Trump Marekani na Ulaya

    Jan 20, 2019 04:13

    Maelfu ya wanawake wameshiriki maandamano katika miji mikubwa ya Marekani na Ulaya kupinga sera za kibaguzi za Rais Donald Trump.

  • Wasudan waendeleza maandamano ya mkate, polisi yaua watu watatu

    Wasudan waendeleza maandamano ya mkate, polisi yaua watu watatu

    Jan 18, 2019 12:35

    Maandamano ya kumtaka Rais Omar Hassan al Bashir wa Sudan ang'atuke madarakani yameendelea mapema leo Ijumaa katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo baada ya mauaji ya watu watatu waliopigwa risasi na polisi katika maandamano ya jana mjini Khartoum.

  • Wasudan waendeleza maandamano ya mkate, wamtaka al Bashir ang'atuke

    Wasudan waendeleza maandamano ya mkate, wamtaka al Bashir ang'atuke

    Jan 18, 2019 00:23

    Maelfu ya Wasudan waliandamana tena jana Alkhamisi katika miji mbalimbali ya nchi hiyo wakitaka kuondoka madarakani serikali ya Rais Omar al Bashir wa nchi hiyo.

  • Mgomo wa nchi nzima wa wafanyakazi waanza nchini Tunisia

    Mgomo wa nchi nzima wa wafanyakazi waanza nchini Tunisia

    Jan 17, 2019 04:10

    Muungano mkubwa zaidi wa wafanyakazi nchini Tunisia UGTT umesema mgomo wa nchi nzima wa malaki ya watumishi wa umma umeng'oa nanga hii leo Alkhamisi.

  • Zimbabwe yatumia wanajeshi kuzima maandamano, kadhaa wauawa

    Zimbabwe yatumia wanajeshi kuzima maandamano, kadhaa wauawa

    Jan 15, 2019 11:08

    Watu wasiopungua watano wameuawa na maafisa usalama huku maandamano ya kupinga ongezeko la bei ya mafuta kwa asilimia 150 nchini Zimbabwe yakishtadi.

  • Ghasia zaibuka Ethiopia kufuatia kuongezeka mapigano ya kikabila

    Ghasia zaibuka Ethiopia kufuatia kuongezeka mapigano ya kikabila

    Jan 15, 2019 04:45

    Ghasia zimeshika kasi nchini Ethiopia kufuatia kuongezeka mapigano ya kikabila katika eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Maandamano Zimbabwe baada ya ongezeko la bei ya mafuta kwa 150%

    Maandamano Zimbabwe baada ya ongezeko la bei ya mafuta kwa 150%

    Jan 14, 2019 12:00

    Wananchi wa Zimbabwe hii leo wamefanya maandamano katika miji mikubwa ya nchi hiyo ukiwemo mji mkuu Harare, kulalamikia ongezeko la bei ya fueli kwa asilimia 150 lililotangazwa jana na Rais Emmerson Mnangagwa wa nchi hiyo.

  • Polisi wa Israel wawashambulia Wakristo waliopinga kudhalilishwa Nabii Issa (as)

    Polisi wa Israel wawashambulia Wakristo waliopinga kudhalilishwa Nabii Issa (as)

    Jan 12, 2019 09:34

    Maandamano ya amani ya Wakristo wanaoishi ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) yamefanyika karibu na jumba la makumbusho la mji wa Haifa wakipinga picha za kumvunjiwa heshima Nabii Issa (Yesu Kristo) ambapo yameishia kwenye ghasia na machafuko baada ya kushambuliwa na polisi wa utawala haramu wa Israel.

  • Askari katili wa Israel wamuua shahidi kwa risasi mwanamke wa Kipalestina

    Askari katili wa Israel wamuua shahidi kwa risasi mwanamke wa Kipalestina

    Jan 12, 2019 04:10

    Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limemuua shahidi kwa kumpiga risasi mwanamke wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS