Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Wafanyakazi wa umma waandamana wakitaka nyongeza ya mishahara Tunisia

    Wafanyakazi wa umma waandamana wakitaka nyongeza ya mishahara Tunisia

    Nov 23, 2018 04:16

    Maelfu ya watumishi wa umma nchini Tunisia jana Alkhamisi walimiminika mabarabarani kushiriki maandamano ya kushinikiza nyongeza ya mishahara.

  • Maelfu ya wakazi wa Daraa, Syria waandamana kumuunga mkono Rais Bashar al Assad

    Maelfu ya wakazi wa Daraa, Syria waandamana kumuunga mkono Rais Bashar al Assad

    Nov 16, 2018 04:18

    Maelafu ya wakazi wa jimbo la Daraa, kusini magharibi mwa Syria wamefanya maandamano makubwa wakimuunga mkono Rais Bashar al Assad wa nchi hiyo.

  • Maelfu waandamana Kongo DR kupinga mashine za kielektroniki za kura

    Maelfu waandamana Kongo DR kupinga mashine za kielektroniki za kura

    Oct 26, 2018 11:03

    Maelfu ya wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamefanya maandamano hii leo katika mji mkuu Kinshasa na miji mingine mikuu ya nchi hiyo wakitaka kutotumika mashine za kupiga kura kwa njia ya kielektroniki, huku wakisisitiza kuwa mashine hizo huenda zikapelekea kuibiwa kura.

  • Roma wajiunga na walimwengu kulaani jinai za Saudia nchini Yemen

    Roma wajiunga na walimwengu kulaani jinai za Saudia nchini Yemen

    Sep 19, 2018 23:16

    Kundi moja la wananchi wa Italia limekusanyika mbele ya ubalozi wa Saudi Arabia mjini Rome kulaani jinai za Aal Saud huko Yemen.

  • Wabahrain waandamana kumuunga mkono Sheikh Issa Qassim

    Wabahrain waandamana kumuunga mkono Sheikh Issa Qassim

    Sep 14, 2018 10:47

    Idadi kubwa ya Waislamu wa Bahrain leo Ijumaa wamefanya maandamano baada ya Swala ya Ijumaa kandokando ya Msikiti wa Imam Jaafar Sadiq (a.s) wakionyesha uungaji mkono na mshikamano wao kwa Sheikh Issa Qassim, mwanazuoni mtajika wa madhehebu ya Shia wa nchi hiyo.

  • Wapinzani waendelea na maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi nchini Mali

    Wapinzani waendelea na maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi nchini Mali

    Sep 01, 2018 23:54

    Wapinzani wa serikali ya Mali kwa mara nyingine tena wamefanya maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais.

  • Maandamano ya kilomita 400 yafanyika Pakistan kulaani kuvunjiwa heshima Bwana Mtume Muhammad SAW

    Maandamano ya kilomita 400 yafanyika Pakistan kulaani kuvunjiwa heshima Bwana Mtume Muhammad SAW

    Aug 30, 2018 03:26

    "Harakati ya Tumeitika Ewe Mjumbe wa Allah" ya nchini Pakistan inayoongozwa na Allamah Khadim Hussein Razavi jana ilianza maandamano yake kutoka mji wa Lahore kuelekea Islamabad, mji mkuu wa nchi hiyo ambayo yanafanyika kwa lengo la kulaani kuvunjiwa heshima Bwana Mtume Muhammad SAW nchini Uholanzi.

  • Wanajeshi wa Israel wamewaua shahidi Wapalestina 180 katika maandamano

    Wanajeshi wa Israel wamewaua shahidi Wapalestina 180 katika maandamano

    Aug 25, 2018 02:34

    Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza kuwa tokea yaanze 'Maandamano ya Haki ya Kurejea' Machi 30 mwaka huu wa 2018, Wapalestina 180 wameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Jumuiya za kutetea haki za binadamu: Serikali ya al Sisi inakandamiza wapinzani

    Jumuiya za kutetea haki za binadamu: Serikali ya al Sisi inakandamiza wapinzani

    Aug 16, 2018 23:19

    Jumuiya saba za kutetea haki za binadamu nchini Misri zimeikosoa serikali ya nchi hiyo zikisisitiza kuwa mienendo yake dhidi ya wapinzani inakiuka sheria.

  • Watunisia waandamana kulalamikia ubaguzi wa Saudia katika kutoa viza kwa ajili ya Hijja

    Watunisia waandamana kulalamikia ubaguzi wa Saudia katika kutoa viza kwa ajili ya Hijja

    Aug 14, 2018 10:33

    Raia wa Tunisia wamefanya maandamano kulalamikia siasa za kibaguzi zinazotekelezwa na Saudi Arabia katika kutoa viza kwa ajili ya kushiriki ibada ya Hijja ya mwaka huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS