Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Madagascar

  • Mahakama ya Katiba Madagascar yaagiza kuundwa serikali ya muungano

    Mahakama ya Katiba Madagascar yaagiza kuundwa serikali ya muungano

    May 26, 2018 03:29

    Mahakama ya Katiba nchini Madagascar imemuagiza Rais Hery Rajaonarimampianina wa nchi hiyo kuvunja serikali ya sasa na kuunda serikali ya muungano, kwa lengo la kutamatisha mgogoro wa kisiasa unaoshuhudiwa katika kisiwa hicho kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa.

  • Upinzani nchini Madagascar wakataa upatanishi wa UN

    Upinzani nchini Madagascar wakataa upatanishi wa UN

    May 08, 2018 12:25

    Upinzani nchini Madagascar umepinga upatanishi wa Umoja wa Mataifa katika mgogoro unaoendelea kutokota katika kisiwa hicho cha kusini mashariki mwa Afrika.

  • Maadamano ya wananchi Madagascar yailazimu mahakama kuu kufuta sheria mpya ya uchaguzi

    Maadamano ya wananchi Madagascar yailazimu mahakama kuu kufuta sheria mpya ya uchaguzi

    May 04, 2018 23:59

    Hatimaye Mahakama Kuu ya Katiba nchini Madagascar imefuta sehemu ya sheria mpya ya uchaguzi iliyoibua hivi karibuni ghasia na maandamano ya wananchi.

  • Maandamano dhidi ya rais wa Madagascar yanaendelea

    Maandamano dhidi ya rais wa Madagascar yanaendelea

    Apr 28, 2018 11:46

    Zaidi ya wanaharakati 1,000 wanaoipinga serikali ya Madagascar wameendelea na maandamano yao kwa siku ya nane mfululizo wakimtaka rais wa nchi hiyo ajiuzulu.

  • Kambi ya upinzani Madagascar yamtaka rais wa nchi ajiuzulu

    Kambi ya upinzani Madagascar yamtaka rais wa nchi ajiuzulu

    Apr 27, 2018 03:35

    Kambi ya upinzani nchini Madagascar imemtaka Rais na Waziri Mkuu wa nchi hiyo wajiuzulu na kusisitiza kwamba haitashiriki tena katika mazungumzo juu ya mgogoro wa kutunga sheria mpya ya uchaguzi.

  • Rais wa Madagascar asema wapinzani wanataka kumpindua

    Rais wa Madagascar asema wapinzani wanataka kumpindua

    Apr 23, 2018 03:27

    Rais wa Madagascar amewaonya vikali wanasiasa wa upinzani wanaochochea kile anachokitaja kama njama za kumpindua madarakani na kusisitiza kuwa serikali itawachukulia hatua kali za kisheria.

  • Wapinzani waandamana Madagascar kupinga sheria mpya za uchaguzi

    Wapinzani waandamana Madagascar kupinga sheria mpya za uchaguzi

    Apr 21, 2018 09:42

    Maelfu ya wapinzani nchini Madagascar wameandamana leo katika mji mkuu Antananarivo wakilalamikia sheria mpya za uchaguzi wa Rais zilizopasishwa na Bunge la nchi hiyo.

  • Watu 17 wafariki dunia katika tufani kali nchini Madagascar

    Watu 17 wafariki dunia katika tufani kali nchini Madagascar

    Mar 19, 2018 03:43

    Kwa akali watu 17 wameripotiwa kupoteza maisha katika tufani kali nchini Madagascar.

  • Idadi ya walioaga dunia kwa kimbunga nchini Madagascar wafikia 51

    Idadi ya walioaga dunia kwa kimbunga nchini Madagascar wafikia 51

    Jan 15, 2018 11:01

    Idadi ya watu walioaga dunia kutokana na kimbunga kilichoiathiri Madagascar siku kumi zilizopita wameongezeka na kufikia 51, huku watu wengine 22 wakiwa hawajulikani walipo hadi sasa.

  • Kimbunga chaua makumi Madagascar, maelfu wakosa makazi

    Kimbunga chaua makumi Madagascar, maelfu wakosa makazi

    Jan 10, 2018 01:06

    Kimbunga kikali kilichoyakumba maeneo ya mashariki mwa nchi ya Madagascar kimeua watu wasiopungua 29 na kuwajeruhi wengine kadhaa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS