-
Ugonjwa wa tauni wauwa watu 124 Madagascar; miji mikubwa yatajwa kuathirika zaidi
Oct 25, 2017 12:05Ugonjwa wa tauni nchini Madagascar umeuwa watu 24 tangu mwezi Agosti mwaka huu, katika mripuko unaoonekana kuiathiri zaidi miji miwili mikubwa ya kisiwa hicho kinachopatikana katika Bahari ya Hindi. Hayo yameelezwa leo na maafisa husika wa Madagascar.
-
WHO: Watu 94 wameaga dunia kwa ugonjwa wa tauni nchini Madagascar
Oct 20, 2017 13:13Idadi ya vifo vilivyosababishwa na mlipuko wa ugonjwa wa tauni nchini Madagascar hadi sasa vimefikia 94 huku kesi nyingine za maambukizi ya ugonjwa huo zikiwa zaidi ya 1,100.
-
Indhari ya WHO kutokana na mripuko wa tauni iliyoua watu 24 Madagascar
Oct 01, 2017 11:58Shirika la Afya Duniani WHO limeeleza wasi wasi wake kutokana na mripuko wa ugonjwa wa tauni ambao umeua makumi ya watu kufikia sasa nchini Madagascar.
-
Spika wa Bunge la Tanzania na wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar wakutana na Larijani
Aug 04, 2017 22:11Maspika wa mabunge ya Tanzania na Madagascar na wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar wamekutana na kufanya mazungumzo katika nyakati tofauti na Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran.
-
34 wafariki dunia katika ajali ya barabarani nchini Madagascar
Aug 02, 2017 03:36Kwa akali watu 34 wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea katika kisiwa cha Madagascar.
-
Wapinzani Madagascar wafanya maandamano licha ya marufuku ya polisi
Jul 08, 2017 12:13Wafuasi wa kambi ya upinzani nchini Madagascar wamefanya maandamano leo katika mji mkuu wa nchi hiyo, Antananarivo licha ya maandamano hayo kupigwa marufuku na vyombo vya usalama.
-
Idadi ya Waislamu nchini Madagascar imeongezeka ndani ya miaka saba iliyopita
Jun 04, 2017 10:48Jamii ya Waislamu nchini Madagascar imeongezeka zaidi katika kipindi cha miaka saba ya hivi karibuni.
-
Idadi ya waliouawa na kimbunga Madagascar yapindukia 50
Mar 12, 2017 01:04Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na Kimbunga cha Enawo katika kisiwa cha Madagascar imepindukia watu 50.
-
Waliouawa kwa kimbunga Madagascar wafikia 38
Mar 11, 2017 10:49Watu wasiopungua 38 wameuawa kwa kimbunga cha "Enawo" kilichoikumba Madagascar wiki hii. Hayo yameelezwa na afisa wa Idara ya Kukabiliana na Majanga ya nchi hiyo.
-
Kimbunga, maporomoko ya ardhi vyaua watu 16 kisiwani Madagascar
Mar 10, 2017 10:36Kwa akali watu 16 wameaga dunia kufuatia maporomoko ya ardhi katika eneo la Vatomandry, mashariki mwa Madagascar.