Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Madagascar

  • Kimbunga chasababisha maafa na hasara kisiwani Madagascar

    Kimbunga chasababisha maafa na hasara kisiwani Madagascar

    Mar 09, 2017 12:56

    Kimbunga cha Enawo kimesababisha vifo vya watu watano huku makumi ya maelfu ya wengine wakiachwa bila makao katika kisiwa cha Madagascar.

  • Nchi za jumuiya ya Francophone zasisitiza udharura wa kupambana na ugaidi

    Nchi za jumuiya ya Francophone zasisitiza udharura wa kupambana na ugaidi

    Nov 29, 2016 10:20

    Washiriki katika mkutano wa kimataifa wa 16 wa Jumuiya ya Nchi Zinazozungumza Kifaransa (Francophone) wametilia mkazo udharura wa kupambana na ugaidi na kuanzisha ulimwengu wenye amani na usalama.

  • Mkutano wa 16 wa Francophone waanza leo nchini Madagascar

    Mkutano wa 16 wa Francophone waanza leo nchini Madagascar

    Nov 26, 2016 12:30

    Mkutano wa 16 wa wanachama katika Jumuiya ya Nchi Zinazozungumza Kifaransa (Francophone) umeanza leo Jumamosi katika mji mkuu wa Madagascar, Antananarivo.

  • Shirika la Fao: Madagascar isaidiwe kukabiliana na hali mbaya ya uhaba wa chakula

    Shirika la Fao: Madagascar isaidiwe kukabiliana na hali mbaya ya uhaba wa chakula

    Oct 28, 2016 01:16

    Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) limetangaza kuwa, karibu watu laki nane na 50 elfu nchini Madagascar, wanakabiliwa na hali mbaya ya chakula.

  • Moto Madagascar wauwa watu 38, wakiwemo watoto 16

    Moto Madagascar wauwa watu 38, wakiwemo watoto 16

    Jul 25, 2016 23:05

    Watu zaidi ya 36 wamefariki dunia wakiwemo watoto 16 baada ya moto kutokea katika nyumba moja katikati mwa Madagascar.

  • Ukame waendelea kuizonga Madagascar

    Ukame waendelea kuizonga Madagascar

    Jul 23, 2016 22:22

    Serikali ya Madagascar imeendelea kukumbwa na mgogoro wa ukosefu wa chakula kutokana na hali ya ukame na ungezeko la jangwa ndani ya nchi hiyo.

  • Malumbano ya kisiasa Madagascar baada ya mripuko wa bomu

    Malumbano ya kisiasa Madagascar baada ya mripuko wa bomu

    Jun 28, 2016 02:14

    Katika siku ya sherehe za kitaifa, nchini Madagascar, kulijiri mripuko wa bomu mjini Antananarivo, mji mkuu wa nchi hiyo na kusababisha makumi ya watu kuuawa na wengine kujeruhiwa.

  • Serikali na wapinzani wakabana koo Madagascar

    Serikali na wapinzani wakabana koo Madagascar

    Jun 27, 2016 11:33

    Serikali ya Madagascar na wapinzani wake wanatuhumiana kuhusika na mlipuko uliotokea katika mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kulihutubia Bunge la Madagascar leo

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kulihutubia Bunge la Madagascar leo

    May 11, 2016 03:04

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anatazamiwa kulihutubia Bunge la Madagascar hii leo, kabla ya kukutana na kufanya mazungumzo na rais wa nchi hiyo.

  • Watu wenye silaha washambulia magharibi mwa Madagascar, waua na kujeruhi

    Watu wenye silaha washambulia magharibi mwa Madagascar, waua na kujeruhi

    Apr 27, 2016 02:55

    Watu wenye silaha wamefanya shambulizi magharibi mwa Madagascar na kuua watu wawili na kujeruhi wengine kadhaa katika eneo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS