-
Mafuriko Msumbiji: Maelfu wapoteza makazi huku shule zikifungwa
Feb 23, 2025 07:46Mafuriko makubwa yaliyoiathiri Botswana yamesababisha vifo vya watu saba wakiwemo watoto watatu na kuharibu nyumba za maelfu ya watu baada ya siku kadhaa za mvua kubwa kunyesha kote nchinu humo. Haya yamebainishwa jana na Rais Duma Boko wa nchi hiyo.
-
Jumanne, 21 Januari, 2025
Jan 21, 2025 04:28Leo ni Jymanne tarehe 20 Rajab 1446 Hijria mwafaka na tarehe 21 Januari 2025.
-
Watu milioni 1.9 waathiriwa na mafuriko Chad huku mikoa yote 23 ikiathiriwa
Oct 13, 2024 02:12Mikoa yote 23 ya Chad imeathiriwa na mafuriko makubwa yaliyosababishwa na mvua kubwa nchini humo.
-
Mafuriko yaua makumi ya watu nchini Niger
Sep 01, 2024 06:44Mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa yamesababisha vifo vya watu 20 na kujeruhi makumi ya wengine katika eneo la Maradi, kusini mwa Niger.
-
OIC yasikitishwa na mafuriko yaliyoua mamia ya watu katika nchi kadhaa za Afrika
Aug 26, 2024 02:29Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetangaza mshikamano na serikali na wananchi wa Burkina Faso, Mali, Niger, Nigeria, na Chad ambao wameathiriwa na mafuriko makubwa tangu Agosti 16.
-
Mafuriko yaua zaidi ya watu 50 kaskazini mwa Chad
Aug 16, 2024 10:39Watu wasiopungua 54 wamefariki dunia kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika jimbo la Tibesti la kaskazini mwa Chad.
-
Mafuriko kaskazini mwa Sudan yaua na kujeruhi makumi ya watu
Aug 07, 2024 03:20Shirika rasmi la Habari la Sudan (SUNA) limeripoti kuwa watu 11 wamefariki dunia na wengine 60 kujeruhiwa kutokana na mvua kubwa iliyonyesha na kusababisha mafuriko katika mji wa Abu Hamad kaskazini mwa Sudan. Mvua hiyo imebomoa makumi ya nyumba huku timu za uokoaji zikiendelea kusaka watu waliotoweka na wengine walionasa chini ya vifusi.
-
Mvua kubwa yazidisha mateso ya wakimbizi mashariki mwa Sudan
Jul 27, 2024 07:02Mvua kubwa inayoendelea kunyesha huko mashariki mwa Sudan imezidisha mateso ya watu waliokimbia makazi yao haswa katika miji ya Gedaref, Kassala na Halfa Aj Jadeedah.
-
Maporomoko ya udongo yaua mamia ya watu New Papua Guinea
May 25, 2024 11:02Mamia ya watu wameripotiwa kuaga dunia kutokana na mafuriko na maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha huko Papua New Guinea (PNG).
-
Kiongozi Muadhamu: Kushiriki katika uchaguzi ilikuwa jihadi ya watu wa Iran
Mar 05, 2024 11:25Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameshukuru mahudhurioa ya taifa la Iran katika vituo vya kupigia kura Machi Mosi na kusema: "Kushiriki taifa la Iran katika uchaguzi huo lilikuwa jukumu la kijamii, kiustaarabu na kijihadi."