Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuta

  • Kutozwa ushuru wa asilimia 25 na Marekani kwa nchi zinazonunua mafuta ya Venezuela

    Kutozwa ushuru wa asilimia 25 na Marekani kwa nchi zinazonunua mafuta ya Venezuela

    Mar 27, 2025 05:49

    Rais Donald Trump wa Marekani ametangaza kutoza ushuru wa asilimia 25 kwa biashara yoyote na nchi zinazonunua mafuta na gesi ya Venezuela. Ameelezea ushuru huu kama jibu la kutumwa Marekani wanachama wa genge la uhalifu la "Tren de Aragua".

  • Baghaei: Machi 19 ni uthibitisho wa dhamira ya Wairani ya kupinga uonevu

    Baghaei: Machi 19 ni uthibitisho wa dhamira ya Wairani ya kupinga uonevu

    Mar 20, 2025 03:12

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa tarehe 29 Isfand (Machi 19), ambayo ni maadhimisho ya siku ya kufanywa mafuta ya Iran kuwa ni mali ya taifa, ni ushahidi wa azma ya kweli ya wananchi wa Iran ya kupinga uonevu.

  • Waziri wa Mafuta: Sera ya kusimamisha uuzaji mafuta ya Iran nje ya nchi imefeli na itaendelea kufeli

    Waziri wa Mafuta: Sera ya kusimamisha uuzaji mafuta ya Iran nje ya nchi imefeli na itaendelea kufeli

    Feb 10, 2025 03:27

    Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohsen Paknejad amesema vikwazo havina tija yoyote na akasisitiza kwamba, sera ya kuufanya uuzaji mafuta ya Iran nje ya nchi ufikie kiwango cha sifuri imefeli na itaendelea kufeli.

  • IRGC yanasa meli ya 'Togo' ikifanya magendo ya mafuta Ghuba ya Uajemi

    IRGC yanasa meli ya 'Togo' ikifanya magendo ya mafuta Ghuba ya Uajemi

    Jul 23, 2024 02:57

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limefanikiwa kutwaa meli nyingine ya kigeni ikifanya magendo ya mafuta mengi katika maji ya Ghuba ya Uajemi.

  • Kiwanda cha Dangote chaanza kuuzia Ulaya mafuta ya ndege

    Kiwanda cha Dangote chaanza kuuzia Ulaya mafuta ya ndege

    Jun 02, 2024 06:37

    Kiwanda cha Kusafishia Mafuta cha Dangote cha Nigeria kimeanza kuziuzia nchi za Ulaya mafuta ya ndege.

  • Idadi ya walioaga dunia katika mripuko wa lori la mafuta Liberia yaongezeka

    Idadi ya walioaga dunia katika mripuko wa lori la mafuta Liberia yaongezeka

    Dec 28, 2023 06:39

    Idadi ya watu waliopoteza maisha katika mripuko wa lori la mafuta uliotokea katikati ya Liberia imeongezeka na kufikia watu 40.

  • Mripuko katika kituo cha mafuta Guinea waua na kujeruhiwa makumi

    Mripuko katika kituo cha mafuta Guinea waua na kujeruhiwa makumi

    Dec 18, 2023 11:49

    Watu wasiopungua wanane wamefariki dunia katika mripuko uliotokea katika kiwanda kimoja cha kuhifadhi na kusambaza mafuta huko Conakry, mji mkuu wa Guinea.

  • Admeri Tangsiri: Mafuta yaliyoko Ghuba ya Uajemi ni ya Iran, majirani zake

    Admeri Tangsiri: Mafuta yaliyoko Ghuba ya Uajemi ni ya Iran, majirani zake

    Jul 03, 2023 02:50

    Kamanda wa Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) amesema mafuta yaliyoko katika eneo la Ghuba ya Uajemi ni milki ya Iran na majirani zake katika eneo hili la kistratajia.

  • Reuters: Mauzo ya mafuta ya Iran nje ya nchi yameweka rekodi

    Reuters: Mauzo ya mafuta ya Iran nje ya nchi yameweka rekodi

    Jun 17, 2023 11:08

    Shirika la habari la Reuters limeripoti kuwa, ununuzi wa mafuta kutoka Iran mwaka huu 2023 umeongezeka kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.

  • Ununuzi wa mafuta kutoka Iran, nembo ya kufeli sera za vikwazo za Magharibi

    Ununuzi wa mafuta kutoka Iran, nembo ya kufeli sera za vikwazo za Magharibi

    Jun 15, 2023 02:23

    Takwimu mpya zilizotolewa na Kituo cha Takwimu cha Ulaya (Eurostat) zinaonyesha kuwa, kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2018, Ujerumani imeagiza shehena kubwa ya mafuta au bidhaa za petroli kutoka Iran licha ya vikwazo vya Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS