Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuta

  • NGOs zakosoa mradi wa mafuta wa Uganda

    NGOs zakosoa mradi wa mafuta wa Uganda

    Oct 06, 2022 13:43

    Ripoti iliyotolewa na taasisi mbili za kulinda mazingira zisizo za kiserikali imetahadharisha kuhusu uwezekano wa kujitokeza uharibifu na taathira za kimazingira kutokana na mradi wenye utata unaohusisha kampuni kubwa ya mafuta ya Ufaransa ya TotalEnergies na Shirika la Kitaifa la Mafuta la Offshore la China (CNOOC).

  • Jumatatu, Septemba 19, 2022

    Jumatatu, Septemba 19, 2022

    Sep 19, 2022 02:23

    Leo ni Jumatatu tarehe 22 Mfunguo Tano Safar 1444 Hijria sawa na tarehe 19 Septemba 2022 Milaadia.

  • Nasrullah: Macho na makombora yetu yameelekezwa kwenye medani ya gesi ya Karish

    Nasrullah: Macho na makombora yetu yameelekezwa kwenye medani ya gesi ya Karish

    Sep 17, 2022 11:59

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah, amesema leo Jumamosi kwamba macho na makombora ya harakati hiyo yameelekezwa kwenye medani ya gesi ya Karish, ambao inazozaniwa baina ya Lebanon na utawala haramu wa Israel.

  • Marekani inaiba 80% ya mafuta yanayozalishwa Syria kila siku

    Marekani inaiba 80% ya mafuta yanayozalishwa Syria kila siku

    Aug 16, 2022 07:39

    Marekani inapora asilimia 80 ya mafuta yanayozalishwa kwa siku nchini Syria.

  • Russia yatishia kusimamisha uuzaji wa mafuta yake nje ya nchi

    Russia yatishia kusimamisha uuzaji wa mafuta yake nje ya nchi

    Jul 21, 2022 11:39

    Russia imetishia kuwa itaacha kuuza mafuta yake ghafi nje ya nchi hiyo iwapo nchi za Magharibi zitatekeleza mpango wao wa kuweka kibano katika bei ya mauzo ya bidhaa hiyo.

  • Muungano vamizi wa kijeshi wa Saudia umepora mapipa laki nne ya mafuta ya Yemen

    Muungano vamizi wa kijeshi wa Saudia umepora mapipa laki nne ya mafuta ya Yemen

    Jun 27, 2022 07:46

    Meli moja ya mafuta ya kigeni inayomilikiwa na muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia imeondoka katika mkoa wa Shabwah, kusini mashariki ya Yemen baada ya kupora mapipa laki nne ya mafuta ghafi ya nchi hiyo.

  • Iraq yatakiwa kuchunguza wizi wa mafuta yanayopelekwa Israel

    Iraq yatakiwa kuchunguza wizi wa mafuta yanayopelekwa Israel

    Jun 18, 2022 11:28

    Serikali ya Iraq imetakiwa ifanye uchunguzi wa kina kuhusu wizi wa mafuta ya nchi hiyo katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Kurdistan, kaskazini mwa nchi na kupelekwa katika ardhi za Wapalestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

  • Iran yanasa meli nyingine ya kigeni ikifanya magendo ya mafuta

    Iran yanasa meli nyingine ya kigeni ikifanya magendo ya mafuta

    Apr 11, 2022 02:36

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limefanikiwa kunasa meli nyingine ya kigeni ikifanya magendo ya mafuta katika maji ya Ghuba ya Uajemi.

  • Iran: Uzalishaji wa mafuta ghafi umerejea katika kiwango cha kabla ya vikwazo

    Iran: Uzalishaji wa mafuta ghafi umerejea katika kiwango cha kabla ya vikwazo

    Apr 02, 2022 02:36

    Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kiwango cha uzalishaji wa mafuta ghafi ya taifa hili kimeongezeka na kurejea katika kiwango cha kipindi cha kabla ya vikwazo, ilivyowekewa nchi hii na utawala wa Donald Trump baada ya kuiondoa Marekani kwenye mapatano ya nyuklia ya JCPOA mwaka 2018.

  • Kuongezeka mpasuko ndani ya EU kuhusu vikwazo vya mafuta na gesi dhidi ya Russia

    Kuongezeka mpasuko ndani ya EU kuhusu vikwazo vya mafuta na gesi dhidi ya Russia

    Mar 28, 2022 02:27

    Waziri Mkuu wa Poland, Mateusz Morawiecki amedai kuwa, nchi tatu za Ulaya za Ujerumani, Austria na Hungary ni kizuizi katika utekelezaji wa vikwazo vipya dhidi ya Russia na kuzifananisha nchi hizo tatu na breki inayozuia vikwazo vya Magharibi dhidi ya Moscow.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS