Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuta

  • Zanganeh: Iran haihitaji idhini ya kurejea katika soko la mafuta

    Zanganeh: Iran haihitaji idhini ya kurejea katika soko la mafuta

    Dec 14, 2020 12:27

    Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Bijan Namdar Zangeneh amesema taifa hili halihitaji idhini yoyote kurejea katika soko la mafuta na kwamba lina uwezo wa kuuza mapipa milioni 2.3 ya mafuta kila siku.

  • Askari wa jeshi la kiharamia la Marekani waendelea kupora mafuta ya Syria

    Askari wa jeshi la kiharamia la Marekani waendelea kupora mafuta ya Syria

    Dec 13, 2020 14:03

    Kwa mara nyingine, askari wa jeshi la Marekani wamepora makumi ya malori ya mafuta ya Syria na kuyahamishia nchi jirani ya Iraq.

  • Mansour Hadi atuhumiwa kuiba mafuta ya Yemen kwa msaada wa Saudia na Imarati

    Mansour Hadi atuhumiwa kuiba mafuta ya Yemen kwa msaada wa Saudia na Imarati

    Nov 07, 2020 02:30

    Abdrabbuh Mansur Hadi rais aliyejiuzulu na kukimbilia Saudi Arabia wa Yemen na wanamgambo wenye mfungamano naye wanaiba na kuvusha mafuta ya Yemen akisaidiwa na muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia na Imarati.

  • Iran na Nigeria kushirikiana zaidi katika masuala ya nishati

    Iran na Nigeria kushirikiana zaidi katika masuala ya nishati

    Sep 24, 2020 02:43

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Nigeria zimetilia mkazo wajibu wa kustawishwa uhusiano wao katika nyuga mbalimbali hasa za nishati kwa kadiri inavyowezekana.

  • Akiba ya fueli al Hudaydah imemalizika, Saudia yaendelea kuzuia meli 21 za mafuta za Yemen

    Akiba ya fueli al Hudaydah imemalizika, Saudia yaendelea kuzuia meli 21 za mafuta za Yemen

    Sep 02, 2020 02:36

    Shirika la mafuta la Yemen limesema, akiba yote ya fueli ya shirika hilo iliyokuwepo katika bandari ya al Hudaydah imemalizika.

  • Libya yapata  hasara ya dola bilioni 9 kutokana na kufungwa taasisi zake za mafuta

    Libya yapata hasara ya dola bilioni 9 kutokana na kufungwa taasisi zake za mafuta

    Aug 31, 2020 06:28

    Shirika la Mafuta la Libya limetangaza kuwa nchi hiyo imepata hasara ya dola bilioni tisa kutokana na kufungwa taasisi za mafuta na kusitishwa uzalishaji na uuzaji wa bidhaa hiyo.

  • Marekani na wizi wa mafuta ya Syria

    Marekani na wizi wa mafuta ya Syria

    Aug 28, 2020 02:22

    Nchi tatu za Iran, Russia na Uturuki zimetoa taarifa ya pamoja mwishoni mwa kikao cha tatu cha Kamati ya Katiba ya Syria zikilaani wizi wa mafuta unaofanywa na Marekani nchini Syria.

  • Wapiganaji wa Janjaveed wa Sudan wapelekwa Libya kujiunga na Haftar

    Wapiganaji wa Janjaveed wa Sudan wapelekwa Libya kujiunga na Haftar

    Aug 11, 2020 11:23

    Jeshi la Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa nchini Libya limetangaza kuwa mfasara uliokuwa na magari 70 ya kijeshi yakibeba silaha na mamluki wa kundi la Janjaweed umevuka maeneo maarufu kama Hilali ya Mafuta ya Libya ukiuelekea katika mji wa Sirte kwa ajili ya kumsaidia jenerali muasi, Khalifa Haftar.

  • Maseneta wa Marekani watishia 'kuichukulia hatua' Saudia

    Maseneta wa Marekani watishia 'kuichukulia hatua' Saudia

    Apr 11, 2020 13:49

    Maseneta wa Marekani wametishia kuangalia upya uhusiano wao na Saudi Arabia kutokana na hatua ya Riyadh ya kuendelea kuvutana na Russia juu ya bei ya mafuta ghafi ambayo imeiathiri pia Marekani.

  • Seneta wa Marekani aionya Saudia kwa kushusha bei ya mafuta

    Seneta wa Marekani aionya Saudia kwa kushusha bei ya mafuta

    Apr 04, 2020 04:12

    Seneta wa chama cha Republican nchini Marekani ameitahadharisha Saudia kuhusu kushuka kwa bei ya mafuta kwenye soko la dunia kutokana na tofauti zake na Russia na kuitaka ibadili mienendo yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS