Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Magharibi

  • Iran: Marekani na Magharibi hazisiti kukiuka sheria za kimataifa

    Iran: Marekani na Magharibi hazisiti kukiuka sheria za kimataifa

    May 18, 2024 12:41

    Msemaji wa Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameasema kuwa sheria za kimataifa zinakabiliwa na udhaifu wa dhamana ya utekelezaji na kusisitiza kuwa: Marekani na nchi za Magharibi kwa ujumla zinakubali sheria za kimataifa kiubaguzi na hazisiti kukanyaga haki hizo kwa kutumia visingizo vya kisiasa.

  • Balozi wa Russia UN: Mashambulizi ya Magharibi dhidi ya Yemen ni kinyume cha sheria

    Balozi wa Russia UN: Mashambulizi ya Magharibi dhidi ya Yemen ni kinyume cha sheria

    May 15, 2024 06:08

    Balozi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa mashambulizi ya muungano wa nchi za Magharibi unaoongozwa na Marekani dhidi ya Yemen yamekiuka Mkataba wa Umoja wa Mataifa na hayana uhalali wowote.

  • Rais wa Iran: Matukio ya Gaza yamefichua sura halisi ya Magharibi

    Rais wa Iran: Matukio ya Gaza yamefichua sura halisi ya Magharibi

    May 06, 2024 10:43

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, matukio ya Gaza yamefichua sura halisi ya Wamagharibi na kuonyesha mgongano uliopo kati ya kambi ya watu sharifu, na tabaka la wanafunzi wenye uelewa wa vyuo vikuu na mrengo wa uovu wa viongozi wakorofi na wanaokanyaga sheria, haki na uhuru wa binadamu wa nchi za Magharibi.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akosoa undumakuwili wa Magharibi

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akosoa undumakuwili wa Magharibi

    Mar 26, 2024 07:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumza kwa simu na mwakilishi wa ngazi ya juu wa Umoja wa Ulaya katika Masuala ya Nje na Sera ya Usalama na kukosoa vikali vigezo vya undumakuwili na vinavyokinzana vya nchi za Magharibi mkabala wa Palestina na Gaza.

  • "Mauaji ya kimbara Gaza yamefichua dhati na unafiki wa Wamagharibi"

    Mar 23, 2024 07:57

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mauaji ya kimbari yanayoshuhudiwa katika Ukanda wa Gaza yameweka bayana kuwa nchi za Magharibi zinatumia suala la 'haki za binadamu' kama wenzo wa kisiasa tu.

  • Syria: Kuunga mkono jinai za Netanyahu kumefichua dhati ya Wamagharibi

    Syria: Kuunga mkono jinai za Netanyahu kumefichua dhati ya Wamagharibi

    Mar 11, 2024 11:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amezikosoa vikali nchi za Magharibi kwa kuendelea kuunga mkono jinai za kivita zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, uungaji mkono huo umefichua dhati halisi ya Wamagharibi.

  • Kukiri Borrell juu ya mwisho wa udhibiti wa Magharibi duniani kutokana na vita vya Ukraine na Gaza

    Kukiri Borrell juu ya mwisho wa udhibiti wa Magharibi duniani kutokana na vita vya Ukraine na Gaza

    Feb 29, 2024 02:30

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amekiri kuwa udhibiti wa nchi za Magharibi duniani umeyoyoma na kumalizika baada ya kuanza operesheni maalumu ya kijeshi ya Russia huko Ukraine na vita Israel huko Ukanda wa Gaza

  • Kuongezeka ukosoaji  wa Magharibi dhidi ya himaya ya Marekani kwa Israel katika vita vya Gaza

    Kuongezeka ukosoaji wa Magharibi dhidi ya himaya ya Marekani kwa Israel katika vita vya Gaza

    Feb 14, 2024 02:36

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, Josep Borrell, Jumatatu iliyopita aliitaka Marekani kuacha kutoa silaha kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na kiwango kikubwa cha mauaji ya raia katika vita vya Gaza.

  • Hukumu ya kutimuliwa nchini Sweden mhalifu aliyevunjia heshima Qur'ani Tukufu

    Hukumu ya kutimuliwa nchini Sweden mhalifu aliyevunjia heshima Qur'ani Tukufu

    Feb 09, 2024 11:04

    Mahakama ya Uhajiri ya Sweden imetangaza kwamba, mtafuta hifadhi wa Iraq, ambaye amefanya vitendo kadhaa vya kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu, atafukuzwa nchini humo.

  • Kan'ani: Mashirika ya 'haki za binadamu' ya Magharibi hayana tena itibari

    Kan'ani: Mashirika ya 'haki za binadamu' ya Magharibi hayana tena itibari

    Jan 28, 2024 13:24

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema mashirika yanayojidai kuwa ya kutetea haki za binadamu katika nchi za Magharibi yamepoteza itibari na uhalali wao kwa kufumbia macho jinai za kutisha zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS