-
Iran: Marekani na Magharibi hazisiti kukiuka sheria za kimataifa
May 18, 2024 12:41Msemaji wa Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameasema kuwa sheria za kimataifa zinakabiliwa na udhaifu wa dhamana ya utekelezaji na kusisitiza kuwa: Marekani na nchi za Magharibi kwa ujumla zinakubali sheria za kimataifa kiubaguzi na hazisiti kukanyaga haki hizo kwa kutumia visingizo vya kisiasa.
-
Balozi wa Russia UN: Mashambulizi ya Magharibi dhidi ya Yemen ni kinyume cha sheria
May 15, 2024 06:08Balozi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa mashambulizi ya muungano wa nchi za Magharibi unaoongozwa na Marekani dhidi ya Yemen yamekiuka Mkataba wa Umoja wa Mataifa na hayana uhalali wowote.
-
Rais wa Iran: Matukio ya Gaza yamefichua sura halisi ya Magharibi
May 06, 2024 10:43Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, matukio ya Gaza yamefichua sura halisi ya Wamagharibi na kuonyesha mgongano uliopo kati ya kambi ya watu sharifu, na tabaka la wanafunzi wenye uelewa wa vyuo vikuu na mrengo wa uovu wa viongozi wakorofi na wanaokanyaga sheria, haki na uhuru wa binadamu wa nchi za Magharibi.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akosoa undumakuwili wa Magharibi
Mar 26, 2024 07:49Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumza kwa simu na mwakilishi wa ngazi ya juu wa Umoja wa Ulaya katika Masuala ya Nje na Sera ya Usalama na kukosoa vikali vigezo vya undumakuwili na vinavyokinzana vya nchi za Magharibi mkabala wa Palestina na Gaza.
-
"Mauaji ya kimbara Gaza yamefichua dhati na unafiki wa Wamagharibi"
Mar 23, 2024 07:57Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mauaji ya kimbari yanayoshuhudiwa katika Ukanda wa Gaza yameweka bayana kuwa nchi za Magharibi zinatumia suala la 'haki za binadamu' kama wenzo wa kisiasa tu.
-
Syria: Kuunga mkono jinai za Netanyahu kumefichua dhati ya Wamagharibi
Mar 11, 2024 11:23Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amezikosoa vikali nchi za Magharibi kwa kuendelea kuunga mkono jinai za kivita zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, uungaji mkono huo umefichua dhati halisi ya Wamagharibi.
-
Kukiri Borrell juu ya mwisho wa udhibiti wa Magharibi duniani kutokana na vita vya Ukraine na Gaza
Feb 29, 2024 02:30Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amekiri kuwa udhibiti wa nchi za Magharibi duniani umeyoyoma na kumalizika baada ya kuanza operesheni maalumu ya kijeshi ya Russia huko Ukraine na vita Israel huko Ukanda wa Gaza
-
Kuongezeka ukosoaji wa Magharibi dhidi ya himaya ya Marekani kwa Israel katika vita vya Gaza
Feb 14, 2024 02:36Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, Josep Borrell, Jumatatu iliyopita aliitaka Marekani kuacha kutoa silaha kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na kiwango kikubwa cha mauaji ya raia katika vita vya Gaza.
-
Hukumu ya kutimuliwa nchini Sweden mhalifu aliyevunjia heshima Qur'ani Tukufu
Feb 09, 2024 11:04Mahakama ya Uhajiri ya Sweden imetangaza kwamba, mtafuta hifadhi wa Iraq, ambaye amefanya vitendo kadhaa vya kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu, atafukuzwa nchini humo.
-
Kan'ani: Mashirika ya 'haki za binadamu' ya Magharibi hayana tena itibari
Jan 28, 2024 13:24Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema mashirika yanayojidai kuwa ya kutetea haki za binadamu katika nchi za Magharibi yamepoteza itibari na uhalali wao kwa kufumbia macho jinai za kutisha zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.