Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mahakama

  • Rais wa zamani wa Burkina Faso ahukumiwa maisha jela kwa mauaji ya Sankara

    Rais wa zamani wa Burkina Faso ahukumiwa maisha jela kwa mauaji ya Sankara

    Apr 07, 2022 01:55

    Rais wa zamani wa Burkina Faso amehukumiwa kifungo cha maisha jela katika kesi ya mauaji ya Thomas Sankara, kiongozi wa mapinduzi wa nchi hiyo na shujaa wa bara la Afrika yaliyotekelezwa mwaka 1987.

  • Mahakama Tanzania yamuachia huru Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe

    Mahakama Tanzania yamuachia huru Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe

    Mar 04, 2022 12:24

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, Freeman Mbowe na wenzake watatu, leo Ijumaa wamefutiwa mashtaka yote yaliyokuwa yakiwakabili katika Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi.

  • Rais wa Tunisia avunja Baraza Kuu la Idara ya Mahakama

    Rais wa Tunisia avunja Baraza Kuu la Idara ya Mahakama

    Feb 07, 2022 02:31

    Rais Kais Saied wa Tunisia ametangaza habari ya kulivunja Baraza Kuu la Idara ya Mahakama, huku msuguano mkali ukiendelea kushuhudiwa baina yake na mhimili huo wa dola.

  • Rais wa Gambia awataka wapinzani waheshimu uamuzi wa mahakama

    Rais wa Gambia awataka wapinzani waheshimu uamuzi wa mahakama

    Dec 29, 2021 07:44

    Rais Adama Barrow wa Gambia ametoa mwito kwa upinzani nchini humo kukubali na kuheshimu uamuzi wa jana Jumanne wa Mahakama ya Juu ya nchi hiyo wa kutupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais yaliyompa ushindi kiongozi huyo.

  • Kuendelea ubaguzi wa rangi Marekani

    Kuendelea ubaguzi wa rangi Marekani

    Nov 23, 2021 08:11

    Uamuzi wa mahakama ya Marekani wa kufutilia mbali mashtaka ya mauaji yaliyokuwa yanamkabili kijana mmoja mweupe aliyehusika na mauaji ya watu wawili katika maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi nchini humo mwaka uliopita, kwa mara nyingine umeamsha hasira ya wengi katika nchi hiyo ya Magharibi.

  • Mwanahabari wa Marekani ashitakiwa kwa ugaidi Myanmar

    Mwanahabari wa Marekani ashitakiwa kwa ugaidi Myanmar

    Nov 10, 2021 14:23

    Mwandishi wa habari wa Marekani ambaye anazuiliwa na vyombo vya usalama nchini Myanmar kwa miezi kadhaa sasa amefunguliwa mashitaka ya ugaidi na uhaini, na yumkini akahukumiwa kifungo cha maisha jela.

  • Majasusi wa Israel wahukumiwa kifo Ukanda wa Gaza

    Majasusi wa Israel wahukumiwa kifo Ukanda wa Gaza

    Oct 29, 2021 03:47

    Vyombo vya habari vya Palestina vimeripoti kuwa, Mahakama ya Kijeshi ya Ukanda wa Gaza imewahukumu kifo majajusi sita wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Serikali ya Canada yahukumiwa kuwalipa fidia wakazi asili wa nchi hiyo

    Serikali ya Canada yahukumiwa kuwalipa fidia wakazi asili wa nchi hiyo

    Oct 01, 2021 05:11

    Mahakama ya Haki za Binadamu ya Canada ambayo mwaka 2016 iliituhumu serikali ya nchi kuwa imefanya ubaguzi wa kimbari, kutumia mabavu na kuua Wahindi Wekundu wenyeji wa nchi hiyo imeitaka serikali ya Ottawa kuwalipa fidia Wahindi Wekundu kwa kupatikana na hatia ya kukiuka haki zao za kibinadamu

  • Palestina yataka kuharakishwa kesi ya kuchunguza uhalifu wa Israel mahakama ya ICC

    Palestina yataka kuharakishwa kesi ya kuchunguza uhalifu wa Israel mahakama ya ICC

    Sep 05, 2021 07:19

    Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Palestina imetoa wito wa kuharakishwa mwenendo wa kesi ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) huko Hague nchini Uholanzi kwa ajili ya kuchunguza jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina.

  • Wafuasi wa chama cha upinzani Tanzania Chadema wakamatwa wakiimba

    Wafuasi wa chama cha upinzani Tanzania Chadema wakamatwa wakiimba "Mbowe sio gaidi"

    Aug 05, 2021 12:33

    Wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambacho ni chama kikuu cha upinzani Tanzania waliokuwa wamekusanyika nje ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kuzuiwa kuingia ndani ya korti wamekamatwa na wanashikiliwa na Jeshi la Polisi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS