Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Makkah

  • Jumamosi, 6 Oktoba, 2018

    Jumamosi, 6 Oktoba, 2018

    Oct 06, 2018 03:45

    Leo ni Jumamosi tarehe 26 Mfunguo Nne Muharram 1440 Hijria sawa na tarehe 6 Oktoba 2018 Miladia.

  • Wairani 85,200 kwenda kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu

    Wairani 85,200 kwenda kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu

    Jun 28, 2018 03:48

    Wairani 85,200 wanatazamiwa kwenda nchini Saudi Arabia kutekeleza ibada tukufu ya Hija mwaka huu.

  • Wasomi wa Kiislam Nepal: Aal-Saud waache kutumia vibaya na kisiasa maeneo ya Waislamu

    Wasomi wa Kiislam Nepal: Aal-Saud waache kutumia vibaya na kisiasa maeneo ya Waislamu

    Apr 09, 2018 14:04

    Wasomi wakubwa wa Kiislamu nchini Nepal wameulaani utawala wa kifalme wa Aal-Saud nchini Saudia kwa hatua yake ya kutumia kisiasa na kwa malengo yao binafsi ibada ya Hijjah na maeneo matukufu ya Waislamu.

  • Bodi ya kimataifa yaanzishwa kusimamia idara ya Saudia katika maeneo matakatifu ya Makka na Madina

    Bodi ya kimataifa yaanzishwa kusimamia idara ya Saudia katika maeneo matakatifu ya Makka na Madina

    Jan 10, 2018 16:10

    Malaysia imetangaza habari ya kuanzishwa bodi ya kimataifa ya kuchunguza na kusimamia idara na uendeshaji wa Saudi Arabia katika maeneo matakatifu ya Makka na Madina na vilevile kulinda maeneo na turathi za kihistoria.

  • Kiongozi wa Wakristo wa Palestina: Hatua za karibuni dhidi ya Quds zitaifikia mpaka Makka

    Kiongozi wa Wakristo wa Palestina: Hatua za karibuni dhidi ya Quds zitaifikia mpaka Makka

    Dec 21, 2017 16:18

    Kiongozi wa kiroho wa Wakristo wa Palestina Kasisi Manuel Musallam amesema, hatua iliyochukua Marekani hivi karibuni dhidi ya Quds inalenga kuanzisha vita vya kidini ambavyo vitafika mpaka Makka.

  • Kipindi maalumu cha Milaad an-Nabi SAW

    Kipindi maalumu cha Milaad an-Nabi SAW

    Dec 04, 2017 12:03

    Hizi ni siku za kusherehekea uzawa wa Bwana Mtume Muhammad al-Mustafa (saw). Huku tukikupeni mkono wa pongezi, fanaka na heri kwa mnasaba wa kuwadia siku hizi adhimu na za furaha kubwa, tunakuombeni mujiunge nasi ili tupate kusikiliza kwa pamoja kipindi hiki maalumu tulichokuandalieni kwa mnasaba huu, karibuni.

  • Jumanne tarehe 17 Oktoba, 2017

    Jumanne tarehe 17 Oktoba, 2017

    Oct 17, 2017 16:35

    Leo ni Jumanne tarehe 26 Mfunguo Nne Muharram 1439 Hijria sawa na Oktoba 17, 017

  • Mamia ya mahujaji wanusurika na ajali ya moto Makkah, Saudia

    Mamia ya mahujaji wanusurika na ajali ya moto Makkah, Saudia

    Aug 22, 2017 08:07

    Mamia ya mahujaji wamenusurika katika ajali ya moto uliotokea katika jengo la ghorofa 15 mjini Makkah, Saudi Arabia.

  • Alkhamisi, 13 Aprili, 2017

    Alkhamisi, 13 Aprili, 2017

    Apr 13, 2017 03:20

    Leo ni Alkhamisi tarehe 15 Rajab 1438 Hijria, sawa na Aprili 13, 2017.

  • Jibu la Iraq dhidi ya madai yasiyo na msingi ya Saudia

    Jibu la Iraq dhidi ya madai yasiyo na msingi ya Saudia

    Nov 25, 2016 08:21

    Hivi karibuni Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq ilitoa jibu dhidi ya matamshi ya Thamer Al-Sabhan, Waziri Mshauri wa Saudia katika masuala ya nchi za Ghuba ya Uajemi, ikisema kuwa wizara hiyo ya kigeni ya Iraq ni mali ya Wairaq wote.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS