-
Jumamosi, 6 Oktoba, 2018
Oct 06, 2018 03:45Leo ni Jumamosi tarehe 26 Mfunguo Nne Muharram 1440 Hijria sawa na tarehe 6 Oktoba 2018 Miladia.
-
Wairani 85,200 kwenda kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu
Jun 28, 2018 03:48Wairani 85,200 wanatazamiwa kwenda nchini Saudi Arabia kutekeleza ibada tukufu ya Hija mwaka huu.
-
Wasomi wa Kiislam Nepal: Aal-Saud waache kutumia vibaya na kisiasa maeneo ya Waislamu
Apr 09, 2018 14:04Wasomi wakubwa wa Kiislamu nchini Nepal wameulaani utawala wa kifalme wa Aal-Saud nchini Saudia kwa hatua yake ya kutumia kisiasa na kwa malengo yao binafsi ibada ya Hijjah na maeneo matukufu ya Waislamu.
-
Bodi ya kimataifa yaanzishwa kusimamia idara ya Saudia katika maeneo matakatifu ya Makka na Madina
Jan 10, 2018 16:10Malaysia imetangaza habari ya kuanzishwa bodi ya kimataifa ya kuchunguza na kusimamia idara na uendeshaji wa Saudi Arabia katika maeneo matakatifu ya Makka na Madina na vilevile kulinda maeneo na turathi za kihistoria.
-
Kiongozi wa Wakristo wa Palestina: Hatua za karibuni dhidi ya Quds zitaifikia mpaka Makka
Dec 21, 2017 16:18Kiongozi wa kiroho wa Wakristo wa Palestina Kasisi Manuel Musallam amesema, hatua iliyochukua Marekani hivi karibuni dhidi ya Quds inalenga kuanzisha vita vya kidini ambavyo vitafika mpaka Makka.
-
Kipindi maalumu cha Milaad an-Nabi SAW
Dec 04, 2017 12:03Hizi ni siku za kusherehekea uzawa wa Bwana Mtume Muhammad al-Mustafa (saw). Huku tukikupeni mkono wa pongezi, fanaka na heri kwa mnasaba wa kuwadia siku hizi adhimu na za furaha kubwa, tunakuombeni mujiunge nasi ili tupate kusikiliza kwa pamoja kipindi hiki maalumu tulichokuandalieni kwa mnasaba huu, karibuni.
-
Jumanne tarehe 17 Oktoba, 2017
Oct 17, 2017 16:35Leo ni Jumanne tarehe 26 Mfunguo Nne Muharram 1439 Hijria sawa na Oktoba 17, 017
-
Mamia ya mahujaji wanusurika na ajali ya moto Makkah, Saudia
Aug 22, 2017 08:07Mamia ya mahujaji wamenusurika katika ajali ya moto uliotokea katika jengo la ghorofa 15 mjini Makkah, Saudi Arabia.
-
Alkhamisi, 13 Aprili, 2017
Apr 13, 2017 03:20Leo ni Alkhamisi tarehe 15 Rajab 1438 Hijria, sawa na Aprili 13, 2017.
-
Jibu la Iraq dhidi ya madai yasiyo na msingi ya Saudia
Nov 25, 2016 08:21Hivi karibuni Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq ilitoa jibu dhidi ya matamshi ya Thamer Al-Sabhan, Waziri Mshauri wa Saudia katika masuala ya nchi za Ghuba ya Uajemi, ikisema kuwa wizara hiyo ya kigeni ya Iraq ni mali ya Wairaq wote.